Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nipasie mmojaMIMI NI SHABIKI WA MUSIBA
NIKO TAYARI KULEA HAO WAKE ZAKE.
EBU NIPE KONTACKI MWAMBA.
Na wao wako mnadani?Mkuu nipasie mmoja
Nipasie mmoja mkuuuMIMI NI SHABIKI WA MUSIBA
NIKO TAYARI KULEA HAO WAKE ZAKE.
EBU NIPE KONTACKI MWAMBA.
Mnada unafanyikia wapi!!?Na wao wako mnadani?
Alivyokua anamtukana hamkuyajua haya?? Duniani unapita wewe wengine wana mawazo tofauti..akipita membe wanabaki wanae watumie hizo maliMmmh kibinadamu Bora mh Membe angesamehe tu, mbona Duniani tunapita?
Kazama kwao ni kheri kwa taifa kuliko kuendelea wakielea wakati wao wamezamisha wengi kwa kibri chaoNaomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
SwadaktaHivi kuna watu wamesahau yale mambo yake? Ukikumbuka tu, hata hii adhabu aliyopewa, utaiona ni ndogo!
Alipokuwa anamtukana Membe hakujua kuwa ana familia pia?Mkuu adhabu ni kali mno
Ana familia mkumbuke
Angelijuwa hilo asingeyafanya aliyoyqfanya hata wakati yeye anavunya utu wa membe nae pia familia yake ilikuwa inayapitia magumuMkuu adhabu ni kali mno
Ana familia mkumbuke
Hata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.
Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.
Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .
Ni maoni yangu siyo sheria.
Membe kaza uzi hakuna msamaha amekudhalilisha sana pia kadhallisha mpaka Marais wastaafu alipe pesa iwe fundisho kwa vibaraka wengine wa ukabilaNaomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Hakuna msamaha nyie sukuma gang ndio mlikua mnashangilia pimbi wenu anavyotukana watuMmmh kibinadamu Bora mh Membe angesamehe tu, mbona Duniani tunapita?
Kuna walemavu wanafamilia na wanaishi yeye anaviungo vyoteMkuu adhabu ni kali mno
Ana familia mkumbuke
Tunataka pesaHata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.
Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.
Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .
Ni maoni yangu siyo sheria.