Unakumbuka tulichomfanya messi kabla hajatimka barca? Ndio hicho tutamfanya huyo nduguyo VillarrealKila laheri city
My prediction
City and Villa real, final
................OR...................
Madrid and Villa real, final
Liverkuku out, labda waendelee kubebwa kama kawaida yao
Hao wanakiona kombe wanatama lazima wabebe hapo nusu man city naona anatoka kweupeYes mkuu ni game matata sana,ila kuna timu hapa duniani zikifanikiwa kupenya kwenye mchujo wa chini inakua ngumu sana kuzisimamisha, Real Madrid it's one of that teams, Real Madrid wataingia final na kubeba kikombe hiki,hapa Africa definitely Ahily ya Egypt watachukua tena ubingwa wa Africa, hizi team sio za kuziachia zifikie ngazi ta semi finals
Wakiingia liverpool na city ngoma nzito, mapenzi yangu yapo kwa Liverpool achukue lakini namjua vizuri pep hawezi kukubali kupigwa tena, na nina wasiwasi hiyo fainali itafika kipindi ambacho liverpool anachukua epl kazi itakuwepo.Faunali ikiwa Mancity na Liver itakuwa na mvuto wa aina yake. Huku ligi huku Uefa. Ila naiombea sana city ichukue UEFA.
KeshoGame saa ngapi wakuu?
Sijaona point Apo umeandika pumbaCity jama huyu gadiola Ana gundu awez beba kombe Hilo la uefa kwa sasa andelee kuioneaa ligi kuu to had arudi baca alikolibeba
Kwani Mara ya kwanza anakutana na man city?Madrid kwenye hiyo ligi huwa anachezega kufa na kupona,lazima amkalishe mtu,ila ngoja tuone.mpira dk90
Wapi nimeongelea hayo?Kwani Mara ya kwanza anakutana na man city?
Ni kweli mkuu hii timu ikishaingia semi final inakua ngumu kuizuiaHao wanakiona kombe wanatama lazima wabebe hapo nusu man city naona anatoka kweupe
Sio kwa Madrid hii mbovu.Ni kweli mkuu hii timu ikishaingia semi final inakua ngumu kuizuia
Villa real mpaka sasa ndio timu pekee inayotoa Surprise kwa wapenzi wa kandanda dunianiKuna uwezekano mkubwa fainali ikawa ya liverpool na city 70%(hapa naipa game 50% fifte, naiona liverpool vizuri ila guardiola si mwepesi kumpiga kama ngoma), Liverpool na real Madrid 25%(Liverpool to win is 80%) Villarreal na timu yoyote naipa 5% sababu mpira una mambo ya ajabu ila kwa asilimia 95 naamini Villarreal hafiki fainali akifika basi kulikosa kombe ni kwa 98%. Labda akutane na muhispania mwenzie ndio atafurukuta akikutana na man city itakiwa moja kati ya mechi mbovu kutizama.
Mkuu binafsi simpendi Kipara hata kwa 0.001% lakini kiukweli tu mwaka huu kombe la UEFA champions league limempenda hasa, sasa tufanyeje zaidi tu ya kushuhudia leo atavyommiminia Real Madrid mvua ya kutosha ya magoli mengi [emoji848][emoji16]MTOTO halali na pesa, yake mavi TU[emoji4]
Ninyi si wa kupuuzwa sana na City mwaka huu kajipanga haswa hata ugenini anaweza kupata matokeo bila wasiwasi.City vs RMA-2-1 first leg
EPL ni ya Man City kwa mtizamo wangu, tuombe uzima kwa MunguWakiingia liverpool na city ngoma nzito, mapenzi yangu yapo kwa Liverpool achukue lakini namjua vizuri pep hawezi kukubali kupigwa tena, na nina wasiwasi hiyo fainali itafika kipindi ambacho liverpool anachukua epl kazi itakuwepo.
But ipo semi final, ubovu gani unaousema?Sio kwa Madrid hii mbovu.