Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
😍😍Ahsante Sana Mkuu.
Karibu Makande
Napika kande la nazi hapa, karibu na huku Robert Heriel Mtibeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😍😍Ahsante Sana Mkuu.
Karibu Makande
😂😂Nimelala saa 9 nimeamka 12 sijui natak kuwa mchawi
Tunazionaje na umezifichaHivi busara zangu huwa hamzioni nyie watu
😍😍
Napika kande la nazi hapa, karibu na huku Robert Heriel Mtibeli
Wewe mwaka huu utachezea BAN mpaka ujuteeeeee.Daddy angu mie Mbaga Jr nampenda sana hasa nikikumbuka lile hogo lake nalegea miee.
Na kababy kangu Poor Brain yaanii anavyocheka tu mie hoi .... kanaonekana ni kazuri halafu hakamaindishi vitu vidogo vidogo.
Sio kama haya manyang'au mengine yenye roho za kutu kama mafisi. Lijitu kama BICHWA KOMWE - ni la hovyo sana.
Cc: secretarybird Lloyd Munroe Extrovert
Asante mkuu...Usirithi adui ama rafiki wa mtu.. Salimiana na wote ila kuwa na mipaka ya mazoea
Punguza maadui kadiri uwezavyo
Nakuja PM tuyajengeNikisha kwambia mie hunipati. Mdhangazi wewe hustahili kuonja kibamia changu
Naam shem kama shem, unaniinspire sana maua yako haya hapa 💐Shemeji shem shemela 👋🏻
Utanijuwa taratibu, ila kwa uchache mimi mtu mwenye akili nyingi sana.Leta wasifu wako kama wa GENTAMYCINE tukuje, mwenzio ni charisma, fella, game changer, sasa we nani?
Kivipi yani kwamba mimi ndiyo kotmetiksi fela?
Popote pale utakapouona uzi wangu mimi Tajiri sinabaya, au uzi wa GENTAMYCINE usiupite bila kuusoma, huwezi kukosa MADINI ya kutosha kwenye kila herufi ya maandiko yetu.
Asanteni sana.
Kijana maskini!!!Popote pale utakapouona uzi wangu mimi Tajiri sinabaya, au uzi wa GENTAMYCINE usiupite bila kuusoma, huwezi kukosa MADINI ya kutosha kwenye kila herufi ya maandiko yetu.
Asanteni sana.