Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Aje agombee huku Chadema.ila aje na hela,sisi atunaga noma ni hela mbele.
 


Membe anasema:

Kuhusu kugombea ndani ya CCM:

Kuhusu kugombea ndani ya CCM, tukafikia mwafaka na Washauri, Tukafikia uwamuzi kwamba, sisi hatujamkosea mtu, sisi hatujawa waharifu, sisi hatuna uoga na tunaniamini, sisi tuna haki kabisa kabisa ya kugombea urais huu kwa sababu tunalindwa na Katiba sio Utamaduni. Tunalindwa na Katiba ya Nchi.

Lakini tukasema, kwakuwa Kamati Kuu tunaiheshimu, tunamheshimu Mwenyekiti na tunaiheshimu Kamati Kuu. Tungependa basi, kamati Kuu itamke iseme kwamba, kile tulichokisema sisi Wakati ule ni Mapendekezo ni Bahati mbaya yalitoka nje. Ni mapendekezo ambayo yatafanyiwa Uamuzi na Halmashauri kuu ya taifa mwezi ujao wa Saba.

Na mpaka hapo Halmashauri kuu ya Taifa itakapo kaa, Mheshimiwa hana hatia. Wakitamka hivyo leo, au wakitamka hivyo Kesho, tutajaza kugombea urais Jumatatu asubuhi. Naomba nirudie, kwakuwa chombo kinachotoa adhabu ni Halmashauri kuu ya Taifa, na kwakuwa kamati ya Maadili tayari imeandaa taarifa yake na wameipitisha kwenye Kamati Kuu na kwa bahati Mbaya Kamati kuu ikatamka kwamba "Membe tumemfukiza" kinyume cha Utaratibu. Kamati kuu au Msemaji yeyote au Katibu Mkuu au Katibu Mwenezi, akieleza leo kwamba alichokisema Mheshimwa Membe ni sahihi, sisi tunayo repoti iliyotoka kwenye Kamati ya Maadili na Sisi Kamati kuu tumeshaweka mapendekezo yetu, tunayapeleka kwenye NEC.

NEC inakutana mwezi ujao lakini Shughuli za Urais zipo sasa, mpaka hapo NEC itakapo kaa na kuamua iwapo Mheshimiwa Membe afukizwe au la!, Sasa hivi Mheshimiwa Membe yupo huru Kujaza Fomu, Kugombea, Kupata Wadhamini, na kujipima na Rais. Wakitamka hivyo leo au Kesho, Jumatatu nitajaza Fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano CCM Oyeee..!!

Lakini Kamati Kuu inaweza kukataa, ikasema hapana, sisi tulichoamua tumeamua, Mheshimiwa Membe tumemfukuza, sasa yeye akitaka aende Upande mwingine tukutane mwaka 2020. Kamati kuu ni kubwa, inaweza kabisanikakataa. Ikikataa, huwezi mimi kunituma niende Dodoma. Niende kule nikikataliwa kuchukua Fomu? Je, nikipewa ile Fomu nikaenda kwenye Mkoa au Kwenye Wilaya nisimkute anayekusika, anasema ameitwa Dodoma kwenye Ushauri au unauguliwa na Mkwe wake nimsubiri baada ya Siku Mbili? Haitawezekana.

Kwahiyo kugombea kwetu kwenye Chama cha Mapinduzi, ambapo kungewasha hisia kubwa na Msisimko Mkubwa wa Watu kwenda kupiga kura. Na watu wote wangesema Uchaguzi huu unanoga kama mnavyo sikia Uchaguzi wa Zanzibar unavyo Noga, you Mnogeshaji ni Mimi. Ukinikataa mimi nisiende kugombea, Uchaguzi huu hauonogi!.

Na niwaambie Siri.. Naiambia Tanzania na Dunia na nyie watu wangu wa Rondo. Na nimalizie tu kwa kusema hivi, Mimi sitakwenda Dodoma Mpaka Kamati Kuu, au Mjumbe yoyote wa Kamati Kuu atakapo nieleza Mheshimiwa Membe upo Huru fanya hivyo. Kwa sababu tusipofanya hivyo, tutaingia kwenye Mitego. Tutaingia kwenye nini?.. (Mitego)... Tena inaitwa Shilibata.. Utanasa.

Ni lazima tupewe ridhaa, kama hatutapata ridhaa, tunakitakia chama chetu kila la heri kwenye Uchaguzi huu. Hilo la Kwanza.

La pili;

Uchaguzi ni Mwezi wa ngapi? (Wananchi wanaitikia... Wa kumiii...)

Huu ni mwezi wa ngapi? ( Wananchi wanaitikia wa Sitaaa)

Chochote kinaweza kutokea hapa katikati.(Wananchi wanapiga Makofi na Kelele)

Mumenielewa? Nmeeleweka?. Sasa naomba Vijana wote kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mtulie, Msilete ghasia zozote, tulieni hatujui Mungu alichotupangia, tusitoe hukumu Mapema. Naelewa jinsi Mioyo yemu inavyowaka Moto. Lakini muwe na imani kwa sababu leo nmepigiwa simu nyingi sana kutoka Dar Es Salaam na kutoka Mikoa mingine ya Kusini wote wakiwa na Mioyo hii.

Lakini naomba tutulie, tusilete fujo, tusilete gasia yoyote Vyote tumuachie Mwenyezi Mungu. Lengo letu sisi tuwe na Uchaguzi wenye amani lakini wengine sisi hatutoacha kueleza Ukweli kwa sababu ukweli ndio hazina ha Siasa.

Nitasema kweli? (Wananchi wanaitikia.. Daima)

Fitina kwangu? (Wananchi wanaitikia.. Mwiko)

Asanteni na salaam Aleikum.

Pia Soma:

Elections 2020 - Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

Sisi ni akina nani? Wewe sema tu wewe, maana hakuna anayethubutu kukuunga mkono hadharani. Jikune tu baba ili ujichekeshe mwenyewe.
 
Membe ana stress za kufukuzwa ccm,alijiaminisha kwamba anaogopwa
Mtu mwenye akili timamu hawezi kujadili urais kupitia chama alichofukuzwa,biashara na ccm imefungwa
Atangaze mapema nia kupitia upinzani,anapima upepo hadi lini?
 


Membe anasema:

Kuhusu kugombea ndani ya CCM:

Kuhusu kugombea ndani ya CCM, tukafikia mwafaka na Washauri, Tukafikia uwamuzi kwamba, sisi hatujamkosea mtu, sisi hatujawa waharifu, sisi hatuna uoga na tunaniamini, sisi tuna haki kabisa kabisa ya kugombea urais huu kwa sababu tunalindwa na Katiba sio Utamaduni. Tunalindwa na Katiba ya Nchi.

Lakini tukasema, kwakuwa Kamati Kuu tunaiheshimu, tunamheshimu Mwenyekiti na tunaiheshimu Kamati Kuu. Tungependa basi, kamati Kuu itamke iseme kwamba, kile tulichokisema sisi Wakati ule ni Mapendekezo ni Bahati mbaya yalitoka nje. Ni mapendekezo ambayo yatafanyiwa Uamuzi na Halmashauri kuu ya taifa mwezi ujao wa Saba.

Na mpaka hapo Halmashauri kuu ya Taifa itakapo kaa, Mheshimiwa hana hatia. Wakitamka hivyo leo, au wakitamka hivyo Kesho, tutajaza kugombea urais Jumatatu asubuhi. Naomba nirudie, kwakuwa chombo kinachotoa adhabu ni Halmashauri kuu ya Taifa, na kwakuwa kamati ya Maadili tayari imeandaa taarifa yake na wameipitisha kwenye Kamati Kuu na kwa bahati Mbaya Kamati kuu ikatamka kwamba "Membe tumemfukiza" kinyume cha Utaratibu. Kamati kuu au Msemaji yeyote au Katibu Mkuu au Katibu Mwenezi, akieleza leo kwamba alichokisema Mheshimwa Membe ni sahihi, sisi tunayo repoti iliyotoka kwenye Kamati ya Maadili na Sisi Kamati kuu tumeshaweka mapendekezo yetu, tunayapeleka kwenye NEC.

NEC inakutana mwezi ujao lakini Shughuli za Urais zipo sasa, mpaka hapo NEC itakapo kaa na kuamua iwapo Mheshimiwa Membe afukizwe au la!, Sasa hivi Mheshimiwa Membe yupo huru Kujaza Fomu, Kugombea, Kupata Wadhamini, na kujipima na Rais. Wakitamka hivyo leo au Kesho, Jumatatu nitajaza Fomu ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano CCM Oyeee..!!

Lakini Kamati Kuu inaweza kukataa, ikasema hapana, sisi tulichoamua tumeamua, Mheshimiwa Membe tumemfukuza, sasa yeye akitaka aende Upande mwingine tukutane mwaka 2020. Kamati kuu ni kubwa, inaweza kabisanikakataa. Ikikataa, huwezi mimi kunituma niende Dodoma. Niende kule nikikataliwa kuchukua Fomu? Je, nikipewa ile Fomu nikaenda kwenye Mkoa au Kwenye Wilaya nisimkute anayekusika, anasema ameitwa Dodoma kwenye Ushauri au unauguliwa na Mkwe wake nimsubiri baada ya Siku Mbili? Haitawezekana.

Kwahiyo kugombea kwetu kwenye Chama cha Mapinduzi, ambapo kungewasha hisia kubwa na Msisimko Mkubwa wa Watu kwenda kupiga kura. Na watu wote wangesema Uchaguzi huu unanoga kama mnavyo sikia Uchaguzi wa Zanzibar unavyo Noga, you Mnogeshaji ni Mimi. Ukinikataa mimi nisiende kugombea, Uchaguzi huu hauonogi!.

Na niwaambie Siri.. Naiambia Tanzania na Dunia na nyie watu wangu wa Rondo. Na nimalizie tu kwa kusema hivi, Mimi sitakwenda Dodoma Mpaka Kamati Kuu, au Mjumbe yoyote wa Kamati Kuu atakapo nieleza Mheshimiwa Membe upo Huru fanya hivyo. Kwa sababu tusipofanya hivyo, tutaingia kwenye Mitego. Tutaingia kwenye nini?.. (Mitego)... Tena inaitwa Shilibata.. Utanasa.

Ni lazima tupewe ridhaa, kama hatutapata ridhaa, tunakitakia chama chetu kila la heri kwenye Uchaguzi huu. Hilo la Kwanza.

La pili;

Uchaguzi ni Mwezi wa ngapi? (Wananchi wanaitikia... Wa kumiii...)

Huu ni mwezi wa ngapi? ( Wananchi wanaitikia wa Sitaaa)

Chochote kinaweza kutokea hapa katikati.(Wananchi wanapiga Makofi na Kelele)

Mumenielewa? Nmeeleweka?. Sasa naomba Vijana wote kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mtulie, Msilete ghasia zozote, tulieni hatujui Mungu alichotupangia, tusitoe hukumu Mapema. Naelewa jinsi Mioyo yemu inavyowaka Moto. Lakini muwe na imani kwa sababu leo nmepigiwa simu nyingi sana kutoka Dar Es Salaam na kutoka Mikoa mingine ya Kusini wote wakiwa na Mioyo hii.

Lakini naomba tutulie, tusilete fujo, tusilete gasia yoyote Vyote tumuachie Mwenyezi Mungu. Lengo letu sisi tuwe na Uchaguzi wenye amani lakini wengine sisi hatutoacha kueleza Ukweli kwa sababu ukweli ndio hazina ha Siasa.

Nitasema kweli? (Wananchi wanaitikia.. Daima)

Fitina kwangu? (Wananchi wanaitikia.. Mwiko)

Asanteni na salaam Aleikum.

Pia Soma:

Elections 2020 - Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

Huyu asipokuwa makini miaka mitatu ijayo hata pesa ya petrol itakuwa inampiga chenga. Hawatamfunga lakini watamkausha pesa zake zote.
 

Bernard Membe abaki huko huko CCM aje apambane na mgombea wa UKAWA katika uchaguzi huru utakaorudisha heshima ya Tanzania ndani na nje. Maana Bernard Membe hana hofu na ushindani.
Video hiyo ni ktk mkutano Mtama Lindi na maneno aliyosema Bernard Membe:
Mwaka 2015 mwezi Juni kutoka ktk maktaba online :
Maneno mazito ya Mzee Bernard C. Membe bado yanaishi mpaka leo kwa wanaCCM ambao wanaitakia mambo makubwa zaidi nchi hii wakielekea 2020, tumsikilize :


Juni 21, 2020
Lindi, Tanzania

TAMKO JIPYA LA LEO LA BERNARD MEMBE KUHUSU KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA 2020
Bernard Membe leo asema : nipo tayari kujipima na Rais na kama Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM ikikubali iliteleza basi hata jumatatu nitaenda Dodoma kuchukua fomu ya kutia nia na kuanza kusaka saini za wadhamini ktk mikoa yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Source: Lindi Yetu TV
 
Vigezo anavyo,,lakini tamaduni yetu haitaki
Na shida ni kuwa CCM ni chama cha siasa na sio kikundi cha utamaduni!
Hapo ndio songombingo linapoanzia.
Na asilolijua Magu ni kuwa, kama kura za siri zinapigwa ndani ya vyombo vya maamuzi vya CCM yaani KK au NEC kupata hata 30% ni ngumu sana na asidanganyike na vigelegele na nyimbo.
Watu wengi ndani ya CCM wameumizwa sana kama walivyoumia nje ya ccm
 
Hivi unaposema Membe hana sifa za kumzidi Magu, Sasa mbona unawashwa MNDUKU ukisikia Membe anataka kugombea? hivi wewe unatuma hiyo SMS ukiwa kaburini au upo Mombassa ukigawa starehe kwa Bursher?

Hivi hizi sarakasi za wachunga Ng'ombe zinazofanywa dhidi ya Membe ni za nini? Ifikirie sana hii sentensi; " Tunalindwa na katiba ya nchi na siyo utamaduni". Kama wewe ni mchunga ng'ombe 2020 jipange kurudi machungani hapa town wanabaki ma Born town na ma bush star watarudi bush, hili game la 2020 ndani ya ccm ni: Ma born town VS Ma bush star.
Wachunga ng'ombe mjipange kurudi mlikotoka.
 
Hakika Magu anapotezwa na vigeregere feki vya Mwigulu Nchemba lakini kura za siri atapata <20% na ikitokea zikapigwa za wazi atapata <30% hayo mahaba halisi ya wanaccm kwake.
 
Nukuu toka maktaba online

April 8, 2019

Rais Magufuli - "Nawashangaa wanaoupenda urais"



Rais John Pombe Joseph Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , azidi kuwaomba waTanzania kwa kusema "Nisijesimama mahali Nikajisahau hivyo mniombee kwa Mungu wa Imani Zenu ili nisiwe kama wafalme wengine waliojisahau kwa kiburi...."

Source : ITV Tanzania
 

Bernard Membe abaki huko huko CCM aje apambane na mgombea wa UKAWA katika uchaguzi huru utakaorudisha heshima ya Tanzania ndani na nje. Maana Bernard Membe hana hofu na ushindani.

30 August 2018

12 Mnatafuta Urais Zanzibar! Katibu Mkuu Wa CCM, Dkt Bashiru Ally

Amesema Anawajua Wanasiasa na Baadhi ya wanachama Wa CCM Zanzibar Wanaozunguka Zunguka Kabla Ya Muda Kuwania Kiti Cha Urais Wa Zanzibar. Hii ina maana kuna vyama zaidi ya 10 ndani ya CCM Mpya anaainisha Katibu Mkuu Bashiru Ally.
Source : Global TV online
Video hiyo ni ktk mkutano Mtama Lindi na maneno aliyosema Bernard Membe:
Mwaka 2015 mwezi Juni kutoka ktk maktaba online :
Maneno mazito ya Mzee Bernard C. Membe bado yanaishi mpaka leo kwa wanaCCM ambao wanaitakia mambo makubwa zaidi nchi hii wakielekea 2020, tumsikilize :


Juni 21, 2020
Lindi, Tanzania

TAMKO JIPYA LA LEO LA BERNARD MEMBE KUHUSU KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA 2020


Bernard Membe leo asema : nipo tayari kujipima na Rais na kama Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM ikikubali iliteleza basi hata jumatatu nitaenda Dodoma kuchukua fomu ya kutia nia na kuanza kusaka saini za wadhamini ktk mikoa yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Source: Lindi Yetu TV
 
Ni kwanini swala la Membe halikufika katika kikao cha Halmashauri kuu ya chama?

waadishi wa habari mnaogopa nini wafuateni kina polepole waulizeni watoe majibu ya maswali ya membe
 
Back
Top Bottom