Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yeah chama cha mashoga"Ni heri nimuchague mtu anaekula kondoo wake kuliko kumuchagua mtu anaefanya mapenzi ya jinsia moja" Alisikika mpiga Kura mmoja kutoka Jimbo Fulani la Dsm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah chama cha mashoga"Ni heri nimuchague mtu anaekula kondoo wake kuliko kumuchagua mtu anaefanya mapenzi ya jinsia moja" Alisikika mpiga Kura mmoja kutoka Jimbo Fulani la Dsm.
Nikuulize ww mkuu....Mkuu hivi unamaanisha au kusukuma siku.
Mkuu napata Mashaka na alignment ya uelewa wako.Hao wote uliwataja watashindwa wanauwezo wa kula na kwenda haja kubwa na familia zao mpaka mwisho wa dunia, kusome watoto popote ulimwenguni, wewe wakishindwa ama wakishinda itakusaidia nini? pambana tafuta pesa acha kutabiri maisha ya watu na wakati familia mzima mpo kwa shemeji yako
Dawa imekuingia lakiniMkuu napata Mashaka na alignment ya uelewa wako.
Hapa wanatabiriwa wao Vs Wapinzani wao
Ccm.
Sio wao vs matunduizi.
Naomba kuwasilisha
Dawa iko pale juu kwa wapenda kwenda na misafara y nyumbuDawa imekuingia lakini
Sawa babuDawa iko pale juu kwa wapenda kwenda na misafara y nyumbu
Watu wake hawaishi Kawe kwahio ajiandae kisaikolijia hata akimuomba Mwamposa amsaidie bado ataliwa kichwa tuGwajima atapata kura za watu wake,
30,000.
Sahihi kabisa umemwambia. Ajiulize kuhusu yule alie tukana Wakatoliki na Waislamu Ccm imempitishaje kugombea Kawe?Acha kujitekenya mkuu....
Tundu Lissu ndio rais hao umewataja ni mawaziri muhimu sn kwenye serikali yake......
Hayo maeneo uliyoyataka hakuna watz mapoyoyo huko wote wanaakili timamu
Kumbe!Mdee hata asipofanya kampeni anashinda. Hakuna mwenye akili timamu atakayempigia kura Gwajima.
Kula 5 mkuuMdee hata asipofanya kampeni anashinda. Hakuna mwenye akili timamu atakayempigia kura Gwajima.
Haya maccm bana.... 🤔🤔Sahihi kabisa umemwambia. Ajiulize kuhusu yule alie tukana Wakatoliki na Waislamu Ccm imempitishaje kugombea Kawe?
Peleka utolopo wako kwa mapepo wenzio!Saikolojia ya wapiga kura imbedilika kwa 180° kutoka kusikiliza Maneno matupu kwenda kuona anayesema ametenda au amewahi kutenda nini.
Haya ni matokeo ya ukimya wa kisiasa miaka 5.
Sina wasiwasi wapinzani wao watashinda kwa matendo mema ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT. Wao watashindwa kwa Maneno mengi mazuri ambayo sio hitaji LA watanzania kwa jinsi walivyotengenezwa miaka 5 iliyopita.
Upepo huu utapita had I kwa mgombea yoyote wa upinzani ktk kiti cha urais.
Wafuasi wekeni Akiba ya hisia ili msijezirai kwa mishtuko ya matokeo ambayo mngeelewa utabiri wangu angalau mngeishia kuumwa kichwa tu.