Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Binafs nisingemsamehe. Huyu jamaa angekuwa anahtaji msamaha angehtisha vyombo vya habar vyote aombe msamaha peupe bila kuambiwa mtu. ana kibur mwache wamuuzie kila kitu tujifunze tuache maisha holela kila kitu tunachukulia poa. Lazima watu tujifunze maisha yenye displine. Huyu jamaa ndio walioanzisha uchawa matokeo yake vijana wameaharibika hawataki kufanya kazi ni uchawa uchawa tu. Wageni wanakuja hapa kwa wingi wanafanikiwa sisi hatuoni fursa tumebaki kusifia viongoz na kupoteza muda.
 
Labda tuseme kipindi kile musiba alikuwa mateka, aliyafanya Yale yote kwa shinikizo la jiwe kwamba kufanya kinyume Cha maagizo ingekuwa hatari yake na familia yake...[emoji848]?

Lkn upande wa pili unakataa kwa tone ile na kwa maelezo yake mwenyewe alikuwa akisema hakuna aliyemtuma.

Alitukana wazee wa ccm, alitukana na kudhalilisha upinzani, alimtukana lisu matusi ya nguoni aaggghhh musiba ulikera sn[emoji3061]

Kinywee kikombe chako Sasa.
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Hahahah
Membe binya hapo hapo. Kuna mayowe bado hayajasikika vizuri.

Kwani Musiba si alikuwa na uhakika? Imekuwaje sources zake hawakumkubalia kutokea mahakamani wakati kesi yake inaunguruma?

Shangazi yupo paleeee, anamsubiria

Mwaka kongwa huu
 
Labda tuseme kipindi kile musiba alikuwa mateka, aliyafanya Yale yote kwa shinikizo la jiwe kwamba kufanya kinyume Cha maagizo ingekuwa hatari yake na familia yake...[emoji848]?

Lkn upande wa pili unakataa kwa tone ile na kwa maelezo yake mwenyewe alikuwa akisema hakuna aliyemtuma.

Alitukana wazee wa ccm, alitukana na kudhalilisha upinzani, alimtukana lisu matusi ya nguoni aaggghhh musiba ulikera sn[emoji3061]

Kinywee kikombe chako Sasa.
Mungu katika hekima zake aliweka mamlaka za wanadamu na sheria mbslimbali za kufuatwa.

Sheria ifuatwe
 
Mmmh kibinadamu Bora mh Membe angesamehe tu, mbona Duniani tunapita?
Ni kweli ila membe ana mengi sana anayoyakumbuka moyoni, nikukumbusha tu moja ya maneno yake kutoka katika moja ya cips zake nyiiingi sana zilizojaa matusi, kashfa na majigambo dhidi ya membe.

Alikuwa anamshutumu Membe kuwa ameenda sijui nchi gani huko kumharibia jpm. Haya ni baadhi ya maneno aliyoyatoa;
'....hawezijua inawezekana hizi taarifa nikawa nazipata humo humo ndani mwake kutoka kwa mkewe'. Ni matusi makubwa kiasi gani haya!!!!!
 
Mi nmecheka tu hapo alivyomalizia Eti Serikali ya Magufuli Inafanya kazi "Leo, Kesho na Hata Milele" [emoji1787][emoji3]

Aisee kweli Mwanadamu akishiba huwa anajisahau Sana,
Enewei Wakuu nina swali Kwenye Minada hakunaga Mashabiki ?
...Halafu Jamaa amenona kweli ! Nahisi Sasa amekonda ![emoji3590]...
 
Back
Top Bottom