BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeji shem shemela 👋🏻Maadili na malezi bora shem binti kiziwi una kitu na utafika mbali.
Ms R nawe unaniinspire sana ila sijui n kwenye nini.
aaaaaaw'..!!😍🤭Una adabu ya kutosha
Nimelala saa 9 nimeamka 12 sijui natak kuwa mchawiaaaaaaw'..!!😍🤭
really..??
kwanini hulali mpaka saa sita binti yangu..?
Si rahisi kutaja wote bt waliotajwa wamekuwakilisha mkuu.Sa mbona sijatajwa
ChaiMimi hance mtanashati nimewa inspire wengi humu.
Mkuu, mbona hata wewe umeshindwa ficha huba lako kwa urusi?Akipunguza huba iliyokithiri kwa Wanamagharibi, atafika mbali sana. Madini yake nachota kama kawaida, lakini aache kabisa kuivaa Urusi.
Nikitulia, ntamuuliza atwambie jinsi Tanzania ilivyonufaika na wataalamu wabobevu na madaktari bingwa kutoka Urusi enzi hizo.
Yaani ile ukiambiwa tu fulani huyu kasomea Urusi, unasema Ewaaa! Mtu si huyu sasa!
Lakini hizo zote jamaa hazioni. Yeye anaona tu vifaru vya Abrams na makombora ya ATACAMS. Bure kabisa!
Nachelea hata kusema kwamba nchi yetu inaendelea kuwa maskini kwa sababu ya uwepo wa vimbunga vya watu wa namna yake.
Basi sawaaaSi rahisi kutaja wote bt waliotajwa wamekuwakilisha mkuu.
Jf, kuna watu wametu-inspire, mambo mengi bila hata wao kujua. Kupitia mada hii wataje/mtaje member, aloku-inspire ktk jambo fulani.
LIST YANGU:
1. WALONI-INSPIRE KTK SANAA YA UANDISHI
Robert Heriel Mtibeli, MALCOM LUMUMBA, yoga, Nifah, Da'Vinci.
2.WALONI-INSPIRE KTK UCHESHI
Ushimen, KENZY, eron, Extrovert, Evelyn Salt, @Toyeye, Kalpana, Joanah, mzabzab & nk...
3. CRITICAL THINKING
Kiranga.
4.MAARIFA YA ZIADA
Mshana Jr, DR Mambo Jambo.
5.MEDANI ZA KIVITA
T14 Armata.
6. HISTORIA & SIASA ZA KIMATAIFA
MALCOM LUMUMBA, zitto junior.
7. KUSAMBAZA LIKE
raraa reree, min -me.
8.BUSARA & HEKIMA
Aaliyyah, Manyanza, Grahams, Carleen, Kelsea, Etugrul Bey,financial services.
9. SIMULIZI
@OMUGHAKA, Analyse.
10. UPENDO
Smart911 & Mahondaw.
Nawe wataje, member walokuinspire ktk jambo fulani.
Mwandiko wako umejaa hekima sana, japo hunivunja mbavu sana kwenye maigizo yako ya uzee.Shukrani sana Mkuu, barikiwa.
Ahsante mkuu.Ahsante Sana Mkuu.
Karibu Makande
Akimaliza kesi yake, tutaiomba serikali sikivu ya mama imlete nchini utimize fantasy yako.Baltasar
Aisee Yule jamaa mbinguni moja kwa moja
Sio kwa kukojolesha watu vile
Sitokaa nimsahau
Mkuu, mimi sina huba yoyote na Urusi wala Putin. Mimi nina ruwaza tangamano (reasonable understanding) kuhusu sera za Urusi na Putin.Mkuu, mbona hata wewe umeshindwa ficha huba lako kwa urusi?
Kutoa ni moyo, na dada Bantu Lady moyo huo anao, hakika anastahili maua yake.Mimi wangu ni Bantu Lady ,dada amejaaliwa roho na moyo wa kutoa!Mungu azidi kumpa baraka huko alipo!
Mkuu, marekani anatetea maslahi yake, na reaction yake ni ajili ya kulinda maslahi yake.Mkuu, mimi sina huba yoyote na Urusi wala Putin. Mimi nina ruwaza tangamano (reasonable understanding) kuhusu sera za Urusi na Putin.
Hivi unachukuliaje sera ya Marekani kwamba kama nchi fulani itaachana na matumizi ya dola zake, basi itabebeshwa mzigo wa ushuru kwa 100%?
Kwa nini zisiwepo sera mujarabu katika diplomasia ya biashara, badala ya kutanguliza ubabe butu kama huo?
Unadhani Marekani yenyewe ingefurahia kufanyiwa hivyo, kama ndiyo ingekuwa na hali ya nchi hizo?
Wakati ambapo Urusi anajaribu kuziinua nchi zingine ili wakue pamoja, Marekani anazikandamiza na kuzidhoofisha ili azitawale na kujinufaisha kwazo.
Kinachoudhi zaidi ni pale ambapo Marekani anazitisha waziwazi nchi zinaoonekana kuiunga mkono Urusi, kana yenyewe ndiyo ina hakimiliki ya dunia.
Pamoja mkuu.Asante sana
Pamoja mkuu.Basi sawaaa