Mei Mosi 2021: Makosa niliyoyaona kwenye Hotuba ya rais Samia na wasaidizi wake

Huyo mwache tu, usitukumbushe machungu, alichokua anajua ni kusimanga na kutufokea wafanyakazi.Bora leo hatujaongezwa lakini pia hatujafokewa wala kusimangwa
Lazima mfokewe nyie wazembe manake bila hivyo hamuendi
 
Kama mishahara ingekuwa inapandishwa leo hii dalili zingeanza kuonekana siku Mpango alipoiweka hadharani hotuba ya bajeti.

Hakufanya hivyo kwa hiyo ilitegemewa kabisa kuwa ongezeko la mshahara lisingeweza kutangazwa.

Alichokifanya Rais ni kuwajenga kisaikolojia wafanyakazi kwa kuwaambia kuwa mwakani litakuwepo ongezeko la mshahara.

Ukishakuwa mwanasiasa ni lazima ujue namna ya kutumia kinywa chako vizuri ili maneno yako yawe ni makali lakini yasiyomuumiza mtu kwa muda ule anapokusikiliza. Rais amejifunza namna ya kuitumia vyema hii silaha kutoka kwa Mzee Jakaya Kikwete.
 
Halafu ifike point tuache kuwasema swma viongozi vibaya nao ni binadamu...nyie ndo mnafanya viongozi wanabadilika na kuanza kutufanyia maovu kuweni na shukran na jema pia.

#chawa_wa_samia_suluhu_hassan
 
Hotuba ya My. Rais siyo public document. Ni siri. Na Rais wetu Samia ni mtu mzuri sana kuhakikisha hakuna siri Inatoka. Pili kwa muda wake mfupi na changamoto zilizopo si rahisi kupandisha mshahara. Kwanza ngoja apandishe vyeo/madarasa maana madarasa mapya pia nayo ni ongezeko la mshahara. Hivyo pia fungu la kuwapandishia mshahara litengwe. Inaonekana halikutengwa maana budget huwa inaandaliwa mapema.
Kwa msingi hiyo tumpe muda. Mwakani akikausha tena ndipo lawana kalikali zimuandame.
Kwa leo yapo machache amefanya ambayo itakuwa ni ahueni kidogo kwa mtumishi wa umma.
 
Kama wangejua kuwa mishahara haipandwishi wasingejitokeza wafanya kazi wangebaki makwao.

Hata hivyo nimefurahi wacha hiyo hela ya nyongeza ikaajiri vijana wanasota mitaani.
 
Mkuu nimekuelewa sana[emoji120],
 
Kuwa na akili basi, bajeti ilishatengenezwa kukiwa hakuna fungu la nyongeza, sasa unataka yeye adange aongeze mshahara?
Sasa kwanini kuwahadaa wafanyakazi kwa maneno matamu matamu???
 
soon very soon

mliyempa majina ya ajabu ajabu mtamkumbuka sana
Akumbukwe kwa lipi ndugu?
Utekaji?
Kupoteza watu?
Kuleta wasiojulikana?
Kuongeza mishahara Mara dufu?
Au kwa lipi ndugu?
Kwa kujenga mabarabara?madaraja?
Raisi yupi aliepita hakujenga?
Au wewe nitajie rais yupi hakuongeza mishahara?maana marais wote waliopita walishaongeza.Kasoro Samia tu.
 
Fuatilia vema matamko ya Jenista Mhagama hata kabla ya hii mei mosi iliyopita jana... anzia bungeni wakati hususan bunge lililopita kisha matamko yake mengine utapata majibu wizara hiyo kwanini ina ombwe... labda yupo pale kwa kazi maalum... ajira zinazidi kudidimia wawekezaji wakizidi kuchanja mbuga mpaka imebidi apunguziwe huo mzigo kwa kuteuliwa ndugu Mwambe...
 
Kuna kizazi cha watanzania kitakuja na maamuzi ya kumpa hayati heshima ya utakatifu, i mean st. Magufuli. Itakuwa miaka kadhaa mbele na si kizazi hiki cha mafisadi na wala rushwa
kiongozi was malaika πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ulitegemea huyu angeweza kumfunika Magu?! Magu is next to Nyerere. Hata kwa Nyerere anachopungukiwa ni ile brilliance ya Nyerere. Otherwise he is far ahead of them all.
huo mzoga wenu hakuna wa kumfikia kwa kuua watu na kuua demokrasia. Matatizo yote tunayoyapata Leo yameletwa na yeye. Mbona kabla yake mambo ya maslahi ya wafanyakazi yalikuwa yanakwenda vizuri tu.
 
huo mzoga wenu hakuna wa kumfikia kwa kuua watu na kuua demokrasia. Matatizo yote tunayoyapata Leo yameletwa na yeye. Mbona kabla yake mambo ya maslahi ya wafanyakazi yalikuwa yanakwenda vizuri tu.
NWOR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…