Hilo ni lishangingi la mitaa ya Mfaranyaki Songea...ila limekulia Peramiho.Jenister Mhagama alichafua hali ya hewa.
Aliongea kwa mbwembwe kana kwamba ana uhakika wa 100% Rais Samia atapandisha mishahara.
Kiukweli Jenister amempa wakati mgumu mh Rais katika kuhutubia!
Tunawaza pamoja hata mie nafikiri Kuna Hali kama hiKuna kitu hapa nimekichunguza nikahisi, naona Rais na serikali yake kwa namna fulani kama wanataka kuzima tetesi zizazozagaa kwenye mitandao halafu baadae huwa kweli, ni kama wanajaribu kurudisha imani ya wananchi kwa serikali yao (siri).
Sasa nahisi wameona wasome upepo kwenye mitandao wakiona watu wanaaminishwa jambo fulani (baada ya taarifa kuvuja) wao waje tofauti ili kuwapunguzia wenye ushawishi mitandaoni (twitter in particular) waonekane waropokaji na wazandiki.
Japo inawezekana kweli mpango ulikuwa ni kuongeza mishahara ndio maana mpaka kina Mhagama walikuwa wanajua hilo, inawezekana mchezo umebadilishwa ghafla hata hao kina Mhagama hawakuwa na habari.
You are just betting.Kuna kitu hapa nimekichunguza nikahisi, naona Rais na serikali yake kwa namna fulani kama wanataka kuzima tetesi zizazozagaa kwenye mitandao halafu baadae huwa kweli, ni kama wanajaribu kurudisha imani ya wananchi kwa serikali yao (siri).
Sasa nahisi wameona wasome upepo kwenye mitandao wakiona watu wanaaminishwa jambo fulani (baada ya taarifa kuvuja) wao waje tofauti ili kuwapunguzia wenye ushawishi mitandaoni (twitter in particular) waonekane waropokaji na wazandiki.
Japo inawezekana kweli mpango ulikuwa ni kuongeza mishahara ndio maana mpaka kina Mhagama walikuwa wanajua hilo, inawezekana mchezo umebadilishwa ghafla hata hao kina Mhagama hawakuwa na habari.
Hakuna mtakatifu mwizi,muongo na muuaji. Usijidanganye,Kuna kizazi cha watanzania kitakuja na maamuzi ya kumpa hayati heshima ya utakatifu, i mean st. Magufuli. Itakuwa miaka kadhaa mbele na si kizazi hiki cha mafisadi na wala rushwa
Kwa wasukuma na warundi alikuwa boraSubiri kidogo tu tutaelewana! JPM alikuwa ni hero kubali Katapa huo ndiyo ukweli unaowauma
Nami nahisi kitu Kama hichoKuna kitu hapa nimekichunguza nikahisi, naona Rais na serikali yake kwa namna fulani kama wanataka kuzima tetesi zizazozagaa kwenye mitandao halafu baadae huwa kweli, ni kama wanajaribu kurudisha imani ya wananchi kwa serikali yao (siri).
Sasa nahisi wameona wasome upepo kwenye mitandao wakiona watu wanaaminishwa jambo fulani (baada ya taarifa kuvuja) wao waje tofauti ili kuwapunguzia wenye ushawishi mitandaoni (twitter in particular) waonekane waropokaji na wazandiki.
Japo inawezekana kweli mpango ulikuwa ni kuongeza mishahara ndio maana mpaka kina Mhagama walikuwa wanajua hilo, inawezekana mchezo umebadilishwa ghafla hata hao kina Mhagama hawakuwa na habari.
Nami nina jibwa langu lilikufwa mwezi uliopita. Nalikumbuka vilivyo"Na mimi nasema mtanikumbuka! Si kwa mabaya bali kwa mema"
Alipata kusema shujaa mmoja wa Afrika.Endelea kupumzika kwa amani jemedari.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Bila chengaSisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
SA ya makaburu ilikua na uchumi imara kuliko hata SA ya weusi sasa unataka kusema kwa matatizo wanayopitia weusu kule SA ya umaskini wa kutupwa warudi chini ya Apartheid policy?soon very soon
mliyempa majina ya ajabu ajabu mtamkumbuka sana
Kwa kipi labda wizi.soon very soon
mliyempa majina ya ajabu ajabu mtamkumbuka sana
Huyo mwache tu, usitukumbushe machungu, alichokua anajua ni kusimanga na kutufokea wafanyakazi.Bora leo hatujaongezwa lakini pia hatujafokewa wala kusimangwaSisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
mmelishwa matango na kigogoNa kuiba live