Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Membe asitafute kiki eti vijana watulie wasilete ghasia, wajaribu waone watakavyochakazwa kwa kipigo cha mbwa koko. Membe atulie tu keshafukuzwa atafute chaka lingine mbona machaka ya matapeli wa kisiasa yapo mengi tu?
 
Membe asitafute kiki eti vijana watulie wasilete ghasia, wajaribu waone watakavyochakazwa kwa kipigo cha mbwa koko. Membe atulie tu keshafukuzwa atafute chaka lingine mbona machaka ya matapeli wa kisiasa yapo mengi tu?
mkuu vipi unahasira na membe?
 
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.
 
Yule ni bilionea alikwiba mabilion ya Watanzania kule libya

Ndio maana
 
Huyo ana pesa za kuishi nje ya nchi maisha yake yote yaliyobaki duniani kwa starehe na chenji ikabaki, hao walishapiga pesa kipindi cha Mkwere halafu pia ni mtu wa idarani huyo anajua kila kitu kinachopangwa na kinachoendelea kila siku Magogoni na chamwino anajua hadi sasa hivi baba jeska anapiga mvinyo au kapiga chafya ndio maana akaitwa mbobezi system yote anaijua....NB: Usimuamini sana mwanasiasa hizi zote ni kutaka kuichanganya upinzani na kuwaondoa kwenye tension ya uchaguzi ili magu apate mserereko na wenyewe wakiicheza hii singeli ya membe wameenda na maji.
 
Kwan yeye halijui hilo???

Nakwann umpe maisha mgumu mtu aliyesahihi katika kile kinachofahamika na wengi???


Nadhan mwenye maisha magumu niyule atakayeamua kumuumiza mwenzake,, Usoni mwake atafurahi lkn moyon ataumia sana.


Alafu mwisho wa siku, Anakufa mapema, Membe bado anadunda.
 
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.
hakuna kama kuna mtu atakuja kuishi vibaya (kama ataishi that is) kama Bashite beyond October 2020 / October 2025.
 
Labda kama Magufuli ni Mungu, hata yakiwa magumu ni kwa kipindi tu sio milele
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.
 
Simtishi Membe bali ni kumjulisha kuwa baada ya zoezi la uchaguzi mkuu hapo Oktoba mwaka huu kwa hakika satoshi magumu mno!


Kama wasemavyo wao kwamba MWENYE KULITAFUTA NA HULIPATA.


Ni hayo tu.
Hivi kosa lake Membe ni nini haswa? Maana mko kama kasuku mnaimbishwa tu.
 
Sisi tunachojua Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…