secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Na hiyo ndiyo furaha yangu!🤣🤣🤣🤣 uzuri umepata mpambe Tajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo ndiyo furaha yangu!🤣🤣🤣🤣 uzuri umepata mpambe Tajiri.
Tumngoje akizingua kesho namfungulia uzi kumbembeleza, na nitaomba members wote tumbembeleze hadi ajae, uzuri nina nguvu ya ushawishi.Na hiyo ndiyo furaha yangu!
Fanya hima mkuu, liwezekanalo lifanyike.Tumngoje akizingua kesho namfungulia uzi kumbembeleza, na nitaomba members wote tumbembeleze hadi ajae, uzuri nina nguvu ya ushawishi.
😂😂😂😂😂😂Fanya hima mkuu, liwezekanalo lifanyike.
Vigezo ni maandiko yetu humu jf
Ati ninii! secretarybird njoo chapu mara moja kuna tatizo la kiufundi hapa.Akakojoe alale, ngoma ya kitoto haikeshi 😹😹
Sawa mkuuMaandiko yenu ya nini cha ziada mpaka mfanye hiyo self declaration?
Kupenda kusifiwa ni ugonjwa mbaya sana
Kwa hayo maelezo mbona kama ulishawahi kumpa nafasi!Akakojoe alale, ngoma ya kitoto haikeshi 😹😹
😹😹😹 Mimi huyu nikutumie makopa?Njoo tufanye jaribio kwanza niku prove wrong. Yaani utakuwa unanitumia makopa kopa kama mtu aliyerukwa na akili.
Huwa natembea na ule msemo usemao usimkatie mtu tamaa. Mpira ni dakika 90 na unadunda.Ati ninii! secretarybird njoo chapu mara moja kuna tatizo la kiufundi hapa.
🙄😧Akakojoe alale, ngoma ya kitoto haikeshi 😹😹
🤣🤣🤣 👍 👍 👍Njoo tufanye jaribio kwanza niku prove wrong. Yaani utakuwa unanitumia makopa kopa kama mtu aliyerukwa na akili.
Haijawahi kutokea sema huyo anapenda kunichokoza tu..!!Kwa hayo maelezo mbona kama ulishawahi kumpa nafasi!
Tena Kwa sana.😹😹😹 Mimi huyu nikutumie makopa?
Kweli kabisa waarabu tunasema Al quraa tasiina daqiqa.Huwa natembea na ule msemo usemao usimkatie mtu tamaa. Mpira ni dakika 90 na unadunda.
Ndiyo mnaacha vijana wanabaka mbuzi hivi hivi, yaani mtu anamwagika hadi na jasho kukuaproch unasema anakuchokoza!Haijawahi kutokea sema huyo anapenda kunichokoza tu..!!
Kabisa mkuu yaani Sasa hivi juu ya huyo mtoto usingizi ninaoupata haufikii hata punje ya haradali.Ndiyo mnaacha vijana wanabaka mbuzi hivi hivi, yaani mtu anamwagika hadi na jasho kukuaproch unasema anakuchokoza!