Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

Uchaguzi 2020 Mechi kali nne za Uchaguzi Mkuu wa Wabunge ni majimbo ya Arusha Mjini, Kawe, Mbeya Mjini na Tarime Vijijini

1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi
hapa hakuna mechi , chadema wanachukua mapema , sana
 
Ukisema hapa Mbeya watu wa Mbeya wanampenda sana sugu bila kutaja kawafanyia nn watu wa Mbeya
Ni sawa na kuwadharau watu wa Mbeya
Siasa za mapenzi zipo katika vyama sio katika chaguzi
Box la kura linahitaji sera na utatuzi wa kero za wananchi
Kama wananchi watakuwa wanapenda tu watu bila sababu basi hao wananchi watakuwa ni vilaza
Anapendwa kwasababu hayupo nyuma katika kupigania uhuru wa mtanzania, Hakuna kitu muhimu kama kuwa na uhuru wa kujieleza, Kuna vipindi tofauti kawekwa centro, jela, n.k. Yote hii ni kwajili ya kupigania demokrasia tz.

We love sugu, tunapenda anapopigania uhuri wa kujieleza japo safari yake ni ngumu lakini tunampa sapoti arudi mjengoni, Uhuru kwanza mengine kama magorofa ndo yatafata baadae
 
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi
Kwa niijuavyo,hapa ni chana suruali,chana shati,garagaza mpaka vumbi litimke
 
Mbeya ya wapi mkuu unayo izungumzia? kikwete amewahi pigwa mawe na wana mbeya, kuna mkuu wa wilaya juzi apa alinyeshewa mvua ya mawe, je ni mbeya ipi unayoizungimzia?

Mechi za kibabe. Hapo mtoto hatumwi sokoni. Heche na Waitara wanawezana. Namsikitikia Sugu. Watu wa Mbeya kwa Polisi ni wepesi. Halima kwa Gwajima atafute kazi ya kufanya. Lema na Gambo hapo ni moto. Muda ni mwalimu, yangu macho.
 
Mdee Lugha zake na matendo yake si aibu Kwa familia yake tu Ila Jimbo lote la kawe. Mda mwingi anatumia kwenye adhabu za ki bunge kuliko kuwatumikia wananchi. Ata familia yake ita pumzika kwa fedheha ambayo huwaletea pindi anapokua bungeni na nje ya bunge.
Ni kweli kabisa.
 
Mechi za kibabe. Hapo mtoto hatumwi sokoni. Heche na Waitara wanawezana. Namsikitikia Sugu. Watu wa Mbeya kwa Polisi ni wepesi. Halima kwa Gwajima atafute kazi ya kufanya. Lema na Gambo hapo ni moto. Muda ni mwalimu, yangu macho.
Hivi kweli unafahamu mkoa wa mbeya wewe, kuna watu wengine mnaropoka
 
1: Mwita Waitara Vs John Heche - Tarime Vijijini

2: Tulia Acskon Vs Sugu - Mbeya Mjini

3: Askofu Gwajima Vs Halima Mdee - Kawe

4: Mrisho Gambo Vs Godbless Lema - Arusha Mjini

Hizi ni mechi kali sana za kukata na shoka .

Nategemea wote wafanye kampeni za kistarabu, wakinadi sera zao ili tuamue nani wawe wawakilishi
Mbeya Mjini sugu kashinda amini nakwambia
 
Blaza hapo naona odd Ni Kama 5000,..[emoji1666]
1. Nabetia upande wa John Henche

2. Nabetia upande wa Sugu (Nguvu ya uma italazimisha matokeo halisi )

3. Nabetia upande wa Mdee ( Tofauti ndogo ya kura)

4. Nabetia upande wa Lema ( Ushindi kupewa baada ya vurugu kubwa na CCM kupata aibu ya Kimataifa)
 
Blaza hapo naona odd Ni Kama 5000,..[emoji1666]
1. Nabetia upande wa John Henche

2. Nabetia upande wa Sugu (Nguvu ya uma italazimisha matokeo halisi )

3. Nabetia upande wa Mdee ( Tofauti ndogo ya kura)

4. Nabetia upande wa Lema ( Ushindi kupewa baada ya vurugu kubwa na CCM kupata aibu ya Kimataifa)
 
Karata Joker ni ya CCM.
Kazi ya JPM ilishauzika na upinzani walishaonyesha rangi halisi, ushindi hapo ni CCM.
Labda kina Heche ndiyo watatoa upinzani, lakini Arusha ambako nakaa sasa hivi Lema kwa heri. Hii kauli mtaikumbuka.
Kujidanganya
 
Kimei vs Mbatia
Mbatia atapata ushindi wa kishindo. Kimei maisha yake yote alikuwa buisy DSM akiwa mkurugenzi mkuu wa benki ya crdb. Wanavunjo wanamjua Mbatia tu na Lyatonga Mrema.
 
Back
Top Bottom