Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No... kuthibitisha hilo fungua uzi wako wa kumkwaza genta halafu mtag akija kujibu mapigo mimi nitaingilia uzi kati na wote tuta type kwa wakati mmoja.Nikajua ulijifananisha naye Kwa kila kitu.
Nakupenda...Unaiba kushoto, unaficha kulia 😹😹
Mh Rais...Taratibu zina semaje kwa Mwana Chama mwenye Mabadiriko ya Ghafla, kama Huyu Ndugu yetuwe boya sijui uli pataje nafasi kwenye chama changu Cha ma jobless pro max?
Sikupendi… 😹Nakupenda...
Sikupendi… 😹
Popote pale utakapouona uzi wangu mimi Tajiri sinabaya, au uzi wa GENTAMYCINE usiupite bila kuusoma, huwezi kukosa MADINI ya kutosha kwenye kila herufi ya maandiko yetu.
Asanteni sana.
Mkuu tajiri huna baya. Story imeisha au bado?Popote pale utakapouona uzi wangu mimi Tajiri sinabaya, au uzi wa GENTAMYCINE usiupite bila kuusoma, huwezi kukosa MADINI ya kutosha kwenye kila herufi ya maandiko yetu.
Asanteni sana.
Njoo tufanye jaribio kwanza niku prove wrong. Yaani utakuwa unanitumia makopa kopa kama mtu aliyerukwa na akili.Sikupendi… 😹
Hili nalo kitaalamu ni tatizo la akili. Kujiona una akili kuliko wote.Popote pale utakapouona uzi wangu mimi Tajiri sinabaya, au uzi wa GENTAMYCINE usiupite bila kuusoma, huwezi kukosa MADINI ya kutosha kwenye kila herufi ya maandiko yetu.
Asanteni sana.
Vigezo ni maandiko yetu humu jfUnatumia vigezo gani? Maana mjinga naye ana akili zake pia
Mkuu nitajuaje kama unatumia vifaa viwili Kwa wakati mmoja.No... kuthibitisha hilo fungua uzi wako wa kumkwaza genta halafu mtag akija kujibu mapigo mimi nitaingilia uzi kati na wote tuta type kwa wakati mmoja.
(Ukuona lina mashiko)
Kitaalamu au sio!Hili nalo kitaalamu ni tatizo la akili. Kujiona una akili kuliko wote.
Kijana masikini mpaka kuwa tajiri sinabayaPopote pale utakapouona uzi wangu mimi Tajiri sinabaya, au uzi wa GENTAMYCINE usiupite bila kuusoma, huwezi kukosa MADINI ya kutosha kwenye kila herufi ya maandiko yetu.
Asanteni sana.
Basi unaweza kunipa njia ambayo itakuthibitishia mimi siyo genta (kama itanipendeza)Mkuu nitajuaje kama unatumia vifaa viwili Kwa wakati mmoja.
Dawa Yenu Wewe Na Huyo Mwenzio Ni kamba Za miguu Na mikono Tia Kwenye Ambulance Dodoma.Popote pale utakapouona uzi wangu mimi Tajiri sinabaya, au uzi wa GENTAMYCINE usiupite bila kuusoma, huwezi kukosa MADINI ya kutosha kwenye kila herufi ya maandiko yetu.
Asanteni sana.