Meli ya pili ya Urusi inaungua moto, Admiral Grigorovich (Navy) wanaendelea kuokoa

Huyu ni chawa wa Putin anakiri kuwa mambo yameenda mrama,halafu wewe upo huko kisemvule unapinga
 
Oyaaaa [emoji23][emoji23]

[emoji91][emoji91][emoji91]the russian Ministry of defense announced that a su-25 and a mig-29 of the ukrainian Air Force Were Shot down in the luhansk region [emoji91][emoji91][emoji91]
Si mlisema hakuna ndege ya Ukraine inayoruka, Halafu siku hizi imekuwa habari kubwa Russia kuangusha ndege ya Ukraine?
 
Chanzo ni ukraine tu, "hakijajulikana" vipi sasa?
 
Hii vita mbona ni kama operesheni ya Russia kudecommision baadhi ya silaha zake ambazo zimepitwa na wakati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…