Sausi Alex
JF-Expert Member
- Jan 26, 2021
- 239
- 181
Wapuuzi Sana hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magu alikuwa anajua Russia iko MarsNasema Russiya piga kazi by Magu's voice
NIkweli lakini rais wa Ukraine ndo anepoteza zaidi maana vita itapiganiwa kwenye aridhi yake nasio UrusiPutin awe makini jeshi la marekani laweza kujipenyeza kwa style ya mescenaries Vita isiishe.
Zaidi ya wajumbe 140 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, leo Machi Mosi, 2022 walitoka nje ya ukumbi baada ya kukataa kusikiliza hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Lavrov.
Waziri huyo alikuwa akishiriki mkutano huo kwa njia ya video kutokana na mipaka ya ndege kwenda Geneva kutoka Urusi kuzuiwa, ambapo alikuwa akizungumzia mbele yao kuhusu kuhalalisha wa uvamizi wa kijeshi wa taifa lake dhidi ya Ukraine ambao bado unaendelea.
Wanadiplomasia walioshiriki katika mkutano huo hasa kutoka Marekani na Uingereza ndiyo ambao walianza kusimama na kuondoka wakati video ya Waziri huyo ikiendelea.
Source: Reuters
===========================================
EU, US, British envoys boycott Lavrov speech at UN rights forum
GENEVA, March 1 (Reuters) - Dozens of diplomats from the European Union (EU), United States and Britain walked out of a speech by Russian Foreign Minister Sergei Lavrov to the top U.N. human rights forum on Tuesday, according to a Reuters witness.
Lavrov was addressing the U.N. Human Rights Council remotely, having cancelled his attendance earlier due to what the Russian mission in Geneva said on Monday were EU states blocking his flight path.
View attachment 2135280
View attachment 2135281
Russia kalikoroga wanaomwelewa wamebakia mburumundu
Russia ni Taifa la hovyo,linalinda mataifa yanayofadhili ugaidi Duniani na pia linatetea madikteta ndo maana CCM mnaipenda RussiaHawa US na Nato wana utoto mwingi sana kumbe wale jamaa zetu walijifunza huku kususasusa sio
😂😂 ManinaMagu alikuwa anajua Russia iko Mars
Russia haijawai kushindwa ktk vita yyte ile na inajitosheleza kwa kila kitu
Hivi hata kwa watwaleban nako walishinda eeh?
Zaidi sana vita si wakapigane na size yao? Kwani size yao hawawajui?
Jaribu kutofautisha vita na uonevu.
Kumbuka mburumundu kuiona tofauti hiyo labda kwa tochi.
Hao mercenaries wataingia wangapi ndio vita isiishe...???Putin awe makini jeshi la marekani laweza kujipenyeza kwa style ya mescenaries Vita isiishe.
Inavyoelekea tayari wapoPutin awe makini jeshi la marekani laweza kujipenyeza kwa style ya mescenaries Vita isiishe.