Uchaguzi 2020 Membe anajinasibu kuwa na wenzake sita ndani ya CCM

Comrade Said Sambala,BEATUS MAFURU mwambieni mh.Membe yeye SI kitu nje ya CCM...ALIKUWA mshamba mno kutoka uswekeni akasomeshwa akashonewa na kuvalishwa suti Sasa anawaka uso laini kwa mng'aro wa silver kwi kwi kwi in COMRADE HUMPHREYS POLEPOLE VOICE'S
 
Kakaaaa EEE kwani nyinyi CHADEMA ULIBERALI wa kutaka kuwapa wenzenu "mafuta" hamjaacha tu?!!! Kwi kwi kwi kwi in ESTHER BULAYA VOICE
Hapana kiongozi kunawatu wanajifanya wajuaji sn muda wote kunamdudu anawatekenya coz mm nmetoa maoni yangu navyowaza yeye kaibuka na matusi.
 
Kwa nin tunamtkana Membe? Mtu anadai haki yake! Ama ni dhambi Tanzania kudai haki yako?
Wanaodai haki NI LGBT NA RAINBOW FLAGGERS si mh.sana mtunduizi Membe kwi kwi kwi kaishiwa huyo akalime ufuta MKOKA...
 
Viburi
Dharau
Mauaji
Manyanyaso
Kuligawa taifa
Kusigina katiba na ufujaji wa hela havikubaliki.
 
Hapana kiongozi kunawatu wanajifanya wajuaji sn muda wote kunamdudu anawatekenya coz mm nmetoa maoni yangu navyowaza yeye kaibuka na matusi.
Kwi kwi kwi kwi huyo mdudu atakuwa anawatekenyea kichwani na si chini ya MGONGO kwi kwi kwi kwi
 

Sasa uyu ni raisi au waziri wa ujenzi
Sisi ayo madaraja na uwanja wa ndege havitusaidii chochote tunataka maendeleo ya mtu moja moja
 
Sasa uyu ni raisi au waziri wa ujenzi
Sisi ayo madaraja na uwanja wa ndege havitusaidii chochote tunataka maendeleo ya mtu moja moja
Wee Shilole serikali inatenga asilimia 4 ya mapato kwa mikopo ya miradi ya vikundi kwa VIJANA itakayowanufaisha mtu "mmojammoja"....nendeni halmashauri na kikundi Cha wenzako
 
Afuuu yaani madaraja hayawasaidiii?!!ama kweli we HUJATOKA FAMILIA ZA KILIMO VIJIJINI ukafahamu umuhimu wa haya madaraja ajengayo JPM haswa KIPINDI Cha mvua na MAFURIKO....
Wee Shilole serikali inatenga asilimia 4 ya mapato kwa mikopo ya miradi ya vikundi kwa VIJANA itakayowanufaisha mtu "mmojammoja"....nendeni halmashauri na kikundi Cha wenzako
 
Wee Shilole serikali inatenga asilimia 4 ya mapato kwa mikopo ya miradi ya vikundi kwa VIJANA itakayowanufaisha mtu "mmojammoja"....nendeni halmashauri na kikundi Cha wenzako

Hizo hela ni vichekesho kama vichekesho vingine. Kwenda huko halmashauri na kupewa 2m watu ishirini kwani ni kazi? Hizo hela za halmashauri ni za kuongezea umasikini kupitia vikundi.
 
huyu mtu anajiona yeye ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuwa Rais hapa Tanzania. nahis 2015 angepitishwa basi asingetoka madarakan..na anaonekana kuwa ni mtu mwenye dharau na kiburi sana..
kama Membe ana "dharau na kiburi sana", vipi yule aliyetuambia Watanzania kuwa uteuzi wa viongozi wa wananchi unategemea yeye kaamkaje - kwa kalio ama tumbo??!!
 
Kufanya uchaguzi huru na wa haki ni kuwapigia mabeberu magoti ?!

Na mabeberu ni akina nani ?!
Wazungu, wachina, wahindi , au wa Africa waliobadilika kuwa wakoloni ?!
 
Hizo hela ni vichekesho kama vichekesho vingine. Kwenda huko halmashauri na kupewa 2m watu ishirini kwani ni kazi? Hizo hela za halmashauri ni za kuongezea umasikini kupitia vikundi.
Kwi kwi kwi kwi hwenda wewe ukawa ni miongoni mwa wale WASIOAMINI KATIKA KUKITOLEA JASHO KIDOGO ILI BAADAE KUWE na multifier effect....
Mh.JPM amekuwa akisema kuwa KABLA YA KUMI ilipanda kutoka SIFURI....
 
Kwi kwi kwi kwi hwenda wewe ukawa ni miongoni mwa wale WASIOAMINI KATIKA KUKITOLEA JASHO KIDOGO ILI BAADAE KUWE na multifier effect....
Mh.JPM amekuwa akisema kuwa KABLA YA KUMI ilipanda kutoka SIFURI....

Muende watu 20 mkafuate 2m, kisha mtarajie kubadilika kimaisha?!
 
Kufanya uchaguzi huru na wa haki ni kuwapigia mabeberu magoti ?!

Na mabeberu ni akina nani ?!
Wazungu, wachina, wahindi , au wa Africa waliobadilika kuwa wakoloni ?!
Hali yako MZEE wa Bunda!
Uchaguzi huru anaouongelea Membe NI upi?!!!
Mana dokta slaa nae alidai uchaguzi uliomuingiza madarakani Mh.mzee Kikwete na ukampa uwaziri mh.Membe haukuwa wa huru na haki....yeye MEMBE ALIKAA KIMYA NA KURUDHIKA KUPANDA NDEGE KILA UCHAO...
KUKAJA ILIYOITWA RASIMU YA KATIBA YA WANANCHI,nikumbushe km nmesahau mh.membe ALIWAUNGA MKONO KINA LIPUMBA walipotoka nje ya BUNGE na kuliita ni la "kiintarahamwe"....
Kwake Membe tume huru NI ATAKAPOSHINDA NA kuwa rais yaleyale AILA ya Maalim Seif,chambilecho Shaaban Robert waso haya na mji wao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…