Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyo mcheza movie za ngono nani amchague labda ile misukule anayowadanganyaga wajinga wake pamoja na ccm eti kaifufuaMdee Lugha zake na matendo yake si aibu Kwa familia yake tu Ila Jimbo lote la kawe. Mda mwingi anatumia kwenye adhabu za ki bunge kuliko kuwatumikia wananchi. Ata familia yake ita pumzika kwa fedheha ambayo huwaletea pindi anapokua bungeni na nje ya bunge.
Hapo wabunge wametangazwa leo, iwe kwa ustaarabu, fitna au ubabe hao Chadema lazima wajiandae kisaikolojia hapo.1: Mwita Waitara vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi,
Hakuna sehemu yeyote CCM itashinda hapo1: Mwita Waitara vs John Heche
2: Tulia Acskon vs Sugu
3: Askofu Gwajima vs Halima Mdee
4: Mrisho Gambo vs Godbless Lema
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi,
Tuko pamoja kiongoziHapo kuna majimbo matatu yanarudi kijani
1. kawe
2. Mbeya mjini
3. Arusha mjini
Hayo majimbo ni lazima yaridi haraka asubuhi na mapema
lakini alishinda dhidi ya nani?. Mwaka huu tofauti ya kura itakua ndogo sanaKali kuliko yote ni Sugu na Tulia kumbuka Sugu ndio aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote uchaguzi uliopita
Labda kura zihesabiwe ofisi za CCM. Ila Chadema wanaenda shinda hayo majimboHapo wabunge wametangazwa leo, iwe kwa ustaarabu, fitna au ubabe hao Chadema lazima wajiandae kisaikolojia hapo.
Majimbo yote yanarudi CCM
Umesahau kwa Waitara, jamaa yupo vizuri iwe kistaarabu au kwa ubabe lazima Heche asepeHapo kuna majimbo matatu yanarudi kijani
1. kawe
2. Mbeya mjini
3. Arusha mjini
Hayo majimbo ni lazima yaridi haraka asubuhi na mapema
Nyanda za juu KUSINI ni Chadema tu. Hakuna CCMlakini alishinda dhidi ya nani?. Mwaka huu tofauti ya kura itakua ndogo sana
Toto[emoji7][emoji7]Huyo Gwaji atakalishwa mbona.
Sugu atapata ushindi saa nne mapema kabisa.
Hata Bill Clinton aliekua rais wa Amerika alipatikana na issue kama ya Gwajima ,hakuna jipya chini ya juaNa huyo mcheza movie za ngono nani amchague labda ile misukule anayowadanganyaga wajinga wake pamoja na ccm eti kaifufua
Wapenzi wa ngono watamchagua tu ,usihofu kijanaSiwezi chagua Mcheza picha za Uchi Jimboni kwangu Kawe!
Nimewaza kama weweHivi kweli unategemea Gwajima kumshinda Halima Mdee? Kwa wafuasi wapi alionao, hao wa jumapili tena wa kusombwa na mabasi toka Mkuranga, Kibaha, Gongo la Mboto, Chanika na hata Morogoro? Hao wala si wapiga kura wa jimbo la kawe.
hata mwanza ilikua hivyo 2015 lakini matokeo yalikua tofauti. chochote kinaweza kutokeaNyanda za juu KUSINI ni Chadema tu. Hakuna CCM
Wote watarudiSina uhakika kama Sugu na Halima watarudi