Memba wa Umoja wa Mataifa waondoka ukumbini, wasusia hotuba ya Waziri wa Urusi

Memba wa Umoja wa Mataifa waondoka ukumbini, wasusia hotuba ya Waziri wa Urusi

Sergei lavrov alisema vizingiti wanavyoweka hao wapuuzi haviwezi kua sababu yakutokupeleka moto zaidi UKRAINE
yaani wasuse weeee ila moto uko pale pale mpaka tupite na JOTI na KIEV yake
sawa
 
Wajinga tu uhuru wa kuongea mwache na mwenzako mwenye mawazo mbadala aongee kukubali au kutokubali suala lingine. Hawa wanataka kila mtu afuate wanavyotaka wao. Hope kulikuwa na nchi za Africa na South America najuwa hao wanawajuwa hawa nitashangaa kama Africa nao walitoka labda yule mkenya
Tanzania wasomi million 8 mbumbu Kama wewe milioni 52 tofauti ni kubwasana
 
Hawa wazungu mara nyingine kama binadamu kamili utabaki tu kujiuliza, ukamilifu wa ustaarabu wanaojivunia upo wapi.

Hivi waliwahi kususia hotuba za Waziri Mkuu wa Israel aliyepita, licha ya maovu yote aliyoyafanya dhidi ya Palestine.

Hii Dunia imejaa unafiki sana.
Mbona unawageuzia kibao waisraeli?
Palestinians wanawachokoza waisraeli , Israel inachokifanya ni self defence .
Hayo maeneo mnayodai ya Palestine sio ya kwao,ni maeneo ya Waisraeli kwa zaidi ya miaka elfu 4 iliyopita!
 
Wajinga tu uhuru wa kuongea mwache na mwenzako mwenye mawazo mbadala aongee kukubali au kutokubali suala lingine. Hawa wanataka kila mtu afuate wanavyotaka wao. Hope kulikuwa na nchi za Africa na South America najuwa hao wanawajuwa hawa nitashangaa kama Africa nao walitoka labda yule mkenya
Vikwazo ni pamoja na kutomsikiliza
 
Vikwazo ni pamoja na kutomsikiliza
Sasa yale maneni free of speech ndio basi tena. Tuseme uko sahihi basi hakuna haja ya kufungia media maana una hiyari kutosikiliza au kusoma wacha kuna wengine watasikiliza.
 
Sasa yale maneni free of speech ndio basi tena. Tuseme uko sahihi basi hakuna haja ya kufungia media maana una hiyari kutosikiliza au kusoma wacha kuna wengine watasikiliza.
Free speech kwenye vita sahau inafanya kazi ikwenye utulivu na demokrasia tu
Wako vitani wamemuwekea vikwazo vya kutomsikiliza!!!

Na wewe ruksa kuwekea vikwazo vya kutosikiliza chombo chochote cha habari masikio personal property yako ruksa
 
Kwa hiyo sasa "na wapigwe tu" kipinda pinda?

Kwamba kama vipi "wauliwe tu" wakiwamo wanawake na watoto wasio na hatia?

unajua sirya iraq libya afaghanistani marekani na washirika wake wameua wanawake na watoto wangapi?
 
unajua sirya iraq libya afaghanistani marekani na washirika wake wameua wanawake na watoto wangapi?

Tangu lini makosa mawili yakafanya jingine kuwa sahihi?

Kwa sababu aliuwa Marekani, mpaka kwanza kila mtu auwe ndipo wewe uanze kulaani unyama wa aina hiyo?

Kwanini hudhani tulilaani ya Libya, Iraq, Granada, Panama nk kama tunavyolaani leo ya Urusi au ya Kingai, Mahita, Hamza, Jumanne, Goodluck na wenzao?

Wewe mgeni wala hata hukuwahi kusikia wakiuliziwa waliko kina Ben, Azory, Lijenje au waliokuwa kwenye viroba?
 
Tangu lini makosa mawili yakafanya jingine kuwa sahihi?

Kwa sababu aliuwa Marekani, mpaka kwanza kila mtu auwe ndipo wewe uanze kulaani unyama wa aina hiyo?

Kwanini hudhani tulilaani ya Libya, Iraq, Granada, Panama nk kama tunavyolaani leo ya Urusi au ya Kingai, Mahita, Hamza, Jumanne, Goodluck na wenzao?

Wewe mgeni wala hata hukuwahi kusikia wakiuliziwa waliko kina Ben, Azory, Lijenje au waliokuwa kwenye viroba?

Uharifu wa meko ulishapatiwa ufumbuzi,
 
Hawa US na Nato wana utoto mwingi sana kumbe wale jamaa zetu walijifunza huku kususasusa sio
Wajinga kweli hata mimi nimewadharau sana....
kwanini wasimpe nafasi ya kusikilizwa kisha wakatoa maamuzi yao based on reasoning
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Kumbe tunawalaumu chadema bure, wanademokrasia wenyewe wanasusa wao ni kina nani wasisuse.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] walivyokuwa wehu walipanga kabisa huo mkakati
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Russia haijawai kushindwa ktk vita yyte ile na inajitosheleza kwa kila kitu
Punguzaga uongo,Russia Vita ya kuizuia USSR isivunjike alishindwa na Vita dhidi ya Georgia alishindwa.
 
Mbona unawageuzia kibao waisraeli?
Palestinians wanawachokoza waisraeli , Israel inachokifanya ni self defence .
Hayo maeneo mnayodai ya Palestine sio ya kwao,ni maeneo ya Waisraeli kwa zaidi ya miaka elfu 4 iliyopita!
Embu acha uongo ww hayo maeneo yalikua yakikaliwa na watu was asili zote.
Na Israel alianza ugomvi wa kivita kitambo alikua akijiskiia anavamia taifa lolote la kiarabu na kupora ardhi.
ISRAEL MKOROFI BAHATI MBAYA MISRI MWAKA 1972 IMEMSHIKISHA ADABU NA LEBANON 2006 IKAMPAKATA VILIVYO.
NAN ASIYEJUA KUA ISRAEL MPENDA VITA.
Kama tungesema Kila asili irudi ilipotoka USA kulitakiwa wawe Caucasians na red Indies ila zipo mbegu za UK.
Hata wangoni wangelilia kurudi Natal South Africa.
Acheni huo uzwazwa.
 
Back
Top Bottom