Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Na huyo mcheza movie za ngono nani amchague labda ile misukule anayowadanganyaga wajinga wake pamoja na ccm eti kaifufua
 
Hapo wabunge wametangazwa leo, iwe kwa ustaarabu, fitna au ubabe hao Chadema lazima wajiandae kisaikolojia hapo.

Majimbo yote yanarudi CCM
 
Hakuna sehemu yeyote CCM itashinda hapo

1.Kwa Sugu, kumbuka kwa sasa ngome ya Chadema ni nyanda za juu kusini!! Hakuna Jimbo CCM watashinda nyanda za juu kusini hasa Mbeya!!

2. Heche lazima atamshinda Mwita. Watu wa Tarime nao wanajitambua sana. Hawawezi kuhamishia matatizo ya wana ukonga Tarime. Mwita ni mbunge aliyefeli vibaya sana Ukonga. There is no way akaenda kushinda Tarime.

3. Kuhusu Mdee- Mdee anaenda kumpiga vibaya sana Gwajima. Gwajima kwa jimbo la Kawe hawezi kupita kwa sababu Kawe ni Jimbo la wasomi sana na watu wanaojiweza kifedha sana. Sio watu wa mihemko na ujinga.

Pia Gwajima ana scandals chafu sana ikiwemo ya ukabila baada ya clip zake kusambaaa mitandaoni akihamasisha wasukuma kuunda vikundi vya kikabila ili kum support magufuli. Project ya wapwa tuinuane ni ya Gwajima na hata polisi walimuita kuongea nae.

Mwisho gwajima ana uchafu mwingi wenye ushahidi wa wazi, kujirekodi akifanya mapenzi na wanawake ni moja ya machafu yake na piani mpotishaji mkubwa. Rejea mphiphilo kwenye korona. Kwa iyo sioni akipewa ushindi kwenye jimbo la wasomi na wenye fedha kama Kawe!!!

4. Mrisho Gambo na Godbless Lema.Hapa Gambo ana kazi kubwa kwa sababu alitumbuliwa vibaya kwa kashfa nyingi na Magufuli mwenyewe. Sioni ni kwa namna gani anaweza kujisafisha hapa kwa watu wa Arusha. Pili Gambo ana majivuno sana na ubabe wa kijinga mambo yaliyompelekea watu wengi sana kumchukia. Kwa hapa Naona Lema akimshinda Arusha

Mwisho ni nguvu ya Ushawishi ya Lissu. Hapa Nina uhakika wa asilimia 100. Nguvu ya Lissu itawabeba wana Chadema wengi sana mwaka huu maana Magufuli nae ana hali mbaya kwa Lissu
 
Kali kuliko yote ni Sugu na Tulia kumbuka Sugu ndio aliyepata kura nyingi kuliko wabunge wote uchaguzi uliopita
lakini alishinda dhidi ya nani?. Mwaka huu tofauti ya kura itakua ndogo sana
 
Na huyo mcheza movie za ngono nani amchague labda ile misukule anayowadanganyaga wajinga wake pamoja na ccm eti kaifufua
Hata Bill Clinton aliekua rais wa Amerika alipatikana na issue kama ya Gwajima ,hakuna jipya chini ya jua
 
Swali je uchaguzi utakuwa huru???
Kama hautakuwa huru ni vigumu kubashiri matokeo
 
Hivi kweli unategemea Gwajima kumshinda Halima Mdee? Kwa wafuasi wapi alionao, hao wa jumapili tena wa kusombwa na mabasi toka Mkuranga, Kibaha, Gongo la Mboto, Chanika na hata Morogoro? Hao wala si wapiga kura wa jimbo la kawe.
Nimewaza kama wewe
 
Mwaka huu majimbo magumu ni kumuuwa nyani bilakumuangalia usoni.
Kura zinapigwa kuanzia asubuhi.saa 7 usiku matokea yanabandikwa saa tisa usiku watu wanatawanyika.
Asubuhi pakikucha mtu keshaliwa kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…