Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Asiishie tu kupiga mnada, fedha zitakazopatikana azitumie kulipa ada ya kumuweka gerezani kufidia deni linalobaki kwasababu hizo mali hazitatosha kumaliza deni.
Huyo kenge atakuwa mfano kwa chawa wote
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Kazama kwao ni kheri kwa taifa kuliko kuendelea wakielea wakati wao wamezamisha wengi kwa kibri chao
 
Hata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.

Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.

Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .

Ni maoni yangu siyo sheria.

Ni kutengeneza Taifa la hovyo ambalo mtu akifanya uovu anategemea kusamehewa!! Hapana!! Aulipie uovu wake liwe fundisho kwa wengibe waache upumbavu!!
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Membe kaza uzi hakuna msamaha amekudhalilisha sana pia kadhallisha mpaka Marais wastaafu alipe pesa iwe fundisho kwa vibaraka wengine wa ukabila
 
Hata kama hajaomba, but namuona Membe kama ni mkomavu kisiasa, na Kwa heshima alivyokuwa nayo kwenye taifa hili, ni kheri angesamehe.

Maagi Mulaga (Ciprian Musiba)
Mbona ni mshamba mmoja tu ambaye hakuwa na busara wala chembe ya utu.

Kwahiyo Kachero mbobezi au my Role model, angemsamehe huyo mshamba angeheshimika zaidi .

Ni maoni yangu siyo sheria.
Tunataka pesa
 
Musiba Kawa na Msiba apate anachostahili, tunajua kisasi ni cha Mungu ila ikumbukwe tumeumbiwa kwa mfano wa Mungu, atusamehe bure
 
Back
Top Bottom