Memba wa Umoja wa Mataifa waondoka ukumbini, wasusia hotuba ya Waziri wa Urusi

Halafu kesho utashangaa wanatangaza vikwazo kupitia hotuba hiyo hiyo walioisusa.
 

Walipokuwa wanauwa watu iraq sirya libya hilo baraza lilikuwa likizo she**z
 
Hawa US na Nato wana utoto mwingi sana kumbe wale jamaa zetu walijifunza huku kususasusa sio
Russia ni Taifa la hovyo,linalinda mataifa yanayofadhili ugaidi Duniani na pia linatetea madikteta ndo maana CCM mnaipenda Russia
 
Russia haijawai kushindwa ktk vita yyte ile na inajitosheleza kwa kila kitu

Hivi hata kwa watwaleban nako walishinda eeh?

Zaidi sana vita si wakapigane na size yao? Kwani size yao hawawajui?

Jaribu kutofautisha vita na uonevu.

Kumbuka mburumundu kuiona tofauti hiyo labda kwa tochi.
 
Hivi hata kwa watwaleban nako walishinda eeh?

Zaidi sana vita si wakapigane na size yao? Kwani size yao hawawajui?

Jaribu kutofautisha vita na uonevu.

Kumbuka mburumundu kuiona tofauti hiyo labda kwa tochi.

Uonevu walifanya wamarekani nchini sirya libya na iraq
 
Sergei lavrov alisema vizingiti wanavyoweka hao wapuuzi haviwezi kua sababu yakutokupeleka moto zaidi UKRAINE
yaani wasuse weeee ila moto uko pale pale mpaka tupite na JOTI na KIEV yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…