Mechi ya Simba vs Mtibwa na Ihefu, siyo kipimo sahihi kwa kwa mchezaji Jean baleke na kuanza kumuita "the goal machine"

Mechi ya Simba vs Mtibwa na Ihefu, siyo kipimo sahihi kwa kwa mchezaji Jean baleke na kuanza kumuita "the goal machine"

Kipimo Cha Mayele kilikuwa Zalan FC au siyo.

Hivyo tutumie ligi ipi kumpima.

Kwahiyo kocha anamtuma uwanjani kufanya nini?

Mcheezaji kufunga inategemea fitness yake, mbinu za kocha na mazingira ya timu kwa ujumla. Kombinesheni ya ubora wa wachezaji wenzake pia.

Kwani Mazembe pale mna timu gani?

Swali ni je tumpime kwa mechi gani, Na je akifanya vizuri tisimsifie?

WEWE NI UTOPOLO HUJUI CHOCHOTE KUHUSU UTOPOLO YAKO KUTWA UNAIWAZA SIMBA. hamna Cha kuandika kuhusu Yanga yenu?

Nb: mechi kumi za mwisho mashindano yote: Baleke goli 12,Mayele goli 4.
"Nb: mechi kumi za mwisho mashindano yote: Baleke goli 12,Mayele goli 4."

Hata Kama baleke atakua na magoli kumi na mbili kumzidi mayele lakini bado mayele ataitwa the goal machine kwa sababu mpaka Sasa ana magoli mengi

Huyo balleke kwa namna mnavyompamba bado hajafikia hiyo level yakuitwa the talk of the Town Kama kolo mwenzio OKW BOBAN SUNZU anavyomtukuza .
 
So tutumie nn kumpima. Kwasababu ndiyo Kazi aliyomtuma kocha.

Na asingefunga mngekuwa mnakunya Nini humu!

Hao Ihefu wewe ulie bora uliwafunga goli ngapi?

Juzi mlisema Simba kanunua mechi, hoja imekufa leo Ihefu imegeuka kuwa dhaifu
Sasa kwa mpira alioucheza ihefu ni Mpira wakumpo ngeza ihefu kweli au na wewe unaropoka tu.
 
Juzi Ihefu Ni timu imara haiwezi kufungwa goli 5,Ihefu imeuza mechi.

VS

Leo Ihefu Ni timu dhaifu si kipimo kwa Baleke.

Manara aliwahi kusema: Pale utopoloni kuna watu 2 tu wenye akili, Kikwete na Mzee Sunday Manara.

(Hii haijabadilika wenye akili Ni hao 2 hajaongezeka hata mmoja)
Sawa mbumbuu fc
Kwa namna mnavyomuimba huyo mchezaji wenu nakumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa wakati bado hajadhihirisha.
 
"Nb: mechi kumi za mwisho mashindano yote: Baleke goli 12,Mayele goli 4."

Hata Kama baleke atakua na magoli kumi na mbili kumzidi mayele lakini bado mayele ataitwa the goal machine kwa sababu mpaka Sasa ana magoli mengi

Huyo balleke kwa namna mnavyompamba bado hajafikia hiyo level yakuitwa the talk of the Town Kama kolo mwenzio OKW BOBAN SUNZU anavyomtukuza .
Update takwimu zako tena...JINI Baleke limetupiamo mbili
 
Tafuta mume uolewe nyege mbaya sana
 
Hizi timu unazoziita dhaifu (mtibwa na Ihefu) hata manywele alicheza nazo lakini hatukuona alichokifanya . Mbaya zaidi hii Ihefu unayoiita dhaifu ndiyo iliyowatoa bikra .

Basi tuseme hata manywele ni galasa anafunga timu dhaifu kwasababu timu alizozifunga ndizo hizihizi za ligi kuu ya NBC anazozifunga Jean Baleke a.k.a JINI BALEKE
IMG-20221129-WA0051.jpg
 
Back
Top Bottom