Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Naungana na Membe...wacha Musiba alipe Gharama za matusi yake!....
 
Kaomba msamaha?
Hata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.

Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.

Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .

Ni maoni yangu siyo sheria.
 
Hata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.

Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.

Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .

Ni maoni yangu siyo sheria.
Musiba si alisema wanaomtukana magufuli wauwawe au hukusikia?
 
Aanze alif tu hakuna namna maana alikuwa anafurahia sana watu kuuwawa na wengine kutumbuliwa au kufungwa

Hao pia wana wazazi na wana familia na wana watoto waliokuwa wanawategemea
Huyu jamaa watu watacheka zaidi akijiuwa kabisa

Mimi sishabikii bali anastahili alichokifanya kwani alikuwa anapokea posho na malupulupu kwa upumbavu wake na alikuwa anajijua kabisa kwani asingejiongeza kwa kujenga majumba na kuongeza wigo la biashara zake
 
Hata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.

Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.

Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .

Ni maoni yangu siyo sheria.
Hakuna kusamehe wajinga mfano wa Mulanga, akithubutu kumsamehe itakuwa ndio tabia ya jamii km Mulanga!
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
NaMna pekee ya kuwasaidia hao wake za musiba ni kuwapiga mimba
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Lugha uliyotumia hapa ni ya kifedhuli, msiba aishi na msiba wake, hafai kusamehewa kabisa. Ameumiza wengi sana.
 
Hata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.

Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.

Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .

Ni maoni yangu siyo sheria.
Kuwa mshamba ndio usamehewe Acha afilisike ili WAshamba wengine wajifunze kuwa defamation ni kosa la jinai

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Musiba hapaswi kusamehewa

Tutatengeneza taifa la hovyo waropokaji wakitegemea kusamehewa kwa mgongo wa vitabu vya Dini.

Anapaswa anyooshwe vzur awe example kwa waropokaji wengn Hapa nchini[emoji4]
Huyo msiba alikuwa siyo mropokaji tu, alikuwa unforgiving bullying assassin. Ame assassinate characters nyingi sana.

Akafikiri wote anaweza kuwa bully atakavyo, kapata mwamba wake. Akomeshwe tu kama Membe alivyosema, kuanzia sasa afunge mdomo kabisa.


Na hili la Membe hawezi kumaliza kulipa, mali zake zote ziuzwe, na deni linalobaki akasote jela mpaka lilipwe. Bado la Fatma Karume.

Sijuwi kama Zitto Kabwe kamsamehe au anamlia timing ya kumpeleka mahakamani.

Aongee na mama magu amlipie.
 
Back
Top Bottom