Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
jana ilikuwa sherehe anaungana na chandema....
Leo mnamkimbizia ccm
wanadamu hawana wema
viva Magu 2020 to 2030
Leo mnamkimbizia ccm
wanadamu hawana wema
viva Magu 2020 to 2030
Huyu mende mbona hafanyi kampeni sasa.....
Mradi huu wa ccm mara hii ulishindwa hata kabla haujaanza...... Walihljifanya kumfukuza uanachama ikiwa ni mipango yao kuvuruga upinzani sasa wameshindwa rasmi...