Meli 13 zinahudumiwa muda huu bandari ya DSM Januari 28/2024

Hongereni bandari ya Dar
 
Jifunze kwanza kuandika alafu acha matumizi ya bhangi
Wazazi wangu walinifunza kuheshimu kila mtu na nashukuru kwa lugha uliyoitumia maana hunijui lakini umenihukumu na hicho ulichokisema Mungu akubariki sana
 
Nina mizigo yangu imekwama hapo tokea tarehe 11 ndo melinilifika jana ndo nmepata taarifa kua leo ndo wanaanza kushusha nahisi kuna tatizo bandarin haikua ivo kipindi cha nyuma
Ni jambo la kweli kuna sehemeu wanapashwa kuparekebisha ili twende sawa kunabaadhi ya vitu lazima tukubali vikiwa havipo sawa vifanyiwe marekebisho na mambo yakawa sawa kwa kila upande.
 
Wazazi wangu walinifunza kuheshimu kila mtu na nashukuru kwa lugha uliyoitumia maana hunijui lakini umenihukumu na hicho ulichokisema Mungu akubariki sana
Sasa kama siyo bhangi nini? Wewe upo Kiteto sijui Nyakabazu huko alafu unasema mzigo wako umechelewa bandarini, kweli?
 
Ni jambo la kweli kuna sehemeu wanapashwa kuparekebisha ili twende sawa kunabaadhi ya vitu lazima tukubali vikiwa havipo sawa vifanyiwe marekebisho na mambo yakawa sawa kwa kila upande.
Kitu gani unataka kirekebishwe kama kweli wewe ni mtumiajia wa bandari ya Dar? Acha kuandika porojo ushashiba viazi na katecno kako basi unaporojoka tu
 
Nimesoma kipeperushi chako cha kufungia vitumbua, kwanza kimepitwa na wakati, ndio maana nasisitiza wewe ni kanjanja
Wewe hata elimu huna. Full MEMKWA eti na wewe unachangia mada za kisomi. Toa counter argument na siyo blank statements za kuita vipeperushi
 
Kitu gani unataka kirekebishwe kama kweli wewe ni mtumiajia wa bandari ya Dar? Acha kuandika porojo ushashiba viazi na katecno kako basi unaporojoka tu
Wewe ndiye mvuta bangi na unavuta bangi chooni baada ya kula makande. Kwanini watu wenye heshima zao ambao wanatoa argument yenye kuleta tija kwa bandari yetu halafu wewe unakuja hapa unaandika hovyo kama bata anaye hara
 
Wewe hata elimu huna. Full MEMKWA eti na wewe unachangia mada za kisomi. Toa counter argument na siyo blank statements za kuita vipeperushi
Sikia wewe kanjanja, acha kutuwekea toilet paper zilizopitwa na wakati, weka vitu kama wenzako taarifa za kisasa na za uhakika kutoka gazeti lenye sifa zake mjini. Umeelewa we kanjanja
 
Wewe ndiye mvuta bangi na unavuta bangi chooni baada ya kula makande. Kwanini watu wenye heshima zao ambao wanatoa argument yenye kuleta tija kwa bandari yetu halafu wewe unakuja hapa unaandika hovyo kama bata anaye hara

Wewe ndiye mvuta bangi na unavuta bangi chooni baada ya kula makande. Kwanini watu wenye heshima zao ambao wanatoa argument yenye kuleta tija kwa bandari yetu halafu wewe unakuja hapa unaandika hovyo kama bata anaye hara
Nakuheshimu acha kabisa kuingilia yasiyokuhusu
 
Hatuwezi kuacha ujinga ukapita bila kuwa checked, irrespective the fact that siyo mimi uliiye ni address
Atakuwa anasubiri ubuyu kutoka Zanzibar siyo mizigo ya bandari ya Dar, wanaosubiri mizigo hawaendi bandarini kusubiria wapo kwenye maofisi yao huko
 
Nasasa navyo andika hivi nipo hapa hap Bandarini tuseme ukweli kuna vitu haviko sawa tusifiche na wakubali ushauri wawateja ndugu yangu tukipende hichi chetu na tukitetee kiwe bora zaidi ili tuwarithishe vizazi vijavyo kilicho bora.
Utakuwa unasubiri ubuyu kutoka Zanzibar
 
Wewe ndiye mvuta bangi na unavuta bangi chooni baada ya kula makande. Kwanini watu wenye heshima zao ambao wanatoa argument yenye kuleta tija kwa bandari yetu halafu wewe unakuja hapa unaandika hovyo kama bata anaye hara
argument yenye kuleta tija ni kusema kuwa yupo bandarini anasubiri mzigo wake?? Imekuwa stendi ya Shabiby??? Acha ukanjanja
 
DP world at work! Hapo wanaofaidika ni waarabu, kwann unaleta taarifa hii kwa watanzania? Watumie waarabu wafurahie?1
Taarifa yenyewe uongo mtupu,kuna meli zimefika toka tarehe 11/01 mpaka leo mizigo haijatoka bandarini, bidhaa madukani inazidi kupanda.Ukiuliza unaambiwa kuna mabadiriko ya uongozi.
 
Nasasa navyo andika hivi nipo hapa hap Bandarini tuseme ukweli kuna vitu haviko sawa tusifiche na wakubali ushauri wawateja ndugu yangu tukipende hichi chetu na tukitetee kiwe bora zaidi ili tuwarithishe vizazi vijavyo kilicho bora.
Kila kitu kipo sawa, labda upande wako wewe ndio hauko sawa kwanza mizigo hatusubiri bandarini ndio maana kuna makampuni ya Clearing & Forwarding.
 
Taarifa yenyewe uongo mtupu,kuna meli zimefika toka tarehe 11/01 mpaka leo mizigo haijatoka bandarini, bidhaa madukani inazidi kupanda.Ukiuliza unaambiwa kuna mabadiriko ya uongozi.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…