Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema


Mswahili amevua koti la suti
 
Hamjui, anakaa porini huko atamjuaje. Huyu ndio yule ambaye wanaCCM walienda kwenye kibanda chake wakiomba kura maana wamenunua ndege
Wenzako wanajua kusoma na kuandika.sheria unawauliza wataitoa wapi? Wahurumie bwashee
 
Mijitu ina vichwa vikubwa lakini akili matakoni. Logic ndogo tu kampeni inawashinda. Hata baada ya kuwapa ufafanuzi bado hawataki kumuelewa.
 
Huku Lisu naye anaendelea na kampeni zake tu kabla ya muda uliowekwa na tume.

Tume imkate.
 
Subiri mpaka Lisu akatwe ndio utajua kama kuna sheria
Nami ninakumbia TL akikatwa ndipo utakifahamu Chama tawala chenye wasomi walioko mitaani bila kazi ni kipi na chenye watumishi miska 5 hawajapandishwa Mishahara, wafanyabiashara wanaoteseka,wafugaji na wakulima walinaoteseka,watumishi wanaotumbuliwa kila siku na wengine kibao.
 
Hii ni kauli ya maajabu sana aseme ndo utartibu alioona unamfaa basi , kuwepa mtego ina maana gani kwani kutafuta wadhamini openly kuna kosa gani , hata hivyo amekua kwenye serikali ya kikwete ,je kikwete alitafuta wadhamini kwa kificho , na je kuna kanunu yoyote tume inayokataza mtu kutafuta wadhamin openly na kama ametafuta wadhamini kwa kificho vipi tukisema hata hao wadhamin kafoji , angalizo vyama muwe makini na watu kama hawa,kanialibia siku, yani mtu analazimisha mazoea kua sheria very sad
 
Upuuzi mtupu nani aliongea Zanzibar na kusema atawatoa mashehe wa uhamsho akichaguliwa kuwa Rais?

Wanatufanya watanzania wote wapumpavu kama wao.
Kuna kichaa wenu ameshaanza kampeni kabla ya muda, kila siku ,"Risasi, risasi, risasi, sasa sijui ndio maumivu yake yataleta maendeleo!! asubiri kukatwa tu na huyo bwanaake kutoka US anayejifanya anajua kuvuruga amani ya nchi za kiafrika ashafahamika.
 

Ameanza unafiki na kujishuku🤨😏
 
Nayo atuondolee ujinga hapa, mbona Zanzibar walipokelewa kwa maandamano? Kiufupi hatoshei kwa Lissu hata kidogo, ampishe Lissu apeperushe bendera ya wapinzani!
Kaboa zaidi yaani kujinafikisha kujiona yeye mwema anajua Sheria...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…