Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

1. Nabetia upande wa John Henche

2. Nabetia upande wa Sugu (Nguvu ya uma italazimisha matokeo halisi )

3. Nabetia upande wa Mdee ( Tofauti ndogo ya kura)

4. Nabetia upande wa Lema ( Ushindi kupewa baada ya vurugu kubwa na CCM kupata aibu ya Kimataifa)
Nitolee copy mkeka wako bro
 
Mdee Lugha zake na matendo yake si aibu Kwa familia yake tu Ila Jimbo lote la kawe. Mda mwingi anatumia kwenye adhabu za ki bunge kuliko kuwatumikia wananchi. Ata familia yake ita pumzika kwa fedheha ambayo huwaletea pindi anapokua bungeni na nje ya bunge.
Acha ujinga, wabunge wa Dar ni wabunge wa kitaifa.
 
1: Mwita Waitara vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi,
Uzuri mechihazirushwilive hivyo walioko uwanjani ndo watatuambia na kipindi kile kuna mechi kuuu kati yaKazi na uhuru vs marobot aka hapa kz tu
 
1. Nabetia upande wa John Henche

2. Nabetia upande wa Sugu (Nguvu ya uma italazimisha matokeo halisi )

3. Nabetia upande wa Mdee ( Tofauti ndogo ya kura)

4. Nabetia upande wa Lema ( Ushindi kupewa baada ya vurugu kubwa na CCM kupata aibu ya Kimataifa)
65/100
 
Hakuna karata ya Jon,sasaivi ndio watz wataonyesha uhalisia.ilikua karata ya propaganda na kumpamba.UKITAKA KUONGEA UELEWEKE ZUNGUMZIA MAENDELEO YA WATU SIYO VITU,UTAELEWEKA.mwananchi Hana maji tangu uhuru leo unmletea stori za kununua ndege.
Karata Joker ni ya CCM.
Kazi ya JPM ilishauzika na upinzani walishaonyesha rangi halisi, ushindi hapo ni CCM.
Labda kina Heche ndiyo watatoa upinzani, lakini Arusha ambako nakaa sasa hivi Lema kwa heri. Hii kauli mtaikumbuka.
 
Hakuna karata ya Jon,sasaivi ndio watz wataonyesha uhalisia.ilikua karata ya propaganda na kumpamba.UKITAKA KUONGEA UELEWEKE ZUNGUMZIA MAENDELEO YA WATU SIYO VITU,UTAELEWEKA.mwananchi Hana maji tangu uhuru leo unmletea stori za kununua ndege.
Umeona ndege tu?,pumbavu sana wewe kijana
 
1: Mwita Waitara vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi,
Hamna mechi hata moja kali hapo!! Msije mkawaponza tume ya uchaguzi mkatuletea machafuko!!
 
[SUB]Tuone Sasa Sera Nzuri, Hoja Kwa Hoja [/SUB]
[SUB]Police Wakae Mbali Kulinda Amani October [/SUB]
[SUB]Itajiamua Yenyewe [/SUB]
 
Back
Top Bottom