Member gani ameku-inspire katika jambo fulani

Member gani ameku-inspire katika jambo fulani

Jf, kuna watu wametu-inspire, mambo mengi bila hata wao kujua. Kupitia mada hii wataje/mtaje member, aloku-inspire ktk jambo fulani.

LIST YANGU:

1. WALONI-INSPIRE KTK SANAA YA UANDISHI

Robert Heriel Mtibeli, MALCOM LUMUMBA, yoga, Nifah, Da'Vinci.

2.WALONI-INSPIRE KTK UCHESHI
Ushimen, KENZY, eron, Extrovert, Evelyn Salt, @Toyeye, Kalpana, Joanah, mzabzab & nk...

3. CRITICAL THINKING
Kiranga.

4.MAARIFA YA ZIADA
Mshana Jr, DR Mambo Jambo.

5.MEDANI ZA KIVITA
T14 Armata.

6. HISTORIA & SIASA ZA KIMATAIFA
MALCOM LUMUMBA, zitto junior.

7. KUSAMBAZA LIKE
raraa reree, min -me.

8.BUSARA & HEKIMA
Aaliyyah, Manyanza, Grahams, Carleen, Kelsea, Etugrul Bey,financial services.

9. SIMULIZI
@OMUGHAKA, Analyse.

10. UPENDO
Smart911 & Mahondaw.

Nawe wataje, member walokuinspire ktk jambo fulani.
Mimi hance mtanashati nimewa inspire wengi humu.
 
Kigezo ni madini yake, suala la ushabiki wake ni jambo binafsi.
Akipunguza huba iliyokithiri kwa Wanamagharibi, atafika mbali sana. Madini yake nachota kama kawaida, lakini aache kabisa kuivaa Urusi.

Nikitulia, ntamuuliza atwambie jinsi Tanzania ilivyonufaika na wataalamu wabobevu na madaktari bingwa kutoka Urusi enzi hizo.

Yaani ile ukiambiwa tu fulani huyu kasomea Urusi, unasema Ewaaa! Mtu si huyu sasa!

Lakini hizo zote jamaa hazioni. Yeye anaona tu vifaru vya Abrams na makombora ya ATACAMS. Bure kabisa!

Nachelea hata kusema kwamba nchi yetu inaendelea kuwa maskini kwa sababu ya uwepo wa vimbunga vya watu wa namna yake.
 
Daddy angu mie Mbaga Jr nampenda sana hasa nikikumbuka lile hogo lake nalegea miee.

Na kababy kangu Poor Brain yaanii anavyocheka tu mie hoi .... kanaonekana ni kazuri halafu hakamaindishi vitu vidogo vidogo.

Sio kama haya manyang'au mengine yenye roho za kutu kama mafisi. Lijitu kama BICHWA KOMWE - ni la hovyo sana.

Cc: secretarybird Lloyd Munroe Extrovert
Yeah!
Natumia fursa hii kuwaombea msamaha wale wote waliopigwa ban na Mods.
Mods wasameheni wale wote mliowapiga ban natumai wamejifunza na hawatarudia makosa. Ikitokea wamerudia mnipige ban kwa niaba yao.
 
Jf, kuna watu wametu-inspire, mambo mengi bila hata wao kujua. Kupitia mada hii wataje/mtaje member, aloku-inspire ktk jambo fulani.

LIST YANGU:

1. WALONI-INSPIRE KTK SANAA YA UANDISHI

Robert Heriel Mtibeli, MALCOM LUMUMBA, yoga, Nifah, Da'Vinci.

2.WALONI-INSPIRE KTK UCHESHI
Ushimen, KENZY, eron, Extrovert, Evelyn Salt, @Toyeye, Kalpana, Joanah, mzabzab & nk...

3. CRITICAL THINKING
Kiranga.

4.MAARIFA YA ZIADA
Mshana Jr, DR Mambo Jambo.

5.MEDANI ZA KIVITA
T14 Armata.

6. HISTORIA & SIASA ZA KIMATAIFA
MALCOM LUMUMBA, zitto junior.

7. KUSAMBAZA LIKE
raraa reree, min -me.

8.BUSARA & HEKIMA
Aaliyyah, Manyanza, Grahams, Carleen, Kelsea, Etugrul Bey,financial services.

9. SIMULIZI
@OMUGHAKA, Analyse.

10. UPENDO
Smart911 & Mahondaw.

Nawe wataje, member walokuinspire ktk jambo fulani.
Shukrani sana Mkuu, barikiwa 🙏🙏
 
Back
Top Bottom