thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 266
- 360
Mungu wako ni mwema .... for being pro killer if not a killersasa hivi tunamset vizuri,atatolewa na yesu siku ya ufufuo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wako ni mwema .... for being pro killer if not a killersasa hivi tunamset vizuri,atatolewa na yesu siku ya ufufuo.
Mungu ni mmoja tu,aliyemchukua magufuli ndiye anahesabu siku walioshangilia pia.Mungu wako ni mwema .... for being pro killer if not a killer
Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Ushasikia kina Mwaipaya au Pambalu wa BAVICHA wakitumia lugha yenye ukakasi kama yako? I think haiatakuchukua hata week utaanza kumtusi kama Rais Samia, jiheshimu bana.
Wengi tunataka Katiba mpya ndiyo lakini hii style yako inakera sana
View attachment 1837535
View attachment 1839252
Swadakta,huu ndiyo usawa. Shida yenu mnafanya mambo ili muonekane ila hamfanyi mambo kwa maslahi ya jumla.Yaani Kiongozi anakanyaga KATIBA ,anafuatwa sirini halafu ataamua yeye kukubali au kukataa!!..
Ndiyo maana mfumo wa Kidemokrasia ni mfumo wa KISHETANI na ulio shindwa,hakuna uhuru usio na mipaka huo ni utumwa wa matamanio. Kila jambo lina watu wake.Labda iwe ni kingdom au Monarch. Taifa la kidemokrasia hilo halipo..
Huo ni ufalme mkuu!..
Sahihi kabisa huu ndiyo usawa na wstu wote wenye akili timamu huwa wanafanya hivi.Yaani Rais akosolewe faragha au aandikiwe barua!!!!
kamanda mi5 tena kwa mama[emoji38][emoji38][emoji38]I am not stupid like your parents.
Wewe una roho ya MEKO. Sihitaji kushangaa sana . Hakuna Absolute Power katika Katiba yetu. Hiyo mnajipa ninyi. Pia mmijipa nguvu ya kuamua hivyo.. Hii ndo factSwadakta,huu ndiyo usawa. Shida yenu mnafanya mambo ili muonekane ila hamfanyi mambo kwa maslahi ya jumla.
Njia hizi hazijawahi kifeli. Jaribuni muone. Siyo uhuni,mioyo imeumbwa na haya. Unapotaka kuminyamana kumbuka mtawala na yeye ni mwanadamu,atatumia nafasi yake kuleta maafa kwa wengine na kwako pia,jambo ambalo ni uzembe...
Nilijua tu hutaweza kuvunja hoja zangu.Wewe una roho ya MEKO. Sihitaji kushangaa sana . Hakuna Absolute Power katika Katiba yetu. Hiyo mnajipa ninyi. Pia mmijipa nguvu ya kuamua hivyo.. Hii ndo fact
Umemuona wapi alipo, bado unawazaga tu watu ambao hutuko nao,Mjinga ni yule aliyekuwa anaratibu mauaji nchi nzima.
Unayasoma je haya?Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
Kwa hiyo Chadema ni sawa na CCM?Unayasoma je haya?
View attachment 1841413
Usisahau wa kutuliza mat*ko alikuwa ni CCM. Hata wa kubakia na m@vi yao alikuwa CCM pia.
Au hayo yalikuwa sawa?
Tuambie hayo matusi vinginevyo ni yale yale ya Magufuli kwamba akikosolewa anadai ametukanwa. Nchi hii lazima tukubali kwamba tuna viongozi wanadamu na siyo malaika.Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Kwa hiyo Chadema ni sawa na CCM?
Kwa hiyo Chadema ni sawa na CCM?
Tulishazoea kuteswa,kufilisiwa,kubambikiwa kesi,kutekwa ,mama yako nae akiamua kuondoa dhamira we don't care, to hell.Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
Nami nasubiri jibu hapaKwa hiyo Chadema ni sawa na CCM?
Tatizo lenu ni kudhani "kwa vile CCM walifanya" basi ni sawia kwenu kufanya pia. Kwa maana hiyo ninyi hamna tofauti na CCM. Sasa kwanini Watanzania wapoteze muda nanyi msio tofauti na hao walio madarakaniTumemsikia sote wakati anatamka hiyo kauli, Mimi mwanayanga nikimwambia Mh. Job Ndugai "Jana tumekunyoa kwa wembe" itakuwa nimekosa staha?...