Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Mdude Nyagali, siasa zako sio nzuri. Jirekebishe

Hawana adabu hawa watu wanaoittwa cdm, jpm aje kuwanyosha tena, hawajui hata wanataka nini. Kwao kila kitu ni ni matusi.
 
Habar wadau wa jamiforums

Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo

Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo

Leo Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako. Je Ni wembe Gani uo na vip kwa Mdude kukiri kua Kuna wembe alio Mnyolea Hayat hii haiweki Taswira wazi kua Mdude alistail kufanyiwa alio fanyiwa?

Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi


Mama nakuambia Aya kwa kua nakupenda soon utaanza kuonekana dikteta kwenye Macho yao utaanza kuitwa muuaji kwa kukubambikizia misiba isiyo kuhusu watatumia kila mbinu kukuchafua Mama kua nao Makin
Tumtee huyu ni mwenzetu. Tumpiganie
 
Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako
Leta video
 
Habar wadau wa jamiforums

Nilikua nimesema nisijiusishe Tena na siasa ila kwenye ili nimeona ninayo haki ya kusema jambo

Rais Samia ulimuachia Mdude kwa Mapenzi yako kama mama mwenye upendo na si kwa sababu Mdude hakua na Hatia. Ila huruma yako Mama kwanza ilimchafua Hayat na kuonekana alikua Katil na kesi ya mdude hakustail kuwa nayo

Leo Nadhan utakua Umeona Vidio ya Mdude na Tundulisu ilio sambaa mitandao uku Mdude chadema akikuahid kua kama utaendelea ivi Atakunyoa kwa wembe ule ule alio Mnyolea Mtanguliz wako. Je Ni wembe Gani uo na vip kwa Mdude kukiri kua Kuna wembe alio Mnyolea Hayat hii haiweki Taswira wazi kua Mdude alistail kufanyiwa alio fanyiwa?

Rais Samia Leo Tundulisu anakubatiza Jina ambalo sio lako anaamua kukuita Magufuli Mwanamke How Rais wa nch na Rais alie kua Madarakan wanakashifiwa kiasi ichi


Mama nakuambia Aya kwa kua nakupenda soon utaanza kuonekana dikteta kwenye Macho yao utaanza kuitwa muuaji kwa kukubambikizia misiba isiyo kuhusu watatumia kila mbinu kukuchafua Mama kua nao Makin


Aisee, mkuu 'abdulhamis', mama asipokusikia kwa mapenzi haya uliyo nayo kwake, hakika atakuwa amepungukiwa kitu!
 
Nimelia vibaya mno

Mama kwa busara zake mdude alitoka

Mama kwa busara zake kairudisha nchi kwenye demokrasia

Mama kwa busara zake watumishi wa umma wameanza kuwa na matumaini

Mama kwa busara zake pesa imeanza kuonekana mtaani wananchi tunafurahia

Leo hii anaibukia mpuuzi mmoja, mkosa adabu mmoja,asiyefunzwa na mama yake wala ulimwengu aitwaye mdude nyangali anamtukana rais na lugha chafu ya kejeli kumbully rais kwa lugha ya matusi yaani nimeliaahhh


Nimepandwa na jazba usiku huu nimejuta kwanini nimeiona hiyo video nimelia sana kwasababu huyu mama hastahili kutukanwa nimesikia hadi uchungu kwamba ndo mama yangu anatukanwa hivyo yaani ningekufa maana hata ningekosa cha kufanya maana mtoa matusi angestahili zaidi ya adhabu yoyote kali


Huyu mdude kanifanya niichukie chadema sana,hiyo ndo shukrani yako mdude hii clip imeharibu siku yangu, nimelia sana kwa uanaharakati gani kama ndo hivi?Kwanini utukane na lugha kama hii?


Nimelia sana na sitosahau hili
Ingekua Mimi ndio mdude kwa yaliyinikuta ningejikalia kimnya, nadhani ajitafakari, ndg zake wamshauri, au wakampime akili, vinginevyo namtabiria mabaya.
 
Mdude nakushauri jitakafari, kama itakupendeza badili aina ya siasa uifanyayo Sikutabirii mazuri sanaa baadae, huenda unataka umaarufu, Fanya siasa za kistaarabu, badili namna ya uwasilishaji wako ! Yajayo kwako sizdhani kama yatafurahisha, tunaokusuport tutapungua watabaki wanaokutumia kupanda ngazi, ni mda sahihi WA kujitafakari.
 
Mdude nakushauri jitakafari, kama itakupendeza badili aina ya siasa uifanyayo Sikutabirii mazuri sanaa baadae, huenda unataka umaarufu, Fanya siasa za kistaarabu, badili namna ya uwasilishaji wako ! Yajayo kwako sizdhani kama yatafurahisha, tunaokusuport tutapungua watabaki wanaokutumia kupanda ngazi, ni mda sahihi WA kujitafakari.
Akifanya siasa za "kistaarabu" utampenda na kumbusu shavuni?Muache!😝😝😝😝😝
 
[emoji16][emoji16]mama hakujua huyu jamaa hana adabu, akadhani alionewa.
Mama mama mma.... kutiana ujinga tuuuu
Stupid kabisa
Yaani ukae mahabusu kwa makosa ya Set up
Halafu uchukulie mambo poa

Katiba mpya tunataka hii nchi inapigwa na wahuni wachache tuuu
 
Makalio ya nyani kweli weye mleta uzi!Hebu weka "fidiu" yako unavyolia tuone lidomo lako lilivyokaa!😝😝😝😝😝
 
Dah nimeamini tuna vidikteta vingi Sana, Sasa hapo maneno ya mdeude na lissu Yana shida gani?
 
Nimelia vibaya mno

Mama kwa busara zake mdude alitoka

Mama kwa busara zake kairudisha nchi kwenye demokrasia

Mama kwa busara zake watumishi wa umma wameanza kuwa na matumaini

Mama kwa busara zake pesa imeanza kuonekana mtaani wananchi tunafurahia

Leo hii anaibukia mpuuzi mmoja, mkosa adabu mmoja,asiyefunzwa na mama yake wala ulimwengu aitwaye mdude nyangali anamtukana rais na lugha chafu ya kejeli kumbully rais kwa lugha ya matusi yaani nimeliaahhh


Nimepandwa na jazba usiku huu nimejuta kwanini nimeiona hiyo video nimelia sana kwasababu huyu mama hastahili kutukanwa nimesikia hadi uchungu kwamba ndo mama yangu anatukanwa hivyo yaani ningekufa maana hata ningekosa cha kufanya maana mtoa matusi angestahili zaidi ya adhabu yoyote kali


Huyu mdude kanifanya niichukie chadema sana,hiyo ndo shukrani yako mdude hii clip imeharibu siku yangu, nimelia sana kwa uanaharakati gani kama ndo hivi?Kwanini utukane na lugha kama hii?


Nimelia sana na sitosahau hili
Katiba ya Warioba kwanza, hayo mengine baadae
IMG_20210704_051229.jpg
 
Ingekua Mimi ndio mdude kwa yaliyinikuta ningejikalia kimnya, nadhani ajitafakari, ndg zake wamshauri, au wakampime akili, vinginevyo namtabiria mabaya.
Inashangaza watu wanaharibu maisha yao kwa kuweka imani kwa wanasiasa!
 
Matusi yepi mkuu? Mama aliwahi sema yeye na jpm Ni kitu kimoja. Lissu kakoseaje? Yaani unampangia mpinzani wako namna ya kukukosoa?
 
Nimelia vibaya mno

Mama kwa busara zake mdude alitoka

Mama kwa busara zake kairudisha nchi kwenye demokrasia...

Mkuu hata mamba hulia machozi. Tunaamini vipi machozi yako siyo ya mamba?

Kuna wenzako hapa nao wanalipa sana:


Kwamba?

"Huyu mdude kanifanya niichukie chadema sana, hiyo ndo shukrani yako Mdude hii clip imeharibu siku yangu, nimelia sana kwa uanaharakati gani kama ndo hivi? Kwanini utukane na lugha kama hii?"

Hujawahi kusikia watu wakihubiri watu kuuwawa? Hujasikia watu kuawawa, kujeruhiwa, kupotezwa,kuozea jela nk kwa sababu za kisiasa hapa hapa nchini? Hayo yamewahi kujiuliza au hata kukusikitisha?
 


WAKATI MWINGINE TUSILEWE UVYAMA TUANGALIE NA UTAIFA HII SIO SAWA KABISA !!!
 
Back
Top Bottom