Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Anaposema lolote laweza kutokea kati ya sasa hadi October, ni wazi Mr Membe ni zaidi ya mtia nia.
Huwezi kumpuuza kwa sababu hatujui ana silaha zipi.Kilichomsukuma akahitisha mkutano bila kukatishwa na vyombo vya Dola,ujue ameishajizatiti.
 
Kwa kukosekana kwa Tume huru ya uchaguzi basi serikali ya awamu ya tatu na nne zilikuwa batili, hivyo waliongoza serikali hizo warudishe mishahara Yote
 


Acha uoga huyu kopo tu kama makopo mengine, tunamsubiria kwa hamu aje ulingoni, kapauka hata shanti inaweza mkataa
 
[QUO"Apolinary, post: 35773311, member: 53034"]
Anachukua kwa chama kipi?
Kwa chama hiko hiko cha CCM..,..

Kwani nyinyi maccm kwa akili zenu mnadhani mmemfukuza Membe kwa Katiba ya CCM kweli?

Sasa ndiyo mtakapoijua mbivu na mbichi
[/QUOTE]
Bashiru na wahuni wenzake ndio atajua hajui
 
Ccm mna mtu makini sana na mwenye uzoefu mkubwa wa uongozi ndani na nje ya nchi huyu ni Bernard Kamilius Membe. Huyu ni mdemokrasia na anaziweza siasa za kidiplomasia na ujengaji hoja.

Membe atasaidia ccm kuondokana na udikteta unaokichafua chama na nchi nzima. Kumekuwa na malamiko ya chini chini ya ukabila nadhani Membe ana nafasi nzuri zaidi ya kuirejesha nchi kwenye mstari mnyoofu, mwacheni agombee urais.
 
Kweli watoto wa mjini ni balaa....Kwaiyo wamemuingiza chaka mwenzao kumpa fomu ya uongozi wa vyombo vya dola, alafu ya urais anapewa Membe..... Duuh kweli kuzaliwa mjini raha sana
Naona raia wengi mnasema alipewa fomu ya kugombea uongozi wa vyombo vya dola. Ni wapi mliyajua hayo, wengine sisi wageni hapa
 
Yani ni afadhali apewe form CCM na kushindanishwa na Anko Magu ambako Magu anaweza kushinda kuliko mkimnyima akaenda upinzani ataenda kuboost upinzani kwa kiasi kikubwa sana na kusababisha wanachama wa upinzani kuongezeka na idadi ya wabunge na madiwani kuongezeka kama ilivyokuwa uchaguzi ulipita wakati wa mamvi.
 
Akipewa form CCM itasaidia CCM zaidi kuliko wakimnyima na kwenda upinzani.

Akipewa form CCM faida itakuwa ya chama maradufu kuliko akienda upinzani.

Haya mambo yanahitaji kumtanguliza Mungu mbele na kukubali mapenzi ya Mungu kutimia.

Na haki itendeke sababu Mungu ni mwenyehaki siku zote!
 
Kwani akichukua 2020 kuna ubaya ?Hii ndo demokrasia. Ndo tupime kweli Magu anakubalika au unafki wa watu tu ?
Why now? Kwa nini disturbing the piece now? Utaratibu wa zamani wa chama ulikuwaje? Mkapa walichukua form? Kikwete walichukua form? Membe nae anajua utaratibu wa sisiemu hii, na kubadilihwa kwa huo utaratibu sio muda huu....
 
Kauli kama hizi ndizo haswa zinahitajika kukisika kutoka kinywani mwa mtu makini kabisa, mwenye uelewa mpana wa masuala ya kimataifa na tena mwenye kumaanisha kuwa Rais wa Tanzania.
 
Ni kweli, ila aliposema lolote laweza tokea kati ya juni na oktoba, anaweza akavuka boda....
Huyu jamaa ni mbishi Sana labda mumiminie risasi kama 40 Kama mlivyofanya kwa lissu,vingi evyo mnautema uraisi mapemaa.

Tuliwaonya sana huyu jamaa yenu atakuwa raisi wa kipindi kimoja tu hamkuelewa ona sasa mmeanza kupoteana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…