Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea vurugu hayo maji hayaepukiki kijanaMaji ya upupu yataongezwa katika sehemu hizo.
Nitolee copy mkeka wako bro1. Nabetia upande wa John Henche
2. Nabetia upande wa Sugu (Nguvu ya uma italazimisha matokeo halisi )
3. Nabetia upande wa Mdee ( Tofauti ndogo ya kura)
4. Nabetia upande wa Lema ( Ushindi kupewa baada ya vurugu kubwa na CCM kupata aibu ya Kimataifa)
Acha ujinga, wabunge wa Dar ni wabunge wa kitaifa.Mdee Lugha zake na matendo yake si aibu Kwa familia yake tu Ila Jimbo lote la kawe. Mda mwingi anatumia kwenye adhabu za ki bunge kuliko kuwatumikia wananchi. Ata familia yake ita pumzika kwa fedheha ambayo huwaletea pindi anapokua bungeni na nje ya bunge.
Uzuri mechihazirushwilive hivyo walioko uwanjani ndo watatuambia na kipindi kile kuna mechi kuuu kati yaKazi na uhuru vs marobot aka hapa kz tu1: Mwita Waitara vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi,
Unabeti kwa mihemko?1. Nabetia upande wa John Henche
2. Nabetia upande wa Sugu (Nguvu ya uma italazimisha matokeo halisi )
3. Nabetia upande wa Mdee ( Tofauti ndogo ya kura)
4. Nabetia upande wa Lema ( Ushindi kupewa baada ya vurugu kubwa na CCM kupata aibu ya Kimataifa)
65/1001. Nabetia upande wa John Henche
2. Nabetia upande wa Sugu (Nguvu ya uma italazimisha matokeo halisi )
3. Nabetia upande wa Mdee ( Tofauti ndogo ya kura)
4. Nabetia upande wa Lema ( Ushindi kupewa baada ya vurugu kubwa na CCM kupata aibu ya Kimataifa)
Karata Joker ni ya CCM.
Kazi ya JPM ilishauzika na upinzani walishaonyesha rangi halisi, ushindi hapo ni CCM.
Labda kina Heche ndiyo watatoa upinzani, lakini Arusha ambako nakaa sasa hivi Lema kwa heri. Hii kauli mtaikumbuka.
Umeona ndege tu?,pumbavu sana wewe kijanaHakuna karata ya Jon,sasaivi ndio watz wataonyesha uhalisia.ilikua karata ya propaganda na kumpamba.UKITAKA KUONGEA UELEWEKE ZUNGUMZIA MAENDELEO YA WATU SIYO VITU,UTAELEWEKA.mwananchi Hana maji tangu uhuru leo unmletea stori za kununua ndege.
Katika wote hao Mimi nanambetia sugu namba moja,Sina uhakika kama Sugu na Halima watarudi
Kwamba atafanyajeKatika wote hao Mimi nanambetia sugu namba moja,
Hii ndo mechi kali sana. Huyo mmama ni noma, biashara yake kubwa ni Bar pale IringaOngeza Msigwa vs Mtavasabanga
Hamna mechi hata moja kali hapo!! Msije mkawaponza tume ya uchaguzi mkatuletea machafuko!!1: Mwita Waitara vs John Heche - Tarime Vijijini
2: Tulia Acskon vs Sugu - Mbeya Mjini
3: Askofu Gwajima vs Halima Mdee - Kawe
4: Mrisho Gambo vs Godbless Lema - Arusha Mjini
Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .
Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi,
Huyu mama si alipigwa vibaya sana 2015Hii ndo mechi kali sana. Huyo mmama ni noma, biashara yake kubwa ni Bar pale Iringa
Gwajima ni kitu nyingine maskini Mzee ajiongeze tuMechi za kibabe. Hapo mtoto hatumwi sokoni. Heche na Waitara wanawezana. Namsikitikia Sugu. Watu wa Mbeya kwa Polisi ni wepesi. Halima kwa Gwajima atafute kazi ya kufanya. Lema na Gambo hapo ni moto. Muda ni mwalimu, yangu macho.