Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Mkuu!
The nigga is shitting on himself shitlessly!
Wachaga mnatukana mnavyotaka, wengine wakiandika hivyo mnawapiga ban, acheni ubaguzi ili labda wengine waweze kuwapigia kura pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu!
The nigga is shitting on himself shitlessly!
Kamsengenya rais? basi chama kina vikanuni vya ajabu sana.Kwa kumsengenya mwenyekiti wa Chama
Duh mkuu, uko sawasawa kweli. Huo ndo upeo wako wa kufikiria au kuna kitu kime hack ubongo wakoMiundombinu inajengwa kwa kodi za wananchi na sio hisani au mshahara wa rais. Hivyo miundombinu itajengwa na yoyote hata kama nchi itakuwa haina rais kwani mipango ya nchi ipo tayari.
Makatibu wamekuja na waraka kwa nia njema tu, tumeona walivyoshambuliwa kwa matusi sijui ndiyo demokrasia unayoisema.CCM kuna demokrasia ambapo wanachama wanajadili mambo yao kwa uwazi kwenye vikao halali vya Chama. Hiyo demokrasia ya kujificha na kuanza kufanya mipango ya uhaini si demokrasia bali domogasia
Kuna la ajabu hapo mpaka usiamini, huoni juzi kakiri kuwa sauti iliyodukuliwa ni ya kwake? Kama ameweza kukiri yale atashindwa kuzungumza hayo? Ukweli ni kuwa kuna wanaccm wengi hawaridhishwi na namna Magufuli anavyoongoza chama chao na nchi kwa pamoja kwani kajigeuza kuwa mkubwa kuliko chama na nchi. Sasa huyo Membe anachofanya ni kumuonyesha kwamba yeye sio mkubwa kuliko chama au nchi, hivyo yuko tayari kupambana naye ili kumuonyesha hana madaraka zaidi ya hayo anayopaswa kuwa nayo.
Mimi ninaamini Membe hawezi kuwa rais mzuri, lakini huyu wa sasa sio mzuri pia. Na pia tulishatoka kwenye kuongozwa kwa vitisho na kusujudia viongozi. Sasa hivi tunataka kiongozi anayeheshimu wananchi sio anayeogopwa na wananchi kisa anapandikiza hofu. Kama ni maendeleo tungeweza kuyapata hata chini ya wakoloni, lakini uhuru wetu ulikuwa na maana kuliko maendeleo ya wakoloni.
Kipaumbele kikiwa kugeuza Chato kuwa mji wa kisasa
Kugombea urais ni uhaini?
Labda Slaa, lkn Zitto na Kitila tangu mwanzo nilikuwa na wasiwasi wao.Kwa wanasiasa ni jambo la kawaida
Hata wewe zipo nyuzi zako humu unawsshabikia slaa,zitto na kitila,nina uhakika ukikutana nao leo unaweza hata kuwatemea mate
Kwanza anatakiwa kuchukuliwa hatua na Chama chake baadae ile sauti yake iliyodukuliwa kusambaa. Hii ya kugombea anasema ili wakimfukuza apate agenda ya kisiasa eti baada ya kuonesha nia ya kugombea urais 2020 ndo amefukuzwa chamani.
Membe anatakiwa kufukuzwa fasta CCM ili akastaafie siasa akiwa opposition.
Tatizo hapq siyo kujenga swala kubwa hapa ni usimamizi na nidhamu kwa pesa zetu wananchi.Miundombinu inajengwa kwa kodi za wananchi na sio hisani au mshahara wa rais. Hivyo miundombinu itajengwa na yoyote hata kama nchi itakuwa haina rais kwani mipango ya nchi ipo tayari.
Nassary kauza mechi upo kimyaa,Mbowe kapitiliza muda madarakani hataki uchaguzi upo bize na ccm na membeLabda Slaa, lkn Zitto na Kitila tangu mwanzo nilikuwa na wasiwasi wao.
jiwe halipendagi ushindani
Anaweza kuwekwa kizuizini huyu
Huyu Mzee anaota ndoto za mchana. Hivi kwani lazima kila mtu afanye siasa?.Bernard Kamillius Membe waziri wa zamani wa Mambo ya nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2020 ndani ya chama cha Mapinduzi CCM. Anaripoti Yusufu Katimba.
Taarifa za hivi karibuni zinasema Membe ambaye alikuwa waziri kwa miaka minane ya utawala wa Jakaya Kikwete, ameapa kujitosa katika kinyang'anyiro cha kumpinga rais wa sasa John Pombe Magufuli.
"Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala tuombe Mungu niwe mzima. Nitajitosa na nitashinda." Amenukuliwa mwanasiasa huyo akiwaeleza baadhi ya wafuasi wake wa karibu ndani ya chama hicho.
Amesema, "Katika hili siwezi kurudi nyuma na hayupo anayeweza kunishawishi kurudi nyuma. Nitagombea, nitajitosa katika kinyang'anyiro hicho kwa kuwa nina kila sababu ya kufanya hivyo."
Kupatikana kwa taarifa kuwa Membe amepanga kujitosa katika mbio za urais 2020, kutaweza kumaliza mining'ono kuwa kwa muda mrefu kiongozi huyo amekuwa akiendesha mikakati yake kimya kimya ya kumkabili Magufuli ifikapo 2020.
![]()
Kati ya wanasiasa Nassary naye unamhesabu, kuhusu Mbowe kasome katiba ya Chadema. Kama matokeo ya vikao vyote vya CCM unayajua yanajulikana kwa wanachama kama wewe kuna haja tena ya CCM kufanya vikao.Nassary kauza mechi upo kimyaa,Mbowe kapitiliza muda madarakani hataki uchaguzi upo bize na ccm na membe
Akili yako inakuambia kabisa,membe atachukua fomu,atarudisha,atapitishwa na sekretarieti,atapitishwa na kamati kuu,ataputishwa na NEC,halafu atapita kwa kishindo kwenye mkutano mkuu?lazima ukapimwe
Membe na January wameshakosa sifa za kugombea urais,kwa sababu walishafunguliwa ma file na mangula ya kucheza rafu 2015 kwa kuanza mapema kampeni
Zama hizi ni za magufuli ni bora tu wakae nyumbani