Mei Mosi 2021: Makosa niliyoyaona kwenye Hotuba ya rais Samia na wasaidizi wake

Mei Mosi 2021: Makosa niliyoyaona kwenye Hotuba ya rais Samia na wasaidizi wake

Jenister Mhagama alichafua hali ya hewa.

Aliongea kwa mbwembwe kana kwamba ana uhakika wa 100% Rais Samia atapandisha mishahara.

Kiukweli Jenister amempa wakati mgumu mh Rais katika kuhutubia!
Hilo ni lishangingi la mitaa ya Mfaranyaki Songea...ila limekulia Peramiho.
 
Kuna kitu hapa nimekichunguza nikahisi, naona Rais na serikali yake kwa namna fulani kama wanataka kuzima tetesi zizazozagaa kwenye mitandao halafu baadae huwa kweli, ni kama wanajaribu kurudisha imani ya wananchi kwa serikali yao (siri).

Sasa nahisi wameona wasome upepo kwenye mitandao wakiona watu wanaaminishwa jambo fulani (baada ya taarifa kuvuja) wao waje tofauti ili kuwapunguzia wenye ushawishi mitandaoni (twitter in particular) waonekane waropokaji na wazandiki.

Japo inawezekana kweli mpango ulikuwa ni kuongeza mishahara ndio maana mpaka kina Mhagama walikuwa wanajua hilo, inawezekana mchezo umebadilishwa ghafla hata hao kina Mhagama hawakuwa na habari.
Tunawaza pamoja hata mie nafikiri Kuna Hali kama hi
 
Kuna kitu hapa nimekichunguza nikahisi, naona Rais na serikali yake kwa namna fulani kama wanataka kuzima tetesi zizazozagaa kwenye mitandao halafu baadae huwa kweli, ni kama wanajaribu kurudisha imani ya wananchi kwa serikali yao (siri).

Sasa nahisi wameona wasome upepo kwenye mitandao wakiona watu wanaaminishwa jambo fulani (baada ya taarifa kuvuja) wao waje tofauti ili kuwapunguzia wenye ushawishi mitandaoni (twitter in particular) waonekane waropokaji na wazandiki.

Japo inawezekana kweli mpango ulikuwa ni kuongeza mishahara ndio maana mpaka kina Mhagama walikuwa wanajua hilo, inawezekana mchezo umebadilishwa ghafla hata hao kina Mhagama hawakuwa na habari.
You are just betting.
 
Kuna kitu hapa nimekichunguza nikahisi, naona Rais na serikali yake kwa namna fulani kama wanataka kuzima tetesi zizazozagaa kwenye mitandao halafu baadae huwa kweli, ni kama wanajaribu kurudisha imani ya wananchi kwa serikali yao (siri).

Sasa nahisi wameona wasome upepo kwenye mitandao wakiona watu wanaaminishwa jambo fulani (baada ya taarifa kuvuja) wao waje tofauti ili kuwapunguzia wenye ushawishi mitandaoni (twitter in particular) waonekane waropokaji na wazandiki.

Japo inawezekana kweli mpango ulikuwa ni kuongeza mishahara ndio maana mpaka kina Mhagama walikuwa wanajua hilo, inawezekana mchezo umebadilishwa ghafla hata hao kina Mhagama hawakuwa na habari.
Nami nahisi kitu Kama hicho
 
Tamko si limetolewa kwamba mwaka ujao tarehe Kama hizi atapandisha,ni tofauti na jiwe alikuwa anasema ipo siku ngoja amalize miradi kana kwamba miradi huwa inaisha.

Hata Kuondoa hiyo retention fee mama kafanya kubwa ikizingatiwa bado mgeni ofisini.Mama anaonekana ana nia ya dhati tumpe muda atulie
 
Kwakweli baada kifo cha mwendazake ilitakiwa uchaguzi ufanyike tupate kiongozi mpya hii hali ya leo imesikitisha sana
 
Yote Tisa lakini binafsi nawalajmu wasaidizi au waandishi wa hotuba kuweka maneno nitafanya hiki na kile..kwa mfano upo wakati mheshimiwa alisema nitapandisha mishahara mwakani...kwa maoni yangu alipaswa kusema serikali itapandisha na siyo yeye Rain aseme Nita..waandishi wa hotuba wawe makini..
 
soon very soon

mliyempa majina ya ajabu ajabu mtamkumbuka sana
SA ya makaburu ilikua na uchumi imara kuliko hata SA ya weusi sasa unataka kusema kwa matatizo wanayopitia weusu kule SA ya umaskini wa kutupwa warudi chini ya Apartheid policy?

Hivi nani kaukuza uchumi wa ujerumani kuliko Hitler? Hvi Uganda inaweza paa kiuchumi kma enzi za viwanda vya jinja chini ya Idd Amin? Unataka kusema Ug watamkumbuka Amin?

Ubaya wa JPM hauwezi kufutwa na madhaifu ya Samia..... Mumkumbuke au lah he's dead mwili ushaoza yupo kuzimu huko. So haitosaidia kitu zaidi ya kuharakisha anguko la CCM
 
Kama alisema kuna tamko haimaanishi asipotamka mshahara hakutamka unless unampangia vya kutamka. Binafsi nimeyasikia matamko lukuki.
 
Tatizo letu watanzania ni kuropoka ovyo.tumepewa na tumeruhusiwa kusema lolote ili mradi tusivunje sheria.sasa hakumaanishi useme au uandike bila ya kuyapima.Sasa huyu mleta mada kapewa uhuru kamili wa kuandika anachokiona badala yake ETI anamshauri Mama Mh.Rais nini cha kufanya.

Mh.Rais wa awamu ya sita ni mkweli na muwazi.Tubadilike tumedanganywa miaka 6,na wote tulifyata mkia.tunasema kwa woga na kunonengezana.vyuma vimekaza.sasa tumejaaliwa Rais Mkweli na Muwazi tunaanza tabia zetu za kujifanya tunajua sana.keshatuahidi mwakani mambo ya mishahara yatarekebishwa hamtaki.tumedanganywa miaka 6 mmenyamaza kama waliopakwa super glue midomoni,mwaka mmoja tu mnalalama.

Acheni hizo.Kama huna cha kuandika bora unyamaze.Wananchi takriban wote Tanzania nzima wamefurahishwa na hotuba ya Mh.Rais Leo.Mama keep it up.UGANDA WANAKUTAKA PALE MAKERERE UNIVERSITY UKAWANOE KUHUSU UCHUMI NA MAENDELEO YA WANANCHI.WANAOMBA KUPATA KIONGOZI KAMA WEWE.
 
Back
Top Bottom