Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Hiyo video ipo wapi?
Hebu toeni ujinga wenu hupa.
Hebu toeni ujinga wenu hupa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yameisha MkuuMjinga anapokuwa mjinga halafu akaandika ujinga kuusoma ni ujinga. Bora kumjibu ujinga ili ujinga umzidi.
Tumtee huyu ni mwenzetu. TumpiganieHabar wadau wa jamiforums
Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo
Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo
Leo Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako. Je Ni wembe Gani uo na vip kwa Mdude kukiri kua Kuna wembe alio Mnyolea Hayat hii haiweki Taswira wazi kua Mdude alistail kufanyiwa alio fanyiwa?
Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi
Mama nakuambia Aya kwa kua nakupenda soon utaanza kuonekana dikteta kwenye Macho yao utaanza kuitwa muuaji kwa kukubambikizia misiba isiyo kuhusu watatumia kila mbinu kukuchafua Mama kua nao Makin
Leta videoNadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako
Habar wadau wa jamiforums
Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo
Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo
Leo Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako. Je Ni wembe Gani uo na vip kwa Mdude kukiri kua Kuna wembe alio Mnyolea Hayat hii haiweki Taswira wazi kua Mdude alistail kufanyiwa alio fanyiwa?
Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi
Mama nakuambia Aya kwa kua nakupenda soon utaanza kuonekana dikteta kwenye Macho yao utaanza kuitwa muuaji kwa kukubambikizia misiba isiyo kuhusu watatumia kila mbinu kukuchafua Mama kua nao Makin
Utaipataje "katiba mpya" na watu wa aina ya huyu uliyemjibu mkuu? Katiba pekee anayoijua huyu ni ile anayoitumia Mama.Kabisa unadiliki kusema Mama Samia ndio alimwachia jamaa maana yake ni kuwa Mahakama IPO chini ya Mama Samia au sio??.
Ndio maana tunahitaji Katiba mpya!
Ingekua Mimi ndio mdude kwa yaliyinikuta ningejikalia kimnya, nadhani ajitafakari, ndg zake wamshauri, au wakampime akili, vinginevyo namtabiria mabaya.Nimelia vibaya mno
Mama kwa busara zake mdude alitoka
Mama kwa busara zake kairudisha nchi kwenye demokrasia
Mama kwa busara zake watumishi wa umma wameanza kuwa na matumaini
Mama kwa busara zake pesa imeanza kuonekana mtaani wananchi tunafurahia
Leo hii anaibukia mpuuzi mmoja, mkosa adabu mmoja,asiyefunzwa na mama yake wala ulimwengu aitwaye mdude nyangali anamtukana rais na lugha chafu ya kejeli kumbully rais kwa lugha ya matusi yaani nimeliaahhh
Nimepandwa na jazba usiku huu nimejuta kwanini nimeiona hiyo video nimelia sana kwasababu huyu mama hastahili kutukanwa nimesikia hadi uchungu kwamba ndo mama yangu anatukanwa hivyo yaani ningekufa maana hata ningekosa cha kufanya maana mtoa matusi angestahili zaidi ya adhabu yoyote kali
Huyu mdude kanifanya niichukie chadema sana,hiyo ndo shukrani yako mdude hii clip imeharibu siku yangu, nimelia sana kwa uanaharakati gani kama ndo hivi?Kwanini utukane na lugha kama hii?
Nimelia sana na sitosahau hili
Akifanya siasa za "kistaarabu" utampenda na kumbusu shavuni?Muache!😝😝😝😝😝Mdude nakushauri jitakafari, kama itakupendeza badili aina ya siasa uifanyayo Sikutabirii mazuri sanaa baadae, huenda unataka umaarufu, Fanya siasa za kistaarabu, badili namna ya uwasilishaji wako ! Yajayo kwako sizdhani kama yatafurahisha, tunaokusuport tutapungua watabaki wanaokutumia kupanda ngazi, ni mda sahihi WA kujitafakari.
Mama mama mma.... kutiana ujinga tuuuu[emoji16][emoji16]mama hakujua huyu jamaa hana adabu, akadhani alionewa.
Katiba ya Warioba kwanza, hayo mengine baadaeNimelia vibaya mno
Mama kwa busara zake mdude alitoka
Mama kwa busara zake kairudisha nchi kwenye demokrasia
Mama kwa busara zake watumishi wa umma wameanza kuwa na matumaini
Mama kwa busara zake pesa imeanza kuonekana mtaani wananchi tunafurahia
Leo hii anaibukia mpuuzi mmoja, mkosa adabu mmoja,asiyefunzwa na mama yake wala ulimwengu aitwaye mdude nyangali anamtukana rais na lugha chafu ya kejeli kumbully rais kwa lugha ya matusi yaani nimeliaahhh
Nimepandwa na jazba usiku huu nimejuta kwanini nimeiona hiyo video nimelia sana kwasababu huyu mama hastahili kutukanwa nimesikia hadi uchungu kwamba ndo mama yangu anatukanwa hivyo yaani ningekufa maana hata ningekosa cha kufanya maana mtoa matusi angestahili zaidi ya adhabu yoyote kali
Huyu mdude kanifanya niichukie chadema sana,hiyo ndo shukrani yako mdude hii clip imeharibu siku yangu, nimelia sana kwa uanaharakati gani kama ndo hivi?Kwanini utukane na lugha kama hii?
Nimelia sana na sitosahau hili
Inashangaza watu wanaharibu maisha yao kwa kuweka imani kwa wanasiasa!Ingekua Mimi ndio mdude kwa yaliyinikuta ningejikalia kimnya, nadhani ajitafakari, ndg zake wamshauri, au wakampime akili, vinginevyo namtabiria mabaya.
Nimelia vibaya mno
Mama kwa busara zake mdude alitoka
Mama kwa busara zake kairudisha nchi kwenye demokrasia...