Tanzania ni nchi huru,hatupangiwi na wageni namna ya kujiongoza.Iwe jua iwe mvua membe anachukua nchi October,nchi zote za magharibi wako nyuma ya membe....membe anasubiri kuapishwa Tu maana kila kitu kipo OK
Umemvunjia heshima sana Baba wa TaifaSweetie yaani huu ni mwaka wa 5 madarakani hujamzoea mh.magufuli anapenda kuchombeza utani ktka zle nondo ashushazo...yaani huyu bwana huchoki kusikiliza hotuba zake yaani mwalimu nyerere mtupuuuu
Kweli wewe mgonjwa wa LUTINDI km yule mbunge kijana ANAYEPAYUKA NA KUROMOKWA akisahau kumeza ANTIPSYCHOTICS zake....yule mbunge wa Jimbo moja dar es salaam ALIYEFUKUZWA UDSM KIPINDI KILEEE....Kila mtu akidai haki mnatudanganya sisi hohehahe eti ni mabeberu wanamshawishi! Mabeberu ni hawa polisi wanaokamata wadai haki badala ya wahalifu!
Membe ana haki kabisa kabisa kabisa ya kugombea Urais ndani ya CCM. Analindwa na Katiba na si utamaduni au huo utaratibu wenu fake, kwanini basi asiruhusiwe kuchukua fomu akajipime na Rais ili KUNOGESHA mchakato?1.'Hana Woga'...NI kweliiii huyu bwana hamjali na kumuogopa yeyote Ana kiburi Cha asili...waulzeni watu aliofanya nao kazi foreign affairs...NI MDHARAU KILA MTU NA KUJIONA MR.THE BEST...
Sweetie yaani unataka useme mwalimu nyerere hakuwa akichombeza kauli za utani hotubani looooUmemvunjia heshima sana Baba wa Taifa
Swadakt komrediTanzania ni nchi huru,hatupangiwi na wageni namna ya kujiongoza.
Muulize LowasaCCM inakwenda kupasuka vipande viwili kama suala hili tusipolitatua kwa wakati muafaka.
Alikuwa na wapinzani wawili amewashindaacha uzwazwa, nenda hata marekani kwa wazee wa demokrasia kawaulize Republican kws nini Trump hana mpinzani ndani ya chama chake wakati huu?
Kwa akili yako Membe ndio atakuja kuwa rais bora?Ccm sio Magufuli, japo Magufuli amefanikiwa kuwahadaa baadhi ya wanaccm maslahi kuwa yeye ndio ccm. Uzuri Membe hili analifahamu vyema, ndio maana anataka ccm ibaki kama taasisi, na sio iwe genge la Magufuli.
Hapana tutamchagua sisiYou should be ashamed of yourself, kwahiyo mataifa ya magharibi ndo yanatuchagulia rais?
Hawa ndio tunawataka wapambane na JIWE1.'Hana Woga'...NI kweliiii huyu bwana hamjali na kumuogopa yeyote Ana kiburi Cha asili...waulzeni watu aliofanya nao kazi foreign affairs...NI MDHARAU KILA MTU NA KUJIONA MR.THE BEST...
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji40][emoji40][emoji40][emoji119][emoji119][emoji119][emoji125][emoji125][emoji125]Hili beberu jeusi likimalizana na upinzani ni linageukia CCM rasmiView attachment 1486871
Nawe tafakari hivi NI kwanini MH.magufuli anaeleweka na kuaminika sana na SISI WALALAHOI WA TANZANIA?!!!!Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyojengwa na wakoloni:-
1. Ujenzi wa Bandari ya DSM
2. Ujenzi wa Bandari ya Tanga
3. Ujenzi wa Bandari ya Mtwara
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa DSM
5. Ujenzi wa uwanja wa Bandari ya Pemba
6. Ujenzi wa Ikulu ya DSM
7. Ujenzi wa Dsm College (Baadae ikaboreshwa na kuwa UDSM baada ya uhuru)
8. Ujenzi wa Bandari ya Zanzibar
9. Ujenzi wa reli ya kati, Dar-Tabora-Mwanza, Tabora -Kigoma
10. Ujenzi wa mji wa Tanga + Master Plan
11. Ujenzi wa Jiji la DSM + master plan yake
12. Ujenzi wa Bandari ya Mwanza
13. Ujenzi wa bandari ya Bukoba na Musoma
14. Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
15. Ujenzi wa Bandari ya Ujiji Kigoma
16. Uundaji wa meli ya MV. Liemba (Ziwa Tanganyika)
17. Uunzi wa meli ya MV. Victoria (Ziwa Victoria)
18. Ujenzi wa shule za Sekondari za kale, mfano Mzumbe, Ilboru, Tanga Tech, Moshi Tech, Mazengo, Mtwara Tech, Tabora Boys+Girls, Pugu, Kibaha, Minaki, Bwiru boys & Girls, Msalato, Ifunda, Iyunga, Mkwawa, Nganza, Tosamaganga, Kilakara, nk
19. Ujenzi wa Ikulu ya Z'bar
20. Ujenzi wa majengo mengi ya Wizara za serikali, vituo vya polisi, magereza na Mahakama.
21. Ujenzi wa shule za msingi za serikali na za Seminari
22. Ujenzi wa makanisa, mf. St. Joseph na Azania Front (Posta Dar) na Misikiti kwa upande wa Z'bar
23. Ujenzi wa hospitali kubwa, mf. Muhimbili
24. Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme mf. Hale + Nyumba ya Mungu.
25. Ujenzi wa vyuo vikuu vya kati, mfano Dar Tech, Arusha Tech, vyuo vya Ualimu, Kilimo, nk
26. Ujenzi wa reli ya Tanga
27. Ujenzi wa gridi ya kwanza ya Taifa ya umeme
28. Uanzishaji wa mashirika ya umma mfano Posta na simu pamoja na Benki yake
29. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar (Leo Shamba la Bibi)
30. Ujenzi wa vivuko, mfano Kigamboni na Posta jijini Dar
31. Na kadhalika na kadhalika.
Lakini pamoja na yoooote hayo, miradi hiyo yooote, Bado wazee wetu wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, walisimama mbele ya kadamnasi na kuwaambia wananchi kuwa hao watu (wakoloni) hawafai, waondoke watupishe. Na kweli wakapisha rasmi Desemba mwaka 1961.
Sasa mwaka huu 2020, mimi ni nani hata nisimpinge ccm kwenye uchaguzi huu, pale anapotumia miradi ya maendeleo kadhaa iliyojengwa na serikali anayoiongoza, kama kigezo cha yeye kutaka kuchaguliwa tena na kubakia madarakani?
Tafakari...!!!.
Oooo kumbe nyinyi MNAWAPENDA WAJIVUNI NA WADHARAU WATU...alaa kumbeeeHawa ndio tunawataka wapambane na JIWE
Mbona hueleweki andika vizuriAkihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza
Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.
Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko
Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Kwa akili yako Membe ndio atakuja kuwa rais bora?
Mbona hapa unamshabikia?Umewahi kuniona nikimshabikia Membe?
Oooo kumbe nyinyi MNAWAPENDA WAJIVUNI NA WADHARAU WATU...alaa kumbeee