Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Hakika mkuu,yaani wafuasi wa Chadema hawaeleweki.ni hivyo tu siwezi kujiunga na ccm.yaani kuna wanachama ukitoa tu ushauri kuhusu chama basi wanakwambie we ni ccm hadi unajiuliza huyu mtu anatumia akili kweli?
Honestly sioni future yao kabisa heri tumtumikie kafiri tupate ujira wetu. Hao unajikuta unatamani kushauri japo hata kidogo unaishia kushushiwa heshima.

Najiuliza ningekuwa ndio mimi Magu nigewafanya nini watu kama hao na madaraka yote ambayo ningekuwa nayo unaishia kutukanwa na mpuuzi tu anasubiri loan board impe boom anunue MB za 1000 kutukana tu
 
Mkuu tunatakiwa tujifunze kujitofautisha na CCM.na huwezi kuhalalisha baya la ccm kwa Chadema.tukubali tu kwamba mdude alikosea
This is what kinachopaswa wajifunze ili waweze ku-win public support. Ila kwa matusi ya humu aisee sasa naelewa kwa nini nchi hawawezi kupewa hata kwa mtutu italazimika.

Huwezi kuacha nchi kwa wahuni namna hii. Sio kila mtu anayeshauri tofauti na matakwa yao no CCM tu au mwanasiasa.
 
Kwa aina ya matusi haya sijui wakipewa nchi si watamzidi bwana yule? Imagine mtu kama Lissu ndio apewe aongoze nchi kwa kauli hizi aisee big NO.

Tufike pahala tujitenganishe kufanana na wengine, hata kama vijana wa CCM Wana lugha chafu haimaanishi na CHADEMA wawe na lugha chafu.

Let's grow up kisiasa na kujitanabaisha tofauti. Nayo ni siasa ambayo itawasaidia sana especially kwa utanzania tulionao hatuna huu ustaarabu wa kutoleana hizi lugha zisizo na staha.

Itawasaidia pia. Sio lazima uwe kama CCM. Hii itasababisha watu kuamini kwamba wao wapo tofauti na CCM Ila wakiendelea kuiga ya CCM then what difference does it make if wapo hivyo?
 
Tulikataa lugha zisizo na staha za bwana yule Ila Hawa wenzetu naona wamemzidi. Too much support ya ujinga sio murua kwa taifa.

Hatukubaliani na wanasiasa wenye lugha chafu tutaharibu taifa letu. Kama mnataka support yetu ni vema kujitafakari.

Watakaoona ni sawa kujibu matusi it's fine.
 
Wakati huo huo haya maccm hata mazuri ya Mbowe hawayaoni? Umewahi kumsikia ccm yeyote yule akipongeza kauli hii ya Mbowe? Au kauli njema za Chadema hazistahili kupongezwa!? Na mpaka hii leo HAJAJIBIWA. Tafakari kwa kina.



Mkuu tunatakiwa tujifunze kujitofautisha na CCM.na huwezi kuhalalisha baya la ccm kwa Chadema.tukubali tu kwamba mdude alikosea
 
Chadema imeshakuwa genge la wahuni fulani tu sasa hivi, na sera yao kuu ni matusi.
Nimegundua nilikuwa nasapoti watu wa hovyo sana ambao ninwengi humu.

Post zangu zote ukisoma hazina mlengo wa CCM Ila kila ukishauri tofauti unakutana na matusi ya vijana na ukimtafakari unaona kabisa huyu ni mtoto mwenye matusi tu hataki kufikiri unachoshauri. Hii sio sawa.

Wabaki na matusi yao. Tuone.
 
Kama matusi yanajenga waendelee kutukana Ila nchi kiukweli hawataichukua heri tubaki na hiyo CCM tu, unaweza kulamba cheo ukawaibia ufaidishe wanao Hawa wengine waendelee na matusi.
 
This is what kinachopaswa wajifunze ili waweze ku-win public support. Ila kwa matusi ya humu aisee sasa naelewa kwa nini nchi hawawezi kupewa hata kwa mtutu italazimika.

Huwezi kuacha nchi kwa wahuni namna hii. Sio kila mtu anayeshauri tofauti na matakwa yao no CCM tu au mwanasiasa.

Kupewa nchi ni bado sana mkuu.kuna wanachama wa chadema wapo empty headed sana.yani mtu ukikosoa utaitwa ccm au lumumba as if haustahiri kutoa maoni...
 
Kutokana na kauli aliyoitoa ndugu Nyagali ni wazi kuwa mahakama haikitenda haki kumuachia.Mdude alitiwa mbaroni baada ya series of events.Mdude Chadema hatàacha hulka yake na kuwekwa kwake ndani kupo justifiable.mahakama na hakimu alitemuachia achunguzwe.inawezekana anashawishiwa au kushinikizwa
Jambo wasilolijua ni kwamba DPP anaweza kukata Rufaa na maelekezo yakatolewa na mkuu kwa huyo hakimu, then tutaona.

Matusi yamezidi I'm fed up kumsapoti watu wasiojielewa. Heri tuibe tu watoto zetu waishi vizuri.
 
Wakati huo huo haya maccm hata mazuri ya Mbowe hawayaoni? Umewahi kumsikia ccm yeyote yule akipongeza kauli hii ya Mbowe? Au kauli njema za Chadema hazistahili kupongezwa!? Na mpaka hii leo HAJAJIBIWA. Tafakari kwa kina.



Mkuu nimeshakwambia tunatakiwa tujifunze kujitofautisha na ccm.haimaaanishi kila ccm anapofanya kitu Kibaya basi na sisi tufanye baya.sipendi mtu ambao unampa hoja Fulani halafu anaanza hooo mbona ccm walifanya hiki na kile ?kwa hivyo tunawafuatisha ccm??
 
Nijibu nilichoandika kuhusu clip ya Mbowe.

Mkuu nimeshakwambia tunatakiwa tujifunze kujitofautisha na ccm.haimaaanishi kila ccm anapofanya kitu Kibaya basi na sisi tufanye baya.sipendi mtu ambao unampa hoja Fulani halafu anaanza hooo mbona ccm walifanya hiki na kile ?kwa hivyo tunawafuatisha ccm??
 
Kupewa nchi ni bado sana mkuu.kuna wanachama wa chadema wapo empty headed sana.yani mtu ukikosoa utaitwa ccm au lumumba as if haustahiri kutoa maoni...
Honestly huwezi kuwapa waongoze, chama kimejaa wajinga mno na wanajifanya wajuaji kumbe ni boom za chuo ndio zinawafanya waishi wakimaliza wanaanza kulewa Kvant maisha hawajui wafanyaje.

Then wanaishia kutukana kila anayetoa ushauri. Very disappoting
 
Mwema mwingine wa maccm huyu hapa alifikia hadi kubaka wanawake na hata kuwalawiti huku malalamiko yakipelekwa kwa yule dhalimu magufuli, Sabaya anaambiwa CHAPA KAZI!!

 
Unamkumbuka Benard Membe?? Alimwambia Magufuli "niguse ninuke*. Magufuli hakumgusa kamwe, maana aliogopa kunuka.
 
Kwa uzoefu wangu kauli aliyoitoa Mdude kwa Rais Samia ingekuwa imeshapekekwa UN au ICC na picha ambata zingekuwa zimeshapelekwa.lakini kwa kuwa kauli hii imetoka kwa puppet wa walami basi itabakia hapa hapa bongo
Kwa hiyo Mdude Nyangali ndio alikuwa kinyozi wa naniliuuu?
 
Back
Top Bottom