nautaka tena
Senior Member
- Jun 29, 2021
- 182
- 213
Wembe ni ule ule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bipi na matusi ya katambiNi ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
jingalao hivi usemi wa WEMBE NI ULEULE ni matusi?Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
Kunya anye kuku akinya bata kaharaUnayasoma je haya?
View attachment 1841413
Usisahau wa kutuliza mat*ko alikuwa ni CCM. Hata wa kubakia na m@vi yao alikuwa CCM pia.
Au hayo yalikuwa sawa?
Unasubiri jibu lilokwisha jibiwa? "Kama vipi baki na m@vi yako." Alisikika mzee baba akikukumbusha.Nami nasubiri jibu hapa
CCM wakifanya uhuni chama makini kama chadema hakitakiwi kuiga uhuni huo.Unayasoma je haya?
View attachment 1841413
Usisahau wa kutuliza mat*ko alikuwa ni CCM. Hata wa kubakia na m@vi yao alikuwa CCM pia.
Au hayo yalikuwa sawa?
Ukosoaji unafanywa na Mdude pekee?Tuambie hayo matusi vinginevyo ni yale yale ya Magufuli kwamba akikosolewa anadai ametukanwa. Nchi hii lazima tukubali kwamba tuna viongozi wanadamu na siyo malaika.
Matusi gani mkuu wangu? Mbona mnakuwa wajinga kuliko watanzania wa 1947? Duh! Ndiyo maana tulipelekwa utumwani.Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
unaiga tembo kunya upasuke msamba?
Kwahiyo ccm ndio wana msamba mkubwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Astakafiru...!!!unaiga tembo kunya upasuke msamba?
CCM ni tembo na msamba wake ni wa tembo chadema ni bata mwenye msamba wa Tembo kwa sasa.Kwahiyo ccm ndio wana msamba mkubwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Astakafiru...!!!
Suluhu ya nini?Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
Suluhu katafute na familia yako, hapa tunajadili wananchi wote wa nchi hii kwa usawa bila kujali cheo cha mtu!Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
Hawezi kujifunza upumbavu!Mashekhe wa Uamsho walisema hawatoshindana na mwenyenguvu, sijui kuna cha kujifunza kwa jemadari wetu Mdude au la.
Matusi yapi ? Unajua matusi weweNi ukweli usiopingika kuwa Rais Samia kama lilivyo jina lake ni kuwa na suluhu ya kitaifa ili nchi ipate maendeleo kusudiwa.
matusi yaliyotolewa dhidi yake na kiongozi mwandamizi wa vijana chadema ni matusi yanayoondoa dhamira njema ya SULUHU .
Mdude anapaswa kupingwa na wapenda demokrasia wote na awajibishwe kwa hili
inawezekana matusi kwa jamii yenu ni jambo la kawaida na hivyo hamjui matusi ni nini!Matusi yapi ? Unajua matusi wewe
Kwenye majukwaa ya siasa hiyo kauli ni ya kawaida sana mkuuTatizo lenu ni kudhani "kwa vile CCM walifanya" basi ni sawia kwenu kufanya pia. Kwa maana hiyo ninyi hamna tofauti na CCM. Sasa kwanini Watanzania wapoteze muda nanyi msio tofauti na hao walio madarakani