Member gani ameku-inspire katika jambo fulani

Member gani ameku-inspire katika jambo fulani

Daddy angu mie Mbaga Jr nampenda sana hasa nikikumbuka lile hogo lake nalegea miee.

Na kababy kangu Poor Brain yaanii anavyocheka tu mie hoi .... kanaonekana ni kazuri halafu hakamaindishi vitu vidogo vidogo.

Sio kama haya manyang'au mengine yenye roho za kutu kama mafisi. Lijitu kama BICHWA KOMWE - ni la hovyo sana.

Cc: secretarybird Lloyd Munroe Extrovert
 
Back
Top Bottom