Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humo humo mzee Membe mpaka mafi yamkabe yatoke.Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
Matatizo ni Gym tosha...Halafu Jamaa amenona kweli ! Nahisi Sasa amekonda ![emoji3590]...
kibinadamu hivyo hivyo kwa nini Usimshauri Musiba aombe radhi, tena aseme mara x3 amekosa sana. Nawashangaa mnamuacha mtu wenu mna mbeep Membe ili baadae mmchambeMmmh kibinadamu Bora mh Membe angesamehe tu, mbona Duniani tunapita?
na bado kuna wanaompa kiburi, angeshaomba msamaha.Watu wananyongwa sembuse kupigwa mnada mali zake,kapewa adhabu ndogo sana wacha wamfilisi waliokuwa wanamtuma watamchangia.
Musiba hata utu hata chembe anyooshwe tu.
Tunapita tunaenda wapi? Wakati anafanya upuuzi wa kudhalilisha watu mbona hamkumwambia kuwa Dunia inapita? Hayo ni mavuno halali kwakeMmmh kibinadamu Bora mh Membe angesamehe tu, mbona Duniani tunapita?
Ila kwa upande mwingine kimetumika kikokotoo gani kupata hicho kiasi cha b9Iwe fundisho kwa wengine pia. Membe piga bei hivyo vitu
Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwehu wwe chukua watoto [emoji1787][emoji1787][emoji1787]MIMI NI SHABIKI WA MUSIBA
NIKO TAYARI KULEA HAO WAKE ZAKE.
EBU NIPE KONTACKI MWAMBA.
He is Dead one [emoji24][emoji24][emoji24]Aliyekuwa anamtuma ndio amlipie
Katika watu ninaowachukia ni Msiba. Maji ayaoge tu kwa kuwa nguo keshavua..Naomba niseme kwa ufupi sana, Mwera Bernard Membe ana hasira na chuki ya wazi kwa mtukanaji Ciprian Musiba. Hali hii Sasa ni Tete.
Yono anatangaza mnada wa mali za Musiba Ijumaa na wanunuzi wameshajaa ofisini kwa Yono na miongoni mwao ni waliotukanwa na Musiba. Membe amekataa ushauri wa kila kiongozi wa dini kusamehe. Binafsi simjui Membe lakini kama vile umma unamlilia Musiba?
Ushauri wangu, Dk. Bashiru Ally (SG) mstaafu mwakoe Musiba kwa yote "mema" aliyowatendea. Usimkwepe. Jana amekupigia kupitia namba 0727 2393** saa Tano asubuhi ukamjibu, "Niko kikaoni" ilhali ulikuwa Dodoma Hotel na Naibu Waziri. Jamani mambo yenu Yako uchi.
Kama Kuna wakati Sukuma Gang kumsaidia filimbi yenu Musiba ni Sasa. Kabudi, Bashiru, Kalemani, Waziri wa Sheria na Katiba uliyedhamiria kumzamisha Samia na kampuni yenu Greatwall Restaurant msaidieni mwenzenu. Membe anawazamisha.