Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Chama kina kubalika hata mfumo (dola) itaruhusu ukiona polisi, jeshi na vyombo vingine viko na CCM ujue bado mana wote hao ni Watanzania.Ila maccm yanaogopa kusimama nayo kwenye uchaguzi huru na wa haki kwa sababu wanaijua hatima yao hivyo wameona mtutu wa bunduki ndio kipenzi chao cha kuwavusha dhidi ya Chadema.
Kama Chama kina kubalika hata mfumo ( dola ) itaruhusu ukiona polisi , jeshi na vyombo vingine viko na Ccm ujue bado mana wote hao ni watanzania
Kwa nini utiririkwe kwa mama Samia ty na si hata kwa Hayati ambaye hata hawezi kusema? Kijutetea?Tumekuonea huruma sana uliyopitia na hata wengi nje ya nchi wanajua masahaibu yako ila una lugha zenye ukakasi sana sijui unataka kuwaiga kina Khery James au kina Kihongosi?
Soma michango yangu yote humu, Ila Leo natukanwa basi wacha nisapoti udikteta btw sijawahi kuwa mfuasi wa chama cha siasa Ila kwa haya matusi wacha sassa nihamie the winning team tuone.Umewahi kuwashauri hao machizi waliokimbia na nguo?
Huo mtutu unashika na robot 🤖 si na Watanzania ambao wako tayari kulinda nchi yao dhidi ya vikundi vya wahuni.Chama kinakubalika kwa kutumia mtutu kupora uchaguzi!? 😳😳😳
Nimehamia rasmi huku. Hao mbwa ni njaa watupu very stupid no wonder Magufuli aliwakomesha. Na angefiiiirr woteKama Chama kina kubalika hata mfumo ( dola ) itaruhusu ukiona polisi , jeshi na vyombo vingine viko na Ccm ujue bado mana wote hao ni watanzania
Kwa matusi ya leo nimeamini Hawa watu ni wahuni tupu. Hakuna mtu anataka kukubali japo hata kuheshimu uhuru wa mawazo, sasa Katiba mpya ya nini wakati Bill of Rights ipo kwenye Katiba ya sasa na bado hawaiheshimu?Huo mtutu unashika na robot 🤖 si na watanzania ambao wako tayari kulinda nchi yao dhidi ya vikundi vya wahuni
Huo mtutu unashika na robot 🤖 si na watanzania ambao wako tayari kulinda nchi yao dhidi ya vikundi vya wahuni
Ewaaaaah! Hawa ndiyo wasanii. Ongezea na Roma Mkatoliki.Kwangu Mimi kwasasa shujaa wangu ni jide commando na ney wanmitego. Dayamondi kafie mbele.
🤣🤣🤣 Kwamba Diamond angemshinda Burn Boy.Nianze na mdude
Mdude mama kaja kuponya vidonda vya watanzania vilivyosababishwa na uongozi mbaya wa magufuli.Mama kwa hakika hapendi Shari na sisi tusimsharishe kwa hulka ya mama na wakati tuliopo mama hatakiwi azinguliwe twende nae taratibu atatuvusha...
Nimekuwa nawasapoti CHADEMA kwa siasa zao Ila matusi yanayotupwa humu kila hata tunaposhauri japo wengine hayupo CCM inakuwa matusi tu, basi waendelee sasa . Enough with ujinga.
Kuna wakati wanapaswa kutumia busara sio kila wakati tutukanane tu. Na sio kila anayeshauri ni CCM
Huyo mdude kakosea kitu gani? Huyo mbunge Hana jipya
Hivi ni lini maccm yaliomba radhi kuhusu kauli hii ya huyu taahira!?