Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hasira zipi?Punguza hasira, ila ni vizuri umemuelewa mleta uzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira zipi?Punguza hasira, ila ni vizuri umemuelewa mleta uzi.
Yawezekana nisieleweke vyema katika hili ila wale mnao mweleza Gwajima kuwa atachaguliwa na waumini wake kwa hivyo atashinda mnamdanganya.
HAKUNA muumini anae ishi maeneo Mikocheni Masaki Mikocheni anasali kanisa la la Gwajima, waumini wa makanisa haya ni wakazi wa Mbagala rangi TATU,Chalambe na Majimatitu na wote ni wakazi wa WILAYA moja anayoongoza Godwini Gondwe.
Kwa maana hiyo Gwajima angeshinda kama angepitishwa Temeke
Wajaribu waoneDafutari la wapiga kura litapelekwa kanisani kwa Gwajima kimya kimya na wataingizwa waumini wake. Halafu wakazi wa Kawe wataondoshwa.
Ni kweli maana hadi wengine anawa nanihii!!!!!Kusema kw
Kusema kweli 'wateja' wake ni watu wenye wakati mgumu ktk maisha na wanaotaka short cut ya maisha na bado anawakamua hawa hawa bila huruma. na wengi wanatoka kweli ktk makazi duni.
sasa naona wapambe wanaumiia mno kusikia wasichopenda kusikia hata kama kipo.Mbona ilo lipowazi.hao wabunge waanze kununua majiko ya kuchoma maindi waanze maisha mapya.
Hawa wanyanyembe uwawanavijimaneno viingi vya kujifariji wakati limoti ya kubadili chanel awana.sasa naona wapambe wanaumiia mno kusikia wasichopenda kusikia hata kama kipo.
Kuna sababu nyingi za kijinga kwa nini watu wanaugua BP wkati hawakupaswa
Kama unatusimulia mipango yenu michafu ya chama chako. Uamuzi ni wa wananchi sina hakika kama watawaruhusu kuleta ujinga wenu kwenye matokeo, hawatokubali ninaamini!Saikolojia ya wapiga kura imbedilika kwa 180° kutoka kusikiliza Maneno matupu kwenda kuona anayesema ametenda au amewahi kutenda nini.
Haya ni matokeo ya ukimya wa kisiasa miaka 5.
Sina wasiwasi wapinzani wao watashinda kwa matendo mema ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT. Wao watashindwa kwa Maneno mengi mazuri ambayo sio hitaji LA watanzania kwa jinsi walivyotengenezwa miaka 5 iliyopita.
Upepo huu utapita had I kwa mgombea yoyote wa upinzani ktk kiti cha urais.
Wafuasi wekeni Akiba ya hisia ili msijezirai kwa mishtuko ya matokeo ambayo mngeelewa utabiri wangu angalau mngeishia kuumwa kichwa tu.
kwaiyo we unawazidi uelewa wote wanaosalia kwa Gwajima?Hakuna mtu yeyote mwenye uelewa kichwani mwake anaweza kusalishwa ma Gwajima , huo ndio ukweli
sasa mi nakujibu kwamba si kweliKusema kw
Kusema kweli 'wateja' wake ni watu wenye wakati mgumu ktk maisha na wanaotaka short cut ya maisha na bado anawakamua hawa hawa bila huruma. na wengi wanatoka kweli ktk makazi duni.
bila shaka yoyotekwaiyo we unawazidi uelewa wote wanaosalia kwa Gwajima?
Wacha maneno Leta takwimu tuzisome hapaYawezekana nisieleweke vyema katika hili ila wale mnao mweleza Gwajima kuwa atachaguliwa na waumini wake kwa hivyo atashinda mnamdanganya.
HAKUNA muumini anae ishi maeneo Mikocheni Masaki Mikocheni anasali kanisa la la Gwajima, waumini wa makanisa haya ni wakazi wa Mbagala rangi TATU,Chalambe na Majimatitu na wote ni wakazi wa WILAYA moja anayoongoza Godwini Gondwe.
Kwa maana hiyo Gwajima angeshinda kama angepitishwa Temeke
kweli endelea kujivimbisha kichwabila shaka yoyote
Gwajima yupi??? Huyu aliyehamasisha siasa za kikabila za kisukuma????!Udini hauna nafasi kwenye huu uchaguzi,
Hata angegombea Shekhe Issa Ponda kama kwa vile anaushawishi na mchapa kazi angepewa tu ushindi.
Propaganda za udini hazitafua dafu!
Tumuunge mkono Gwajima kwa maendeleo yetu sote bila kujali imani zetu wala itikadi.
Sahihi. Hakuna anayesali kwa Gwajima ambaye yuko sawa kichwani. Hakunakwaiyo we unawazidi uelewa wote wanaosalia kwa Gwajima?