GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nafikiri ishaelezwa kuwa suala siyo kuuza Vitabu tu, bali pia wanaitumia hiyo fursa kuchangisha fedha kwa ajili ya wahitaji.Kwanini wasiviupload kwenye mtandao halafu waipaki kwao tu
Mi nilijua ni meli ya vitabu tuKuna watu wanahitaji kuingia melini na kufanya utalii. Waone mazingira ya meli, wajifunze vitu tofauti
Barafu wa moyo wangu.Hebu subiri kwanza!! Cwt umemaanisha nini?
NdiyoKesho (jpili) wataruhusu kuingia?
Weeeh mbona havina mahusiano?Barafu wa moyo wangu.
Vina mahusiano, sema wewe tu ndio hutaki vihusiane 🤣🤣Weeeh mbona havina mahusiano?
Btw nina allergy na kusoma.
Vinauzwa Mkuu sikumbuki sana ila nikiangalia vitabu nilivyochukua wakati ule naona ilikuwa ni bei ndogo sanaUnachukua tu bure au wanauza
Vinauzwa MkuuWanauza au unajichukulia tu ?
Mwisho tarehe gani mkuuMv Logos Hope ni meli ya vitabu yenye library kubwa yenye vitabu mbalimbali inayozunguka kwenye mataifa na bandari mbalimbali duniani.
View attachment 2774301
Meli hii ya kihistoria ilijengwa mwaka 1973 huko Randsburg, kaskazini mwa Ujerumani kisha ikapita mikononi mwa kampuni tofauti mpaka 2004 ilipochukuliwa na GBA Ship na kufanyiwa marekebisho na kuwekewa library ya vitabu, mwaka 2005 ikaanza kuzunguka bandari tofauti Duniani.
View attachment 2774298View attachment 2774299
Meli hii ina urefu wa mita 132.50,upana 21.06 wafanyakazi 442 na imesajiliwa Nchini Malta. Wastani hutembelea nchi 70 na bandari zipatazo 140 duniani kote.
Mara ya mwisho meli hii ilikuja Tanzania 25/01/2016 na kuondoka tarehe 18/02/2016. Mwaka huu tena Tanzania imepata Bahati ya kutembelewa na meli hii imeingia tarehe 05/10/2023 na itakuwa Nchini kwa wiki 2, mpaka tarehe 22/10/2023.
Hii ni fursa kwa sekta ya utalii,elimu na wadau mbalimbali kwenda kutembelea na kujifunza kiingilio ni Shilingi 1000 ya Kitanzania.Tiketi za kuingilia melini zinapatikana geti namba 2 la Bandari ya Dar es Saalam njia ya Kituo kikuu cha Central Police au Stesheni kwa wageni.
View attachment 2774293
Picha baadhi za sehemu za ndani za meli ya Logos Hope.Wenye familia,watoto,mashule kuna vitabu sehemu za kupiga picha,ice cream,kahawa na kumbi za kuonyesha matamasha ya watu mataifa mbalimbali.
View attachment 2774296
Ratiba ya kutembelea siku ya Jumatatu kuna mapumziko. Hivyo ni kuanzia Jumanne mpaka Jumapili.
Namba 1, unaingia kwa kutumia geti namba 2Iko gati namba ngapi
Tarehe 22/10/2023Mwisho tarehe gani mkuu
Ok ,nikipata muda niende kutembeaNamba 1, unaingia kwa kutumia geti namba 2
Ntakuwa dar i hope ntafikaTarehe 22/10/2023
Asante kwa kutuhabarisha mkuu, nimeburudika sana japo sikununua ila nilipiga picha na kusoma sambamba na kugundua variety za vitabu ambazo nilikua sizifahamu, i hope next time ikija tena nitaweza ku afford bei za vitabu nilivyovipenda.Njoo ukumbushie hata hii engine ya Generator hujisikie upo workshopView attachment 2774563View attachment 2774564View attachment 2774564
Jambo jema kama ulifika na kutalii, natumaini ulijifunza vingi na kufurahiaAsante kwa kutuhabarisha mkuu, nimeburudika sana japo sikununua ila nilipiga picha na kusoma sambamba na kugundua variety za vitabu ambazo nilikua sizifahamu, i hope next time ikija tena nitaweza ku afford bei za vitabu nilivyovipenda.