Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Kwani yeye Musiba wakati anatukana hao wake wake wawili walikuwa wapi? Je walimkanya au walichekelea, na yeye Musiba wakati anatukana aliwaangalia famili ya Membe?? Au huku kuangalia kunatakiwa kuwe Kwa
 
Kwa namna Mzee Membe alivyozalilishwa, kama kweli Mzee Membe ataweza kumsamehe Musiba kwa sababu ya Wajinga na Wanafiki wachache Mitandaoni na kwengineko basi Ntamshangaa sana!

Binafsi namuomba Mzee Membe asimsamehe Musiba katika hili, kwa ajiri ya funzo hata kwa kizazi kijacho.
 
Nadhani Membe asirudi nyuma ili iwe reference nzuri nchini,Kuna kizazi kimekuja hakina adabu kabisa mfano kina Makonda,Hapi,Mnyeti,Sabaya,Gambo,na wengine walikuwa wanafanya mambo yasiyo ya kiuongozi kabisa....... kutukana watu ovyo,kutoa lugha zisizo na staha, kujiona wao hawagusiki.Binafsi simuonei huruma Corian
 
Nadhani Membe asirudi nyuma ili iwe reference nzuri nchini,Kuna kizazi kimekuja hakina adabu kabisa mfano kina Makonda,Hapi,Mnyeti,Sabaya,Gambo,na wengine walikuwa wanafanya mambo yasiyo ya kiuongozi kabisa....... kutukana watu ovyo,kutoa lugha zisizo na staha, kujiona wao hawagusiki.Binafsi simuonei huruma Corian
Hapa akifanyiwa maombi na mchungaji mpenda SADAKA!

 
Hivi Huyu musiba ni nani au ndo yule alikua mtangazaji Wa chanel ten sijui na magic fm kama ndo yeye ndo ana mali zote hizo kwa kazi Ile tu au alikua anakazi zingine
 
Acheni upumbavu wacha wale matunda ya upumbavu wao, mbona walikaa kimya wakati wananufaika na hela ya jiwe kama malipo ya matusi kwa Membe.
Hao viongozi wa dini ni wanafiki mbona hawakumuonya maiti asitukane
 
Hao watu wa dini kwanini sasahivi ndio wanaonekana wa muhimu? Wakati musiba anatoa maneno ya hovyo mbona hawakwenda kumshauri aache? Tujifunze kusimama wenyewe, watu baadhi walizani mtu akiwa Rais wa nchi hawezi kufa au ni lazima atakufa akiwa mzee
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Musiba ndugu yangu,tulia uandike vizuri sasa.
Km unaomba msamaha ondoa hilo nene CHUKI na ongeza neno MTUKANAJI mara nyingi zaidi.
 
Back
Top Bottom