Sent using Jamii Forums mobile app
 
wameshassikia, wamebadilisha vipengele. hongereni kutuwakilisha sauti ya wengi.
 
Mdude hana cha kupoteza baada yabkupoteza marinda. Waache waendelee kumfuata
waliompotezea marinda, na wao watoto wao watafumuliwa tu, hivi unajua malipo ni hapa hapa duniani? amini usiamini, Mungu yupo na anaona. kama mhalifu hakutakiwa kufanywa hivyo, na pia, kama alipata madhira hayo kweli (kama ni kweli) wakati akipambania rasilimali zetu, basi huyo alijisacrifice sana yapasa tumwombee.
 
Ujinga wake tu ndiyo umempoteza wala alikuwa hahangaikii masilahi yetu. Ni lini tulimtuma?
 
Mbm hii ni ya mda mrefu kwani siku 30 mbn zishakwisha tunaitaji mrejesho
 
Chizi maarifa katoka wodini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…