Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Membe waonee huruma Hawa wake wawili wa Musiba kama umewakatalia viongozi wa dini

Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Humo humo mzee Membe mpaka mafi yamkabe yatoke.
 
Huu wimbo mzuri sana kwa Watawala na watu wengine kama hakina Musiba, Bashite, Sabaya, nk.



Nakumbuka Rais wa awamu ile alikuwa anapenda sana kuucheza ukiimbwa.

TUSIHI KWA UPENDO.
 
Membe hana pesa kaimaliza yote kwenye campaign!
Mali za musiba ndio watoto wake watatu tho[emoji3062]
Mbona Fatuma karume kakaa kimya? Maana bado anazo zake za kutosha’
 
Nasema uza mali zote haraka sana, huyu alijiona mungu mtu na sio matusi tuu, alitishia watu maisha yao na kuna walioumia kwa ajiri yake, huyu hana tofauti na Sabaya
 
Lakini wakati mwingine bora kuziacha sheria zifanye kazi yake ili watu wajifunze kuheshimu faragha za wengine.
 
Musiba ni rafikiyangu wasikunyingi sana tumetoka naye mbali ...... nipotayari kujitolea kumlea mke mdogo yule cheupe mwambie anipigie namba zangu ni zilezile
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
 
Alisema Tundu hakupigwa risasi [emoji24][emoji24][emoji24] sixteen bullet [emoji24][emoji24][emoji24]He survived,kama si Mungu, Tanzania na iseme Sasa, Azory,Ben,Mawazo,[emoji24][emoji24][emoji24] their absence still cry over this nation.
Maandiko yanasema Herode alitaka kumuua YESU angali mchanga, instead, he died earlier than expected [emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.

Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?

Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.

Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Katika watu ninaowachukia ni Msiba. Maji ayaoge tu kwa kuwa nguo keshavua..
Funzo.; Kamwe usimtumaini mtu.
Akiondoka katika uso wa dunia cha moto utakiona kama Msiba!
Ahamie Chattle .
 
Back
Top Bottom