Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama magu amlipie kwa utaratibu upi sasa, mbona unazingua wewe kibibi.......yote hiyo ni chuki tu dhidi ya JPM, punguza udini wewe bibi usije ambukiza itikadi kali kwa wajukuu.Huyo msiba alikuwa siyo mropokaji tu, alikuwa unforgiving bullying assassin. Ame assassinate characters nyingi sana.
Akafikiri wote anaweza kuwa bully atakavyo, kapata mwamba wake. Akomeshwe tu kama Membe alivyosema, kuanzia sasa afunge mdomo kabisa.
Na hili la Membe hawezi kumaliza kulipa, mali zake zote ziuzwe, na deni linalobaki akasote jela mpaka lilipwe. Bado la Fatma Karume.
Sijuwi kama Zitto Kabwe kamsamehe au anamlia timing ya kumpeleka mahakamani.
Aongee na mama magu amlipie.
Na ndio inavyokakiwa. Ili watu watambue mipaka nilikua nasikiliza jamaa alivyokua akitema cheche zake nikajua baadae italeta vinyongo vya kujitakia. Uanaharakati wa kujitegemea umekwisha kabisa sio mchezoKuna watu hawatanii wakishaamua hawarudi nyuma kimasikhara mali zinapigwa mnada
Kwani Bashiru anayo mamlaka ya kubatilisha hukumu ya mahakama kuu?!!!Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Walishasema HAWAJAMTUMANaomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.