Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Baltasar
Aisee Yule jamaa mbinguni moja kwa moja
Sio kwa kukojolesha watu vile
Sitokaa nimsahau
Aisee Yule jamaa mbinguni moja kwa moja
Sio kwa kukojolesha watu vile
Sitokaa nimsahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fimboyaukwaju Miss Natafuta mbona ameenda mpaka Guinea alafu kakusahau. Au siku hizi fimbo yako imevunjika?Baltasar
Aisee Yule jamaa mbinguni moja kwa moja
Sio kwa kukojolesha watu vile
Sitokaa nimsahau
Mimi badoJf, kuna watu wametu-inspire, mambo mengi bila hata wao kujua. Kupitia mada hii wataje/mtaje member, aloku-inspire ktk jambo fulani.
LIST YANGU:
1. WALONI-INSPIRE KTK SANAA YA UANDISHI
Robert Heriel Mtibeli, MALCOM LUMUMBA, yoga, Nifah, Da'Vinci.
2.WALONI-INSPIRE KTK UCHESHI
Ushimen, KENZY, eron, Extrovert, Evelyn Salt, @Toyeye, Kalpana, Joanah, mzabzab & nk...
3. CRITICAL THINKING
Kiranga.
4.MAARIFA YA ZIADA
Mshana Jr, DR Mambo Jambo.
5.MEDANI ZA KIVITA
T14 Armata.
6. HISTORIA & SIASA ZA KIMATAIFA
MALCOM LUMUMBA, zitto junior.
7. KUSAMBAZA LIKE
raraa reree, min -me.
8.BUSARA & HEKIMA
Aaliyyah, Manyanza, Grahams, Carleen, Kelsea, Etugrul Bey,financial services.
9. SIMULIZI
@OMUGHAKA, Analyse.
10. UPENDO
Smart911 & Mahondaw.
Nawe wataje, member walokuinspire ktk jambo fulani.
Simjuifimboyaukwaju Miss Natafuta mbona ameenda mpaka Guinea alafu kakusahau. Au siku hizi fimbo yako imevunjika?
Mimi wangu ni Bantu Lady ,dada amejaaliwa roho na moyo wa kutoa!Mungu azidi kumpa baraka huko alipo!Kupitia mada hii wataje/mtaje member, aloku-inspire ktk jambo fulani.
ipo imara lakini ina wenyewefimboyaukwaju Miss Natafuta mbona ameenda mpaka Guinea alafu kakusahau. Au siku hizi fimbo yako imevunjika?
hii fimbo sio ya kutibia au kuringishia watu
Aaawww thanks enzo1988 jamani, nimeamka na nakutana na hii 😍Mimi wangu ni Bantu Lady ,dada amejaaliwa roho na moyo wa kutoa!Mungu azidi kumpa baraka huko alipo!
Wee naona ulishanipenda sema unajidai kunikandia hapa hadharani lakini moyoni mwako unajisema dah siku mzabzab akinitongoza nitafurahi kionja kibamia chake 🤣🤣🤣🤣Comments za mzabzab zimejaa uongo sana
Njoo mchape huyu bibiye ilikusudi heshima anayoipeleka kwa akina Pdidy na Engonga irudi Tanzania maana yaonekana huyu Miss Natafuta amekosa uzalendo, kutwa kutamani fimbo za watu wa nje.hii fimbo sio ya kutibia au kuringishia watu
Nitakutongoza mwenyewe!haiwezekani utudanganye wewe ni kiwembe halafu una kibamia wakati ni mali safiiiii we mpaka nikupate labda mimi sio shangazi😅😅Wee naona ulishanipenda sema unajidai kunikandia hapa hadharani lakini moyoni mwako unajisema dah siku mzabzab akinitongoza nitafurahi kionja kibamia chake 🤣🤣🤣🤣
Na sikutongozi ng'oooo wee shangazi mzuri mzuri 🤣🤣🤣🤣
Nikisha kwambia mie hunipati. Mdhangazi wewe hustahili kuonja kibamia changuNitakutongoza mwenyewe!haiwezekani utudanganye wewe ni kiwembe halafu una kibamia wakati ni mali safiiiii we mpaka nikupate labda mimi sio shangazi😅😅
Na tutamla 3someNitakutongoza mwenyewe!haiwezekani utudanganye wewe ni kiwembe halafu una kibamia wakati ni mali safiiiii we mpaka nikupate labda mimi sio shangazi😅😅
😂😂😂Umetaja sahihi mimi naongezea "walioni inspaya" kwenye utafutaji whether legally or illegally ni MKANADA SAA JEFU wa KRIPTO.
😂😂😂
Ofkoz ni kweli manake hata mimi baad ya kutekenywa na zile semina moral ya utafutaj ilipanda.. na imenifikisha mahal
Usirithi adui ama rafiki wa mtu.. Salimiana na wote ila kuwa na mipaka ya mazoeaDR HAYA LAND Mshana Jr
Baba Swalehe DIVISHENI FOO
Kiranga cocastic
Numbisa
Samahani mkuu Mshana Jr
Daah nje ya mada mkuu mpaka sasa mambo yanaenda poa sana mpaka nashangaa japo wenzangu wanaendelea na mambo yao ya hirizi ila mimi nakomaa kivyangu japo sio mtu wa kwenda nyumba za ibada ila naomba kwa Muumba wangu....
Mkuu ila kuna swali naomba unijibu tena kwa kufikilia sana..
Mkuu huyu mwenzangu ananishawishi sana nisiwe na urafiki na watu furani...
Tena inafika kipindi anasema hata nisiwasalimie , nikiuliza sababu anasema ety ni watu wa roho mbaya... Yani wanga
Mkuu je hivi hii imekaaje je kuna adui wa kurithi kweli .?
Na mimi sifatagi ushauri mi nacheka na wote mkuu an sijali na sijaingizwa kwenye mfumo wao..
Je ni kweli watanifanyizia au wanasibiri niwe mwenyeji mwenyeji ili wani shughulikie...???
Asante sana 🙏🏾💪🏿Pamoja mkuu, madini yako yamekua msaada mkubwa sana kwa wengi.
Machapisho yako, hunifanya nihisi huna jukum lingine zaidi ya kutafuta maarifa.