Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Acha inyesheee..
 
Wewe ni sehemu ya familia ya Musiba?
 
Kapicha!!!?
 
Mada na maudhui yake hayana tofauti na yale aliyoyokuwa akiyafanya Musiba. Huwezi kusahihisha uovu wowote unaodaiwa kwa uovu. Hii ni muendelezo uleule tu, kutisha waziwazi yaani watu wanatunga na kubandika mada kuvutia wasomaji waondoke na taarifa potofu za kusengenya na kuchafua watu.
 
Sahii kabisa,
Musiba ashughulikiwe Bila huruma
Achonganishi aliokua anaufanya sidhn km hajaua mtu mpuuz yule
 
Walikua wapi kumshauri mwanaume wao kipindi anatukana wakulungwa .
Membe usipokee simu ngeni wala barua lolote hiki kipindi jifungie ndani weka zbc ule mawaidha safiii kabisa usubiri pepo yako mungu anakuandalia apana samehe wahuni wanatukana hadhalani pasi na kumuogopa mwanyazi mungu alafu wanakimbilia misamaha achana nao
 
Wangapi wamefilisiwa na bank lakini hawakuita press maisha ni kupanda na kushuka avune alichopanda katukana na kazalilisha wengi huyu msiba nilimsikia kwa masikio yangu kwenye account yake youtube akimtukana lisu eti umeme umekata
Lile tusi, lilinisikitisha sana, alimsakama sana Lissu licha ya kupigwa risasi zote zile,
 
Maskini amsamehe tu,
Membe peke yake hawezi kumsamehe Musiba kwani watu walioteswa na matusi ya Musiba ni zaidi ya Membe!!! Waacheni wazikane wao kwa wao.
Mpango. Bashiru, Kalemani, Kabudi, Msukuma na kundi lote la Sukuma gang wamchangie alipe hiyo faini! Kamwe Membe asikubali kumsamehe huyo fedhuli ; ukimsamehe, you will be creating a bad precedent.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…