tzkwanza
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 1,568
- 3,610
Usimfananishe Membe na vitu vya ajabu....Huo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Huyo Dr. anamuogopa hata Roma Mkatoliki ije kuwa Membe???!!!