Meli 13 zinahudumiwa muda huu bandari ya DSM Januari 28/2024

Meli 13 zinahudumiwa muda huu bandari ya DSM Januari 28/2024

Hangaika na sentensi hii hapa:

"Tanzania Ports Authority (TPA) has suspended the bagging of loose cargo inside Dar es Salaam Port to reduce the number of waiting ships and causing congestion in the facility"
Mzito sana kuelewa, nimekwambia kutokana na article yako siyo bandari ya Dar peke yake iliyopata congestion. Bandari za South Afrika, Djibouti n.k zimepata congestion na siyo dhambi, ni booming ya biashara kutokana mwisho wa mwaka kama ilivyo kwenye utalii kuna high season na low season. Ongezeko la meli siyo laana. Sasa kuzuia bagging na hatua nyingine ambazo bandari watakuwa wamechukua ni njema kwakua wamefanya assessment ya kitaalam kufikia huo uamuzi au wewe unautaalam kushinda wao??
👇👇👇👇👇👇

👉 Mwandishi anawaquote bandari ya Dar akiwaeleza wateja wake kuwa amezuia kufanya bagging kama measure ya kupunguza msongamano.
"Tanzania Ports Authority (TPA) has suspended the bagging of loose cargo inside Dar es Salaam Port to reduce the number of waiting ships and causing congestion in the facility".

👉 Mwisho wa mwaka ni high season ya kibiashara kupitia hiyo article mwandishi anataja bandari za south Afrika zimeexperience Congestio, Djibout n.k
👉 Kutokana na congestion na inefficiencies ya bandari za south afrika Both bandari ya Dar na Mombasa zimeshuhudia ongezeko la meli zilizotarajiwa kudock kwenye bandari hizo.
"With the suspension of Durban and increased congestion in other South African ports, Mombasa and Dar es Salaam ports have registered increased vessels scheduled to dock in the next 15 days".

👉 Lakini kitu ambacho kinasikitisha ni wewe kubeba mstari mmoja tu wa article nzima tena yakiwa ni maoni ya KPA Managing Director na akifanya reference ya Meli moja tu inasema :-
"according to Kenya Ports Authority (KPA), some ships destined for Tanzania are now being diverted to Mombasa port.

Last week, MV Jolly Oro, which was expected to offload its cargo in Dar es Salaam docked at Mombasa to discharge 510 containers belonging to Tanzanian importers", KPA Managing Director Capt William Ruto said.
Haya ni maneno ya propaganda kabisa, hayana verification ya number.

👉 Mombasa hawawezi kuwa na Congestion sababu hawana biashara, bandari yetu inabiashara ndio maana meli zinakuja na zinaongezeka siyo laana ni fursa. Ni eneo la kimkakati umbali kutoka landlocked countries, kuendelea kuboreshwa kwa Miundombinu, upatikanaji wa mizigo ya kuexport n.k

👉Acha porojo tazama ukweli, tena inaoneka hujasoma hiyo article
 
Kiufanisi bandari ya Dar inapaswa kuhudumia mzigo nusu ya bandari ya Mombasa lakini mwaka Jana Mombasa yenye magati 22 wamehudumia tani takribani milioni 28 huku Bandari ya DSM yenye magati 12 ikahudumia tani milioni 22. Kihesabu ilipaswa kuzidiwa tani milioni 12.
Kiutendaji bandari ya DSM inaikimbiza sana bandari ya Mombasa ukilinganisha miondombinu na vifaa walivyonavyo.
 
Mzito sana kuelewa, nimekwambia kutokana na article yako siyo bandari ya Dar peke yake iliyopata congestion. Bandari za South Afrika, Djibouti n.k zimepata congestion na siyo dhambi, ni booming ya biashara kutokana mwisho wa mwaka kama ilivyo kwenye utalii kuna high season na low season. Ongezeko la meli siyo laana. Sasa kuzuia bagging na hatua nyingine ambazo bandari watakuwa wamechukua ni njema kwakua wamefanya assessment ya kitaalam kufikia huo uamuzi au wewe unautaalam kushinda wao??
👇👇👇👇👇👇

👉 Mwandishi anawaquote bandari ya Dar akiwaeleza wateja wake kuwa amezuia kufanya bagging kama measure ya kupunguza msongamano.
"Tanzania Ports Authority (TPA) has suspended the bagging of loose cargo inside Dar es Salaam Port to reduce the number of waiting ships and causing congestion in the facility".

👉 Mwisho wa mwaka ni high season ya kibiashara kupitia hiyo article mwandishi anataja bandari za south Afrika zimeexperience Congestio, Djibout n.k
👉 Kutokana na congestion na inefficiencies ya bandari za south afrika Both bandari ya Dar na Mombasa zimeshuhudia ongezeko la meli zilizotarajiwa kudock kwenye bandari hizo.
"With the suspension of Durban and increased congestion in other South African ports, Mombasa and Dar es Salaam ports have registered increased vessels scheduled to dock in the next 15 days".

👉 Lakini kitu ambacho kinasikitisha ni wewe kubeba mstari mmoja tu wa article nzima tena yakiwa ni maoni ya KPA Managing Director na akifanya reference ya Meli moja tu inasema :-
"according to Kenya Ports Authority (KPA), some ships destined for Tanzania are now being diverted to Mombasa port.

Last week, MV Jolly Oro, which was expected to offload its cargo in Dar es Salaam docked at Mombasa to discharge 510 containers belonging to Tanzanian importers", KPA Managing Director Capt William Ruto said.
Haya ni maneno ya propaganda kabisa, hayana verification ya number.

👉 Mombasa hawawezi kuwa na Congestion sababu hawana biashara, bandari yetu inabiashara ndio maana meli zinakuja na zinaongezeka siyo laana ni fursa. Ni eneo la kimkakati umbali kutoka landlocked countries, kuendelea kuboreshwa kwa Miundombinu, upatikanaji wa mizigo ya kuexport n.k

👉Acha porojo tazama ukweli, tena inaoneka hujasoma hiyo article
Soma hii link ;



Wafanyabiashara wa Dar waikimbia bandari na wapitishia shehena zao Mombasa Kenya
 
Soma hii link ;



Wafanyabiashara wa Dar waikimbia bandari na wapitishia shehena zao Mombasa Kenya
Nairobi News!!! kwelii???? Verification??? Achana na viblog. Alafu ya siku nyingi sana.

Weka articles zenye authenticity. Cheki hapo chini 👇

How Dar port plans to surpass this year’s target​

What you need to know:​

  • The Dar es Salaam port has already handled 12 million tonnes of cargo in the first six months of the 2023/24 financial year, which is more than half of the target set by the goverment.
 
How Dar port plans to surpass this year's target

Monday, January 15,2024
By Louis Kolumbia
THE CITIZEN

Dar es salaam. The Dar es salaam port director Mrisho Mrisho yesterday unveiled an internal target of handling 24 million tonnes of cargo in the 2023/2024 fiscal year, thanks to the execution of Dar es salaam Maritime Gateway project (DMGP).
👉 The amount is equivalent to two million tonnes more than the 22 million tonne target set by the gorvenment in its budget estimates.
Mrisho divulged the plans to journalist during a visit to witness operational transformation after the compleation of the DMGP.
👉 Mrisho said the Dar es salaam port has already handled 12 million tonnes of cargo in the first six months of 2023/2024.
"Only 10 million tonnes of cargo are remaining to meet the government's target. But, internally, we have forecasted to handle 24 million tonnes, therefore further exceeding the target," he said.
👉 Looking at the statistics and vessel arrivals, we are optimistics about meeting the 24 million tonnes target. Ports under the Tanzania Ports Authority (TPA) handled 24 million tonnes last financial year. But that amount would be handled only by the Dar es salaam port this year," he added.
👉 He said the last fiscal year, the Dar es salaam port handled 21.46 million tonnes, surpassing the 19.6 million tonnes target by over two million tonnes.
The handled amount also surpasses the 18 million tonnes of cargo handled in the 2021/2022 financial year, according to him.
👉 Mrisho said revenue data in the last six months from the Tanzania Revenue Authority (TRA) shows that 40 percent of customs revenue comes from the Dar es salaam port.
"The port's efficiency directly links with the country's effectiveness in revenue collection. We are determined to further improve port efficiency to enable the country to meet its revenue collection targets," he said.
👉 He downplayed reports that tbe Dar es salaam port was overwhelmed with cargo to the extent that ships now opt for neighbouring facilitis.
"This is propaganda. Today, 38 ships are waiting to offload their cargo. Tomorrow (Monday, we are expecting the arrival of another 16. We are improving offloading speed by reducing the waiting time," he said. Mr Mrisho said the quantity of on - transit goods passing through the Dar es salaam port has increased by 20 percent, noting that shippers benefit from cargo destined for the seven landlocked countries.
👉 In order to address congestion, the construction project of a logistics centre wa being implemented at kurasini Export Processing Zones Authority (EPZA), increasing efficient use of inland container Depots (ICDs) and improving utilisation of the Kwala Inland Container Depot.
👉 The DMGP wa funded through a combination of funding initiatives from development partners and from the government's domestic revenue sources. The world bank extended a $345 million loan, the United Kingdom, via the Department for InternationalDevelopment (DfID), provided a $12.4 million grant, and the goverment contributed $63.4 million.
The project aims at deepening and upgrading seven of the port's berths, as well as deepening the entrance channel from 10.2 metres to 15.5 metres for a distance of kilometres and its width from 140 metres to 170 metres.
👉 Mrisho told journalist that the deepening and widening of the entrance channel have been completed, with the longest tourist's ship expected to dock at the Dar es salaam port on Tuesday.
"It is a 294-metre shi. The port is expected to dock ships up to 305 metres long. Experts have arrived from Germany and China, where they underwent training," he said, adding that the move will further improve port efficiency.
👉 Berth one to seven have their depth deepened to 14.5 metres from the previous seven to nine metres, according to Mr Mrisho.
"Unlike in the past, large ships carrying over 45,000 or 50,000 tonnes can now dock at the port, therefore further increasing its efficiency," he said.
👉 He said tbe berth used, specifically, for offloading motor vvehicles. It has a storage capacity of 6,000 vehicles at a time in a 72,000-square - kilometre area. According to him, the 2022/2023 data shows that tbe port capacity to handle vehicles has increased to between 250,000 to 300,000 annually.
👉 "Modern security systems, including 470 cameras, have been installed, therfore addressing reported incidents of theft of vehicles parts," he said.
He added that the Single Receiving Terminal (SRT) project is being implemented in the kurasini area to address the challenge of ships waiting and traffic.
👉 The project tht commenced this fiscal year will be completed after 48 months.
In order to further umprove port efficiency, berth 12 to 15 would be built as part of tbe port's expansion plan.
 
Nairobi News!!! kwelii???? Verification??? Achana na viblog. Alafu ya siku nyingi sana.

Weka articles zenye authenticity. Cheki hapo chini 👇

How Dar port plans to surpass this year’s target​

What you need to know:​

  • The Dar es Salaam port has already handled 12 million tonnes of cargo in the first six months of the 2023/24 financial year, which is more than half of the target set by the goverment.
Siyo kusema viji blog !! Nenda kwenye content ndiyo ujibu hoja. Realities kwenye ground ni tofauti na matamanio ya Dar Port
 
Hesabu za kwenye makaratasi na kusema humu kwenye mitandao ni tofauti na uhalisia uliopo Bandarini kwetu, itoshe kusema sisi watumiaji wa Bandari tunayaona mapungufu mengi sana lakini hamkubali kusikia maoni yetu ili kuiboresha Bandari yetu, haya yaliyo andikwa hapo yapo kwenye maandishi lakini kiutendaji ni tofauti kabisa.
 
Siyo kusema viji blog !! Nenda kwenye content ndiyo ujibu hoja. Realities kwenye ground ni tofauti na matamanio ya Dar Port
Nimesoma kipeperushi chako cha kufungia vitumbua, kwanza kimepitwa na wakati, ndio maana nasisitiza wewe ni kanjanja
 
Hesabu za kwenye makaratasi na kusema humu kwenye mitandao ni tofauti na uhalisia uliopo Bandarini kwetu, itoshe kusema sisi watumiaji wa Bandari tunayaona mapungufu mengi sana lakini hamkubali kusikia maoni yetu ili kuiboresha Bandari yetu, haya yaliyo andikwa hapo yapo kwenye maandishi lakini kiutendaji ni tofauti kabisa.
Watumiaji halisi wa bandari wanaelewa hatua mbalimbali zinazochukuliwa na bandari ili kuleta ufanisi katika bandari yao.

👇👇👇👇👇👇

THE CITIZEN
Dar es Salaam Port welcomes new shipping line, boosting trade efficiency


Saturday, January 27, 2024


By Rosemary Mirondo
Business Reporter
Mwananchi Communications Ltd

👉 This new service is expected to reduce cargo arrival time from China from six weeks (42 days) to three weeks (21 days), thereby improving Tanzania's business efficiency.
👉 Dar es Salaam. The Tanzanian business community is set to benefit significantly from the launch of a new direct shipping route between China and the Dar es Salaam Port by Korea Marine Transport Company Limited (KMTC).
This new service is expected to drastically reduce the time it takes for cargo to arrive from China, from six weeks (42 days) to three weeks (21 days), boosting the efficiency of Tanzania's businesses.
👉 The arrival of the KMTC at the Dar es Salaam Port was made possible by the completion of the Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP).
This $440.4 million project, funded by a World Bank loan ($345 million), a grant from the UK's Department for International Development ($12.4 million) and the Tanzanian government ($63.4 million), deepened and upgraded seven of the port's berths, expanded the entrance channel from 10.2 metres to 15.5 meters for a distance of eight kilometres, and widened it from 140 metres to 170 metres.
👉 These improvements allow large vessels like the KMTC to smoothly access and dock at the port.
Commenting at the inauguration ceremony, Prof Godius Kahyarara, Permanent Secretary at the ministry of Transport, highlighted the importance of the DMGP in attracting KMTC's operations.
👉 He described the route as a "huge step" for the port and a "massive opportunity for business prosperity" between Tanzania and Asian countries.
He further emphasised the increased efficiency of the Dar es Salaam Port, which now operates 24 hours a day to accommodate the growing number of large ships.
👉 Looking ahead, Prof Kahyarara expressed optimism that the cargo transportation trend will further improve once the Standard Gauge Railway (SGR) becomes operational, facilitating faster delivery of goods from ports to final destinations.
👉 Mr Mrisho Mrisho, the director of the Dar es Salaam Port, echoed these sentiments, pointing to the recent arrival of several large ships, including the Emirates Shipping vessel, as evidence of the port's growing capacity.
The KMTC's arrival, with its 1,500 containers of cargo, marks a significant development for Tanzania, not only benefiting domestic businesses but also serving clients in neighbouring landlocked countries.

 
Hesabu za kwenye makaratasi na kusema humu kwenye mitandao ni tofauti na uhalisia uliopo Bandarini kwetu, itoshe kusema sisi watumiaji wa Bandari tunayaona mapungufu mengi sana lakini hamkubali kusikia maoni yetu ili kuiboresha Bandari yetu, haya yaliyo andikwa hapo yapo kwenye maandishi lakini kiutendaji ni tofauti kabisa.
Namimi ni mtumiaji mkubwa wa bandari ya Dar niseme tu ukweli, ufanisi katika bandari ya Dar umeimalika sana, napata mizigo yangu kwa wakati, usalama umeimalishwa, hakika napata huduma bora kabisa. Sidhani kama wewe mwenzangu ni mtumiaji kweli wa bandari
 
How Dar port plans to surpass this year's target

Monday, January 15,2024
By Louis Kolumbia
THE CITIZEN

Dar es salaam. The Dar es salaam port director Mrisho Mrisho yesterday unveiled an internal target of handling 24 million tonnes of cargo in the 2023/2024 fiscal year, thanks to the execution of Dar es salaam Maritime Gateway project (DMGP).
👉 The amount is equivalent to two million tonnes more than the 22 million tonne target set by the gorvenment in its budget estimates.
Mrisho divulged the plans to journalist during a visit to witness operational transformation after the compleation of the DMGP.
👉 Mrisho said the Dar es salaam port has already handled 12 million tonnes of cargo in the first six months of 2023/2024.
"Only 10 million tonnes of cargo are remaining to meet the government's target. But, internally, we have forecasted to handle 24 million tonnes, therefore further exceeding the target," he said.
👉 Looking at the statistics and vessel arrivals, we are optimistics about meeting the 24 million tonnes target. Ports under the Tanzania Ports Authority (TPA) handled 24 million tonnes last financial year. But that amount would be handled only by the Dar es salaam port this year," he added.
👉 He said the last fiscal year, the Dar es salaam port handled 21.46 million tonnes, surpassing the 19.6 million tonnes target by over two million tonnes.
The handled amount also surpasses the 18 million tonnes of cargo handled in the 2021/2022 financial year, according to him.
👉 Mrisho said revenue data in the last six months from the Tanzania Revenue Authority (TRA) shows that 40 percent of customs revenue comes from the Dar es salaam port.
"The port's efficiency directly links with the country's effectiveness in revenue collection. We are determined to further improve port efficiency to enable the country to meet its revenue collection targets," he said.
👉 He downplayed reports that tbe Dar es salaam port was overwhelmed with cargo to the extent that ships now opt for neighbouring facilitis.
"This is propaganda. Today, 38 ships are waiting to offload their cargo. Tomorrow (Monday, we are expecting the arrival of another 16. We are improving offloading speed by reducing the waiting time," he said. Mr Mrisho said the quantity of on - transit goods passing through the Dar es salaam port has increased by 20 percent, noting that shippers benefit from cargo destined for the seven landlocked countries.
👉 In order to address congestion, the construction project of a logistics centre wa being implemented at kurasini Export Processing Zones Authority (EPZA), increasing efficient use of inland container Depots (ICDs) and improving utilisation of the Kwala Inland Container Depot.
👉 The DMGP wa funded through a combination of funding initiatives from development partners and from the government's domestic revenue sources. The world bank extended a $345 million loan, the United Kingdom, via the Department for InternationalDevelopment (DfID), provided a $12.4 million grant, and the goverment contributed $63.4 million.
The project aims at deepening and upgrading seven of the port's berths, as well as deepening the entrance channel from 10.2 metres to 15.5 metres for a distance of kilometres and its width from 140 metres to 170 metres.
👉 Mrisho told journalist that the deepening and widening of the entrance channel have been completed, with the longest tourist's ship expected to dock at the Dar es salaam port on Tuesday.
"It is a 294-metre shi. The port is expected to dock ships up to 305 metres long. Experts have arrived from Germany and China, where they underwent training," he said, adding that the move will further improve port efficiency.
👉 Berth one to seven have their depth deepened to 14.5 metres from the previous seven to nine metres, according to Mr Mrisho.
"Unlike in the past, large ships carrying over 45,000 or 50,000 tonnes can now dock at the port, therefore further increasing its efficiency," he said.
👉 He said tbe berth used, specifically, for offloading motor vvehicles. It has a storage capacity of 6,000 vehicles at a time in a 72,000-square - kilometre area. According to him, the 2022/2023 data shows that tbe port capacity to handle vehicles has increased to between 250,000 to 300,000 annually.
👉 "Modern security systems, including 470 cameras, have been installed, therfore addressing reported incidents of theft of vehicles parts," he said.
He added that the Single Receiving Terminal (SRT) project is being implemented in the kurasini area to address the challenge of ships waiting and traffic.
👉 The project tht commenced this fiscal year will be completed after 48 months.
In order to further umprove port efficiency, berth 12 to 15 would be built as part of tbe port's expansion plan.
Hizi ndio nondo sasa, hakika wataelewa tu
 
Hizi hapa dondoo 15 muhimu za kuzingatia dhidi ya propaganda hasi kwa bandari ya DSMView attachment 2886233

1. Magati yote 12 pamoja na maeneo ya kuhudumia shehena za mafuta yanahudumia meli hadi kufikia muda huu wa leo tarehe 28 Januari 2024, tofauti na wapotoshaji wanaoposha kwa makusudi kuwa ni magati mawili (2) tu ndio yanayofanya kazi kati ya magati 12 yaliyopo.

2. Taarifa zinaonesha ukweli halisi watu wakichapa kazi katika magati yote 12 na kuongeza ufanisi. Kwa mfano, Gati namba Sifuri (0) ambalo ni mahsusi kwa kushusha shehena ya magari nalo linahudumia meli MV Yangze 32 ya mizigo mchanganyiko.

3. Idadi na wingi wa meli bandarini unabadilika ukiona leo foleni meli 20 na keshokutwa ukaona meli 20 haina maana ni zilezile maana yake kuna meli zimehudumiwa na nyingine zimekuja kutaka kuhudumiwa.

4. Ni sawa na shuleni mtu anaweza kuhoji mbona kila mwaka shule zinakuwa na wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Maana yake ni kuwa kadri wengine wanavyomaliza shule ndivyo wengine wanaanza shule, wa kidato cha nne akimaliza wa kidato cha tatu anapanda cha nne, wa cha pili anapanda cha tatu, wa cha kwanza anapanda cha pili na aliyemaliza shule ya msingi anapanda cha kwanza ni mzunguko. Ndivyo mzunguko wa meli unavyokuwa

5. Mara kadhaa TPA wametufafanulia kuwa meli kuongezeka ni neema sio laana. Tumshukuru Mungu kila meli zinapoongezeka maana yake ajira zinaongezeka, mapato yanaongezeka, makusanyo yanaongezeka na mzunguko unaongezeka.

6. Ni rahisi kusema kuwa meli zinakimbia bandari ya Dar zinakimbilia Mombasa lakini kiuhalisia huu ni uongo na hautekelezeki.View attachment 2886235

7. Tabia za kibiashara za bandari ya Dar zinaifanya iwe ya kipekee kwa wenye meli kwa kuwa wana uhakika wa kupata mzigo wa kurudi unaotokana na exportation ya nchi jirani hasa madini tofauti na Mombasa ambayo haina mzigo wa kurudi.

8. Haiingii akilini pia kusema mteja wa mzigo kutoka Lusaka Zambia akashushe mzigo wake Mombasa kisha autembeze kutoka Kenya-Tanzania-Zambia wakati anao uwezo wa kutumia Bandari ya Dar moja kwa moja.

9. Kuna tofauti kubwa sana kati ya ongezeko la meli bandarini na ufanisi kupungua (Ongezeko la meli ni kielelezo cha kukua kwa biashara, hata wenye mashule wanapenda wanafunzi waongezeke). Ni muhimu kufahamu kuwa, ufanisi wa Bandari ya Dar ni moja kati ya vivutio vya ujio wa meli nyingi. Kupungua kwa ufanisi kungepimwa na kushuka kwa mapato, kuongezeka kwa muda wa kupakua na kupakia meli. Lakini badala yake mapato yamepanda na muda wa kupakua na kupakia meli umezidi kupungua-Wanastahili pongezi kwenye hili.

10. Ni makosa makubwa sana kuilinginanisha bandari ya Dar na ya Mombasa kiufanisi, uwekezaji na kimuundo

11. Kimuundo Bandari ya Dar ina jumla ya magati 12 na maeneo makuu mawili ya kuhudumia shehena ya mafuta. Bandari ya Mombasa ina magati 22 tofauti yake bandari ya Dar ni nusu ya Bandari ya Mombasa kiukubwa.

12. Kiufanisi bandari ya Dar inapaswa kuhudumia mzigo nusu ya bandari ya Mombasa lakini mwaka Jana Mombasa yenye magati 22 wamehudumia tani takribani milioni 28 huku Bandari ya DSM yenye magati 12 ikahudumia tani milioni 22. Kihesabu ilipaswa kuzidiwa tani milioni 12.

13. Kiutendaji bandari ya DSM inaikimbiza sana bandari ya Mombasa ukilinganisha miondombinu na vifaa walivyonavyo.

14. Sio kweli kwamba Bandari ya Mombasa haijazidiwa na meli, pamoja na kuwa na magati mara mbili ya bandari ya DSM lakini nayo imekiri kuongezeka kwa meli na kwamba wateja wake wawe na subira katika upakuaji mizigo.

15. Kila tunaposikia matangazo ya mapato ya makusanyo kutoka .mamlaka ya Mapato nchini TRA tufahamu kwamba wastani wa asilimia 40 ya makusanyo hayo yanatokana na ushuru wa forodha unaotokana na bandari ya DSM.
Mama anaupiga mwingi
 
Namimi ni mtumiaji mkubwa wa bandari ya Dar niseme tu ukweli, ufanisi katika bandari ya Dar umeimalika sana, napata mizigo yangu kwa wakati, usalama umeimalishwa, hakika napata huduma bora kabisa. Sidhani kama wewe mwenzangu ni mtumiaji kweli wa bandari
Nasasa navyo andika hivi nipo hapa hap Bandarini tuseme ukweli kuna vitu haviko sawa tusifiche na wakubali ushauri wawateja ndugu yangu tukipende hichi chetu na tukitetee kiwe bora zaidi ili tuwarithishe vizazi vijavyo kilicho bora.
 
Nina mizigo yangu imekwama hapo tokea tarehe 11 ndo melinilifika jana ndo nmepata taarifa kua leo ndo wanaanza kushusha nahisi kuna tatizo bandarin haikua ivo kipindi cha nyuma
 
Nina mizigo yangu imekwama hapo tokea tarehe 11 ndo melinilifika jana ndo nmepata taarifa kua leo ndo wanaanza kushusha nahisi kuna tatizo bandarin haikua ivo kipindi cha nyuma
Nimeamini kweli bhangi mbaya kwa afya ya akili
 
Nasasa navyo andika hivi nipo hapa hap Bandarini tuseme ukweli kuna vitu haviko sawa tusifiche na wakubali ushauri wawateja ndugu yangu tukipende hichi chetu na tukitetee kiwe bora zaidi ili tuwarithishe vizazi vijavyo kilicho bora.
Jifunze kwanza kuandika alafu acha matumizi ya bhangi
 
Back
Top Bottom