baada ya miaka 4 tena kwa kuloga mvuaUmesahau kuwa nyau alikukanda mbili hata siku 7 za fungate hazijaisha
Second leg bora wapinzani wasevu nauli wakubali fainiMamelod naona wana hatari sasa
[emoji23][emoji23]Second leg bora wapinzani wasevu nauli wakubali faini
Hadi Wydad mlisema hivyo hivyo lakini leo Polimilai zote zimekatamkuu wahi hosp hii si dalili nzuri kwa afya ya akili
Njoo simba na yanga sasaKikosi cha Mamelody wanaokipiga siku ya leo ni wachezaji wawili tu ndio wageni Boutoul Raia wa Moroco na Shalulile Raia wa Namibia wachezaji tisa waliobaki wote ni wazawa.
vivyo hivyo kwa Bouilzada wachezaji wawili Iwuala ni raia wa Nigeria na Laurent Wamba ni raia wa Cameroon wachezaji tisa waliobaki ni wazawa.
tena wengine ni mizigo kabisa lakini wanaletwa tu kisa katoka nje ya nchi.Njoo simba na yanga sasa
DahVilabu vikubwa vyenye hadhi Africa vimecheza siku ya leo michuano ya CAFCL.
FT:Kabyile 0-1 Esparance.
FT:Simba 1-0 Wydad AC.
Mechi zinazoendelea kuchezwa muda huu ni Al ahly Vs Raja Casablanca.
CR beoulzdad Vs Mamelody.
Unawaangalia Mamelodi wanachofanya?Mamelody na Wydad wote ni same level
Ukiangalia H2H kwenye michezo 10 waliyokutana utaona Mamelody kashinda mechi 3 wakati Wydad kashinda mechi 4 halafu draw ni 3
Wao walituangalia sisi tulichokifanya kwa Horoya?Unawaangalia Mamelodi wanachofanya?
Ni Namibia boy sio ZimbabweYule mzimbabwe Shalulile ni hatari sana...
Unawaangalia Mamelodi wanachofanya?
Wakati anaongoza 2-0Al Ahly anajiwekea wakati mgumu sana kwenye second leg
Au sio [emoji38][emoji38]Wao walituangalia sisi tulichokifanya kwa Horoya?
Laiti kama ilo goli angekuwa kafunga Raja......dk ya 84 Al ahly naongeza goli la pili.
Al ahly 2-0 Raja.
Hapo fresh sasa kwenye marudiano hawezi kuwa na kazi ngumudk ya 84 Al ahly naongeza goli la pili.
Al ahly 2-0 Raja.