Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Bernard Membe Dunia ipo na wewe kamatia hapohapo usikubali hapohapo uwakomeshe machawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha inyesheee..Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Piga spanaa piga spanaaaaaaBernard Membe Dunia ipo na wewe kamatia hapohapo usikubali hapohapo uwakomeshe machawa
Piga kabisa mpumbavu huyuPiga spanaa piga spanaaaaaa
Wangapi wamefilisiwa na bank lakini hawakuita press maisha ni kupanda na kushuka avune alichopanda katukana na kazalilisha wengi huyu msiba nilimsikia kwa masikio yangu kwenye account yake youtube akimtukana lisu eti umeme umekataMmmh kibinadamu Bora mh Membe angesamehe tu, mbona Duniani tunapita?
Mamboo gani yako uchi na wewe ? Aliyataka acha yamfikeJamani mambo yenu Yako uchi.
Wewe ni sehemu ya familia ya Musiba?Hata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.
Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.
Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .
Ni maoni yangu siyo sheria.
Huo muda wa kumsamehe mwana harakati huru, aliyekuwa anavua watu nguo asubuh mchana jioni kama panadol..
Kama namwona alivyokuwa anavimbiana kwenye video akitukana watu na kutishia wengine.
Kapicha!!!?Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Sahii kabisa,Huyo msiba alikuwa siyo mropokaji tu, alikuwa unforgiving bullying assassin. Ame assassinate characters nyingi sana.
Akafikiri wote anaweza kuwa bully atakavyo, kapata mwamba wake. Akomeshwe tu kama Membe alivyosema, kuanzia sasa afunge mdomo kabisa.
Na hili la Membe hawezi kumaliza kulipa, mali zake zote ziuzwe, na deni linalobaki akasote jela mpaka lilipwe. Bado la Fatma Karume.
Sijuwi kama Zitto Kabwe kamsamehe au anamlia timing ya kumpeleka mahakamani.
Aongee na mama magu amlipie.
Membe naye ana familia alipokuwa anatukanwa alidhalilikaMkuu adhabu ni kali mno
Ana familia mkumbuke
Aisee.. Kweli alikuwa yuko kwenye kiwango cha self actualrisation. Cha ubora wake wa kuvimba. "Joka la kibisa" yan alisikia kichefchefu jinsi Ndg Membe alivyokuwa anaharibu ulaji. Na kumkosesha Rais raha.
Lile tusi, lilinisikitisha sana, alimsakama sana Lissu licha ya kupigwa risasi zote zile,Wangapi wamefilisiwa na bank lakini hawakuita press maisha ni kupanda na kushuka avune alichopanda katukana na kazalilisha wengi huyu msiba nilimsikia kwa masikio yangu kwenye account yake youtube akimtukana lisu eti umeme umekata
Membe peke yake hawezi kumsamehe Musiba kwani watu walioteswa na matusi ya Musiba ni zaidi ya Membe!!! Waacheni wazikane wao kwa wao.Maskini amsamehe tu,